Kazi kweli kweli mtazamo wako ni sawa na wa Kibajaji!
Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.
Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.
Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?
Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.
Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele
CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.
Nimshukuru Mungu kwa kutenda miujiza ya kukugeuza wewe kutoka kwenye kuunga mkono hadi sasa unaongea kama mwananchi wa kawaida mwenye akili timamu.
anayepanga bei ni Serikali sitarajii aweke bei kubwa kwani alishafanya analysis ya mradi.
academicaly and experience wise au?Amesema yeye ni zaidi ya Muhongo!
bei ya sukari ulitaka ishuke hadi sh ngapi?Labda wajinga ndio unaweza kuwaambia hili, kama bei ya mafuta ya kula na sukari tu imewashinda kushusha, ndio itakuwa hiyo ya umeme wa 10t ya mkopo?
Kwa Hiyo umejaribu kuwaza pia Kwamba kama ungekuwa mradi wa Umeme wa Gesi ungekamilika basi wenyewe Gharama za mradi zingerudi Mapema zaidi Kulinganisha na huu wa Maji???
Ukweli utabaki Ukweli tu kuwa Prof. Katika hili alikosea kidogo, maana LENGO KUU KWA WANANCHI NI KUPATA UMEME KWA BEI NAFUU NA WALA SIYO KWENDA NA WAKATI ETI UMEME WA GESI HUKU WANANCHI WANAUMIA.
Hata hivyo Nchi zilizoendelea bado zinatumia Maji kama chanzo Kikuu Cha Umeme!!!
Naweza kukubaliana Naye Prof. sehemu moja tu Kwamba Vyanzo mbalimbali vya umeme viendelee kutengenezwa ili kama Wakati wa Matengenezo kusiwe na uhaba Au upungufu wowote wa Umeme nchini
Upepo tu habadiliki huyoNimshukuru Mungu kwa kutenda miujiza ya kukugeuza wewe kutoka kwenye kuunga mkono hadi sasa unaongea kama mwananchi wa kawaida mwenye akili timamu.
bei ya sukari ulitaka ishuke hadi sh ngapi?
Hii promo ya umeme wa maji sasa, ilipigwa na chama hicho hicho miaka 6 nyuma kwenye umeme wa gas. Sisi wengine tunajua hilo genge liitwalo ccm ni kundi hatari la matapeli, wanaopigania 10% zao."The Power of hunger" mpaka prof anatumika kwa kujitoa ufahamu. Ni mkumbushe aliyo sema Mh DR(ad honorem) Lusinde kuhusu faida zitokanazo na Bwawa la Umeme la Mwl Nyerere.
Hoteli za kitalii zitajengwa kwenye fukwe za Bwawa. Utalii Selous utashindana na Kaskazini
Kilimo cha umwagiliaji
Samaki Sato wa kumwaga
Umeme nafuu, Richmond, Aggreco, ITPL na nduguze watasubiria sana kwenye foleni kusubiri zamu zao tena.
Mamba na Viboko watajidai zaidi ni endelee prof teni teni na nduguze?
Wasomi wetu wajifunze.wanaacha kutusaidia kwenye kufundisha na kufanya tafiti wao wanaenda kwenye siasa.sasa wewe imagine,Prof anaanza kubishiwa na akina kibajaji kweli.yaani amepoteza muda wake kuacumulate knowledge halafu anakuja kufedheheshwa hivi. Nakumbuka zamani alikuwaga na gia ya kuleta matokeo ya sekondari ya mbunge anayembishia,sasa hapa kibajaji hata hiyo shule hakwenda kabisaLeo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.
Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.
Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?
Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.
Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele
CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.
Kwa jinsi itakavyokuwa hoja ya msingi hapa je umeme wa maji ni rahisi au siyo rahisi?Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.
Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.
Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?
Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.
Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele
CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.
Kuna wanasiasa naona wanatumika kuwa kama mashionari..Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.
Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.
Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?
Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.
Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele
CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.
Hii promo ya umeme wa maji sasa, ilipigwa na chama hicho hicho miaka 6 nyuma kwenye umeme wa gas. Sisi wengine tunajua hilo genge liitwalo ccm ni kundi hatari la matapeli, wanaopigania 10% zao.
Yes maana anakuwa dalali wa wauza gas turbine na engine. Madalali kama hawa wa viwanja wanapandisha bei kwa kusingizia mkubwa fulani anakaa hapa....Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.
Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.
Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?
Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.
Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele
CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.
JPM hakuwa mtu wa kauli mbili mbili. He was putting his offer straight...take or leave it. Huyu Spika hasomeki. Haeleweki. Haaminiki. Ukiwa kigeugeu utaaminikaje?Ndugai and meko are the part of the problem,meko is very dead n gone,ndugai can not be the part of the solution,he is suffering from that disease of acquired stupidity...
JPM hakuwa mtu wa kauli mbili mbili. He was putting his offer straight...take or leave it. Huyu Spika hasomeki. Haeleweki. Haaminiki. Ukiwa kigeugeu utaaminikaje?