Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ni kweli kuna bei elekezi, lkn siyo kwa kila kitu. Kuna vitu vingne inaachiwa nguvu ya soko iamue.
Ni kwa vitu vichache ndio bei ya soko imaamua, lakini siku kwa hizo bidhaa muhimu za kijamii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kuna bei elekezi, lkn siyo kwa kila kitu. Kuna vitu vingne inaachiwa nguvu ya soko iamue.
Umeme wa maji bado unatumika lakini hakuna nchi kubwa iliyoendelra inayotumia maji kama chanzonkikuu cha umeme.Kwa Hiyo umejaribu kuwaza pia Kwamba kama ungekuwa mradi wa Umeme wa Gesi ungekamilika basi wenyewe Gharama za mradi zingerudi Mapema zaidi Kulinganisha na huu wa Maji???
Ukweli utabaki Ukweli tu kuwa Prof. Katika hili alikosea kidogo, maana LENGO KUU KWA WANANCHI NI KUPATA UMEME KWA BEI NAFUU NA WALA SIYO KWENDA NA WAKATI ETI UMEME WA GESI HUKU WANANCHI WANAUMIA.
Hata hivyo Nchi zilizoendelea bado zinatumia Maji kama chanzo Kikuu Cha Umeme!!!
Naweza kukubaliana Naye Prof. sehemu moja tu Kwamba Vyanzo mbalimbali vya umeme viendelee kutengenezwa ili kama Wakati wa Matengenezo kusiwe na uhaba Au upungufu wowote wa Umeme nchini
Watu wengi wanajadili wasichokijua.Huo ni mradi wa muda mrefu iweje day one Bei ya umeme iwe nafuu?Kama hajasoma masuala ya biashara si anyamaze.huyu muhongo ni bomu elimu yake haina msaada kwa watz
Inaonekana hujui chochote kuhusiana na miradi ya umeme. Umeona watu wanajadili, na wewebu ukajitumbukiza kuweka chochote kilichokujia.kwa hiyo bwawa likianza kutumika, umeme utapanda bei kufidia hiyo investment cost?
Investment inalenga
1.,Umeme wa uhakika
2.Umeme wa kuuza nje
3.Gharama za umeme za sasa ndio basis ya kuweka ukubwa na kujua lini litakuwa limelipa
4.Uhakika wa umeme unapeleka kuwa na same rates kwa miaka mingi sana....
Swali la Prof ni la kijinga kwa umri wake na elimu yake
wewe hapa hauwezi kujibu; kamuulize prof
Hivi huu mradi sio pesa zetu za ndani tuna jengea!?Hoja dhaifu mno kutoka kwa Prof! Kwani kuna mradi gani ambao ukikamilika hatutowajibika kulipa gharama?
Nilitegemea maprof kama hawa ndio wangekuwa watetezi wa kuwekeza kwaajili ya vizazi vijavyo! Hawa wazee wameshikwa na ma lobbyists walambe 10% zao na vizazi vyao na si Watanzania kwa ujumla.
MwendazakeBwashee hili ndilo bunge aliotuachia kiongozi wa malaika
we mwehu kuanzia lini serikali ikafanya biashara...kwani wewe umeme ukishuka gharama kwa miaka hata 50 ela kurudi utakufa..mwehu sana hizo gharama zinazorudi zaidi ndo zinasabbabisha umeme kuuzwa ghali..sijui mnawaza kutumia makalioLeo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.
Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.
Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?
Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.
Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele
CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.
Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.
Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.
Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?
Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.
Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele
CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.
Wewe unatumia katikati ya makalio kuwaza!we mwehu kuanzia lini serikali ikafanya biashara...kwani wewe umeme ukishuka gharama kwa miaka hata 50 ela kurudi utakufa..mwehu sana hizo gharama zinazorudi zaidi ndo zinasabbabisha umeme kuuzwa ghali..sijui mnawaza kutumia makalio
Kwani wewe Taga nani alikuzuia kusoma na kuwekeza kwa ajili ya vizazi vijavyo?Hoja dhaifu mno kutoka kwa Prof! Kwani kuna mradi gani ambao ukikamilika hatutowajibika kulipa gharama?
Nilitegemea maprof kama hawa ndio wangekuwa watetezi wa kuwekeza kwaajili ya vizazi vijavyo! Hawa wazee wameshikwa na ma lobbyists walambe 10% zao na vizazi vyao na si Watanzania kwa ujumla.
Kwani Sugu katoka jalalani? Kwanini Sugu alijishusha hivyo?Ila sugu kujilinganishaa na Prof kabudi ni sawa?
Mtu ambaye alitakiwa aongee kwa data ni Prof. Muhongo. Kwa level yake hakutakiwa kuongea bila data. Kibajaji ata akiongea porojo anavumilika lakini sio mtu mwenye uprofesa!Kibajaji nae anajilinganisha na Muhongo,
Kweli hii ni hatari sana. Sijawahi ona, ukiangalia hata anachoongea ni porojo tu. Hakina hata research yoyote, hakina data, yaani ni vitu vya kufikirika tu.
Angetoa hoja hiyo mbele ya wasomi wenzake wangebisha kwa hoja tuu. Na sio kashfa hizoHawa maprof wamejitakia haya madhila kwa kuacha taaluma zao na kukimbilia siasa acha wachezee vitasa kwanza vya mangumbaru adi akili ziwakae sawasawa
Utakuwa uchambuzi umefanyika. Nionavyo mimi Ile gesi kule inanunuliwa kutoka kwa wachimbaji wenye vitalu/visima vya gesi sio bure. Hata usafirishaji unalipiwa. Soko kubwa lla gesi ni kuuza nje ya nchi kwa bahati nzuri Kenya watainunua na serikali itapata fedha kwenye kodi/mrahaba. Na hili la kujenga bomba kwenda Mombasa mtabeza? Na wenzetu Wakenya ni wajanja na wana mbinu za kibiashara, mnaweza kuwapelekea hiyo gesi na wao wakaiuza nje. Hata hivyo Vinyerezi vitaendelea kujengwa.Inaonekana hujui chochote kuhusiana na miradi ya umeme. Umeona watu wanajadili, na wewebu ukajitumbukiza kuweka chochote kilichokujia.
Kwa kuwa hufahamu, elimika na yafuatayo:
1) Tayari tumejenga bomba la kusafirishia gas ya kuzalishia umeme kwa dola zaidi ya bilioni 1
2) Bomba la gas kwa sasa linatumika kwa 10%
3) Umeme ambao ungezalishwa kwa gas ni megawat 3,500
4) Ili kupata megawat 3,500 kilichokuwa kinahitajika ni kununua mtambo tu wa kufua umeme.
Kutokana na ujinga:
1) Tumeacha bomba lililotugharimu zaidi ya dola bilioni 1 liendelee kutumika kwa 10%
2) Tumeanda kuanza mradi mpya wa umeme kwa gharama ya zaidi dola bilioni 5
3) Tumeacha mradi wa kuzalisha megawat 3,500 ambao ungekamilika kwa uwekezaji mdogo, tumeenda kwenye gharama kubwa ya ujenzi kwaajili ya kuzalisha umeme kidogo zaidi, megawati 2,000 tena kuzifikia ni kwa awamu.
Hivi sisi tuna akili?