Wakati huo nilikuwa nakaa maeneo Fulani jijini Dar es Sallam...basi mittani ilikuwa ni KERO na kwenye mabaa...watu wa kabila Fulani wakawa wamegawana vyeo vyote serikalini, orodha ya mawaziri, wakuu wa taasisi na kadhalika hata kabla ya uchaguzi kufanyika...nilikuwa na marafiki zangu wa kabila la kaskazini dah walikuwa wanatamba aisee...Mimi nilikuwa kimyaaaaa nikijua fika kuwa ni nani atakuwa rais...Uchaguzi huo!ndio ulienda na maisha ya IMRAN KOMBE!!!!MAANA NCHI ILIKUA INAENDA UPINZANI NA KOMBE ALIUNGA MKONO VUGU VUGU LILE!!!!RIP KOMBE!!CCM HAIJAANZA LEO!!!
Ndiye alilazimisha matomeo Dar yote kufutwa ile 1995 na uchaguzi wa Zanzibar maalim kunyimwa kuwa rais 1995baada ya kumgalagaza vibaya Komandoo SalimNyerere alikuwa dikteta hata kauli yake hii inathibitisha. Sema tu ni kwasabb alitawala enzi za giza (ujinga mwingi na uchache wa vyombo vya habari)
I'm very sorry, I seriously doubt the authenticity of this story.
P
Anayo mapungufu yake Dogo! ndo alivuruga uchaguzi wa 1995Nikiwa Darasa la Saba Mwaka 1995, kama kijana yoyote wa Moshi Mjini Nilikua na Hamasa Kubwa Kisiasa, Na Moshi Mjini Ilikua Imewaka Moto Kisiasa.
Bwana Mrema Alikua Amejiunga na NCCR Mageuzi, Nayo NCCR ikaunganisha Nguvu Na CHADEMA Wakaweka mgombea Ubunge Bwana MTUI...na Urais Akawa Bwana Lyatonga Mrema..Kampeni Zikapamba Moto.
Timu ya Mrema ikapita kuomba Kura Uwanja wa Mashujaa Moshi ukajaa na kutapika..mimi nimo mbele kabisa Huku Mrema,Pale Makongoro Nyerere.
Wakatuelekeza kwa unyenyekevu kabisa Kwamba Wiki Ijayo Baba wa Taifa Na Mgombea wake Bwana Mkapa watakuja kwahiyo Fanyeni Hivi Na Hivi..Hao wakaondoka zao wakaenda Arusha.
Baada Ya wiki Kweli Mzee wetu Baba wa Taifa akaingia Moshi,Niliwahi Uwanjani Tokea saa Tano, Kumbe Hakuja Na Mzee Mkapa Bwana, Akaanza Hotuba na vile vichekesho vyake
Mwisho Akainua Picha ya Mkapa Nakumbuka ile picha ni ya kuchora akasema Nawaomba Mumpe kura huyu kwa Maendeleo ya nchi Yetu...
Uwanja Wote wa Mashujaa Ukanyamaza kimya Kabisa,kimya halafu wakainua vidole viwili ile Alama inayotumiwa na CHADEMA uwanja wote ukawa unapunga huku watu wamenyamaza kimya kabisa..
Mwalimu Akiwa amefura kwa hasira,akatamka nikiwa namuona na kumsikia. MTAKE, MSITAKE HUYU ATAKUA RAIS halafu akatupa ile picha chini...akaitupa kabisa halafu akashuka jukwaani Akaenda zake mkutano ukafia hapo.
Ilasikuwahi kumuona Tena Live Mwalimu Hadi Alipokufa nikiwa Form Four mwaka 1999...ila nilikua namfatilia sana hotuba zake
Tutamsema Vibaya Lakini Hakuna wa Kuvaa Viatu Vyake na Hatatokea Alikua Baba, kiongozi, mkombozi, mwalimu, mwanafalsafa, mpenda kusali, na mengine mengi. Namkumbuka na Atakumbukwa na Taifa Hili kwa Miaka Yote Hadi Ukamilifu wa Dahari...Siku Mwenye Mali Yake Atakapopenda na kusema Mwisho ndio Huu..
MP...JF LEGEND
.
Chunguza...research na uulize mm nilikuwepo hapo uwanjani...na nakumbuka kila details...na bahati nzuri upo kwenye sekta ya habari
Hii habari haiendani na aiba ya Mwalimu
Akafura, na Akatupa Picha Chini...,
Moja akatupa picha chini ili iweje ?,
Mbili haikuwa ajabu watu kutoka uwanjani wala kukataa na kumpinga Mwalimu kuhusu Mkapa; watu hawakumjua Mkapa, watu walimkubali Mrema na kila kiwanja alichoenda Mwalimu watu walikuwa wanapinga..., Sasa kwa kufura ghafla na kushangaa ingekuwa ni mtu aliyeshangazwa na kilichotokea wakati nina uhakika alikitegemea kilichotokea...., ila hakukata tamaa aliendelea kutembea nchi nzima na kupata upinzani mkubwa... (Mkapa alikuwa habebeki)
Yes Sir,please show us the real one!President Nyerere (rip)was not a perfect human being!I'm very sorry, I seriously doubt the authenticity of this story.
