Alichokifanya Gerson Msigwa, New York alipaswa akifanye Siku Zote Ikulu. Zuhura Yunus Asiwe Bubu!

Pascal Mayalla hongera kwa kuwaongezea nondo dada Zuhura Yunus (ingawa naye yupo biased sana).
 
Leo ni hakuna kulala, 2 hours to go!. Haya mambo ya kutembeza na Joni Mtembezi, two hours from now... sijui!. Ikitokea hamjaona update yangu, mjue mwenzenu nimezimika!.
P
Saa hizi ni dakika chache kabla ya uzinduzi, TBC sioni dalili ya kutuletea live!.
P
 
Saa hizi ni dakika chache kabla ya uzinduzi, TBC sioni dalili ya kutuletea live!.
P

Kwa bahati mbaya vijana wengi na watu wa mjini hawaangalii TBC baada ya kugeuka tarumbeta la ccm. Kwa hiyo siyo habari itakayovutia wengi. Sana sana muilete huku huku kwenye social media wangalau watu wajue kilichoko kwenye hiyo Royal tour.
 
Kiukweli kipaji cha TV Reporting na composeture yake, hiki ni moja ya vipaji vikubwa sana ambavyo TBC ilivipotezea serikalini
basi kwa kweli hicho kipaji cha composeture kitakuwa kipaji adimu na adhimu

inabidi huyo Halidi Gangana aliyebaki nae wampeleke nje akasomee weledi wa composeture kama ataweza kumudu masomo ya composeture
 
Tofauti walito nayo kubwa hao na Zuhura Yunus ni moja tuu, kuzungumza ukweli.
Msigwa na Dr Hassan walizoea kuishi kwa uongo, kusema kwa uongo, propaganda hata pasipostahili na sifa za kupitiliza tofauti na Zuhura anaye simamia weledi wa taaluma.
Ona eti Dr Hassan anasema uzinduzi huu unaangaliwa na watu Billioni 1 duniani kote! Uongo bila aibu!
 
Kiswahili Cha neno kustaafu kinachezewa sana hivi ukiteuliwa cheo Fulani baadaye akapewa mwingine wewe wa awali unakuwa umestaafu?
 
Paskali, professional na siasa haviendani, yaani hata msigwa ni bahati tu kufanya hivyo akiwa hapo America ila akiwa hapa ikulu ni ngumu sana.

Kwa dadaenu zuhura pia ni vigumu kufanya hicho unachotaka, bahati mbaya upo nje ya field ila ukibahatika kuingia and in one week tu ahahahaa, sijui kama utaandika uliyokutana nayo huko.

Kila ofisi ina utaratibu wake ila hatuhufahamu kwa sababu tupo kwa nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…