He is not right and not wise.Makonda was probably RIGHT but NOT WISE. He lacks the qualities of a good leader.
Jamaa hana Skills za Uongozi kabisa... ni mropokajii balaaa...He is not right and not wise.
Yeye amehamasisha ulevi kwa watanzania elfu sitini na tano walioingia uwanja wa mkapa.
Pia akahamasisha ulevi kwa watanzania milion 5 wa mkoa anaoungoza.
Kosa la piere ni kunywa alichokihamasisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado ulikuwa una uwezo wa kuwaacha Watu wapime busara ya kile umesema Na walio Na akili wangeacha wenyewe baada ya kuona if there a point on what you have written badala ya wewe kutamka mjadala umefungwa while in the first place siwewe uliuanzishakama mhusika kaomba radhi wewe unataka ujadili nini, haina maana! la sivyo uwe unapenda mambo ya hovyo!!
Hahahah ndio uiulize Serikali yako
Officialpierre_liquidJina lake official insta ni nani na mm nikafollow
Mwengine huyu hapa...ivi akat akina marehem agnec masogange na akina madinda walipopata umaarufu sabab ya makalio yao mlikua wapi kuwasema mnakuja kumsema mchekeshaji...ebu jadili Hili...sabab sidhan kama Pierre karudisha nyuma harakati za serekali au m2 flani
Justify it 'Logically'!mavi ya bibi yako wee, mtakujaga mfe na wivuu!!
Bashite ana wivu wa kikeNadhani kila mara hili limekuwa likijirudia kwa kijana mwenzetu Paul Makonda “Hekima ya uongozi “
Kwa mfano unaweza kuwa na mzazi asiye na mvuto wa sura na hata jamii yako ikampachika majina na kumtambua hivyo lakini si hekima wewe kwenda mbele za watu na kusema yale majina anayoitwa mama yako si kwakuwa si ukweli la hasha ila si hekima.
View attachment 1058907
Pierre leo alikuwepo pale kama wahamasishaji wengine walioalikwa hekima tu angetumia ndugu Makonda na kwa maneno machache kwa walengwa bila kumuhusisha moja kwa moja Pierre .
Yawezekana amepata umaarufu kwa tabia isiyo nzuri ila matokeo yake amefanya mambo machache mazuri mpaka hili la hamasa ya tokomeza zero akahusishwa.
Hakumtendea vyema ndugu Pierre leo
Habari zaidi, soma=>https://www.jamiiforums.com/threads...wake-kama-katiba-inavyoelekeza.1567031/unread
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule jamaa akili yake anaijua mwenyewe wivu wa kutaka kila mtu awe chini yake ndio unaomsumbua
Anajuta upuuzi alioongea... Anawezekana akawa sahihi lakini kakosea namna ya kuliongeaa...!!
Wewe ni mpuuzi... Kwamba liquid ndo mlevi wa kwanza tanzania??? yani watoto waache kujifunza kwa walevi waliopo mitaani kwaoo leo waje kujifunza kwa liquid??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acheni kumtwisha dhambi kijana wa watuu... Bashite kazingua ndo maana hakuna anaemuunga mkono.. Huwezi mdhalilisha kijana wa watu kiasi kile wakati hata wewe Unamengi mabayaa na pia unatumia walevi wa madawa ya kulevya na malaya kuhamasisha michezo na kupunguza bei ya vilevi watu walewee... Bashite kazinguaa...Waweza kuona jinsi au aina ya watz tulionao!!!! Ni aibu kubwa mno kwa watz kushabikia ulevi !!!
Makonda yuko sahihi kama leo hii tunamuona huYu anafaa na kama sababu ni ishu ya kipato kwann jamii inawapigia kelele wachungaji matapeli ???
Je kama ndivyo ilivyo kwann tulimpiga vita na kumuona s wa maaana Nabii Tito????
Ukweli utabaki pale pale watz wengi hatufikiri kwa kina ndio maana tutabaki kulialia wenzetu wanapiga hela !!!
Kwa pierre yeye anaona faida yake lakn jamii tunayoijenga tujiuliza inajifunza nn kwa vitendo vya ulevi wake??? Hv hatuoni huyu jamaa anakundi kubwa la wanaomfuata nyuma na wengi wao ni vijana???? Hata wakubwa hatuoni kila mmja wetu sashv anahangaika kulewa sana ili nawe awe kama Pieere???? Je hata kama havunji sheria za nchi ulevi una impact gani kwa watz???? Tuacheni ushabiki na ukiangalia wengi wanaounga mkono aidha wana chuki na makonda au ni wanachama ama ni watu waliokata tamaa
Full stop!
Sent using Jamii Forums mobile app