Alichofanya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Makonda kwa Pierre Mzee wa Liquid ni udhalilishaji na kinyume cha haki za binadamu

INABIDI ASEME MWENYEWE. KAMA JAMAA ALIKATAA KUMUOMBA MSAMAHA LATE RUGE, SEMBUSE PIERRE. HUYU JAMAA KAKUSUDIA 100%
 
We mkojolea nyuma mimi na wewe nani hana kazi za kufanya? Wewe mtoto mdogo uliekuja kuomba namna yakusevu kodi ya nyumba tena umelipa laki 2 miez 6, unaniita mie sina kazi? Respect ur rotten ass pls

Dumelang
Amakweli wajinga mnazidi kuongezeka

In God we trust
 
Comedian
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mtu anadharau sana. Hata kuna kikao kimoja katika ziara yake ya Dar aliwahi kumkashifu dada mmoja mtendaji wa manispaa kuwa ni kichaa. Ni kiongozi pekee anayeweza kufanya na kusema lolote baya lakini asiguswe.

Sent using Jamii Forums mobile app
wala usijali mkuu... kwa yote aliyowafanyia na anayoendelea kuwafanyia watu, nakwambia huyu dogo baada ya awamu ya "baba yake" kwisha atakuwa anakimbikimbia hovyo kama digidigi.
na hapo ndipo kutakuwa na kilio cha kusaga meno!
 
Tuna nchi nq viongozi wa ajabu sana. wivu tu baada ya kuona Match ya TzVs UG Piere kamfunika kinyume na matarajio yake. Yaani Poere ambaye hakutoa dau kwa wachezaji ndio awe maarufu kuliko yeye na Baba yake??
 
In my opinion, RC Makonda has committed a very serious insubordination in relation to the Vice President's fair comments on Pierre's contributions towards Taifa Stars' victory. Nani anayalinda haya,yenye udhalilishaji hata kwa wakuu wetu wa nchi?
Kila mtanzania amebaki amepigwa na butwaaa kubwa sana

In God we trust
 
Ndugu mie mwenyewe hapa nilitegemea kusikia hiyo mikakati ya ONDOA Zero Kisarawe but mwsho wa siku naona mambo yalienda mrama,its my hope kweli Jokate atakwa anajuta kwa kilichotokea.

Sent from Nokia 7 Plus
 
Ama kweli 'shibe mwana malevya, njaa mwana malegeza'

Dah unaweza vipi kumdhihaki binadamu mwenzako kiasi hiko bila ya hata kukosa aibu.
 
Kwahiyo unayuaminisha bila kuacha chembe ya mashaka kuwa una dharau mawazo ya mama Samia?

In God we trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…