P
Mipumbavu sana hii mijitu. Hata 2015 kwa fisadi lowasa ilikuwa hivyohivyo.watu wa kabila Fulani wakawa wamegawana vyeo vyote serikalini, orodha ya mawaziri, wakuu wa taasisi na kadhalika hata kabla ya uchaguzi kufanyika...
Kama huwawezi...ungana nao..la sivyo roho yako itaacha mwili bila kujua..watakuua kwa kihoroMipumbavu sana hii mijitu. Hata 2015 kwa fisadi lowasa ilikuwa hivyohivyo.
Ndiye alikuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi?! Au alilazimisha akiwa na mamlaka gani!Ndiye alilazimisha matomeo Dar yote kufutwa ile 1995 na uchaguzi wa Zanzibar maalim kunyimwa kuwa rais 1995baada ya kumgalagaza vibaya Komandoo Salim
Anasingiziwa mengi...!Ndiye alikuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi?! Au alilazimisha akiwa na mamlaka gani!
Wakaishia kugawana vyeo kwenye makaratasi πππWashenzi wale kama walimfanyia baba wa taifa namna ile ...we watakufanyaje? Wachaga wehu
Angalia vizuri na Usome Alama za Nyakati....Wakaishia kugawana vyeo kwenye makaratasi πππ
So do I..I'm very sorry, I seriously doubt the authenticity of this story.
P
Nikiwa Darasa la Saba Mwaka 1995, kama kijana yoyote wa Moshi Mjini Nilikua na Hamasa Kubwa Kisiasa, Na Moshi Mjini Ilikua Imewaka Moto Kisiasa.
Bwana Mrema Alikua Amejiunga na NCCR Mageuzi, Nayo NCCR ikaunganisha Nguvu Na CHADEMA Wakaweka mgombea Ubunge Bwana MTUI...na Urais Akawa Bwana Lyatonga Mrema..Kampeni Zikapamba Moto.
Timu ya Mrema ikapita kuomba Kura Uwanja wa Mashujaa Moshi ukajaa na kutapika..mimi nimo mbele kabisa Huku Mrema,Pale Makongoro Nyerere.
Wakatuelekeza kwa unyenyekevu kabisa Kwamba Wiki Ijayo Baba wa Taifa Na Mgombea wake Bwana Mkapa watakuja kwahiyo Fanyeni Hivi Na Hivi..Hao wakaondoka zao wakaenda Arusha.
Baada Ya wiki Kweli Mzee wetu Baba wa Taifa akaingia Moshi,Niliwahi Uwanjani Tokea saa Tano, Kumbe Hakuja Na Mzee Mkapa Bwana, Akaanza Hotuba na vile vichekesho vyake
Mwisho Akainua Picha ya Mkapa Nakumbuka ile picha ni ya kuchora akasema Nawaomba Mumpe kura huyu kwa Maendeleo ya nchi Yetu...
Uwanja Wote wa Mashujaa Ukanyamaza kimya Kabisa,kimya halafu wakainua vidole viwili ile Alama inayotumiwa na CHADEMA uwanja wote ukawa unapunga huku watu wamenyamaza kimya kabisa..
Mwalimu Akiwa amefura kwa hasira,akatamka nikiwa namuona na kumsikia. MTAKE, MSITAKE HUYU ATAKUA RAIS halafu akatupa ile picha chini...akaitupa kabisa halafu akashuka jukwaani Akaenda zake mkutano ukafia hapo.
Ilasikuwahi kumuona Tena Live Mwalimu Hadi Alipokufa nikiwa Form Four mwaka 1999...ila nilikua namfatilia sana hotuba zake
Tutamsema Vibaya Lakini Hakuna wa Kuvaa Viatu Vyake na Hatatokea Alikua Baba, kiongozi, mkombozi, mwalimu, mwanafalsafa, mpenda kusali, na mengine mengi. Namkumbuka na Atakumbukwa na Taifa Hili kwa Miaka Yote Hadi Ukamilifu wa Dahari...Siku Mwenye Mali Yake Atakapopenda na kusema Mwisho ndio Huu..
MP...JF LEGEND
.
Nikuletee mawese wapi?Nikiwa Darasa la Saba Mwaka 1995, kama kijana yoyote wa Moshi Mjini Nilikua na Hamasa Kubwa Kisiasa, Na Moshi Mjini Ilikua Imewaka Moto Kisiasa.
Bwana Mrema Alikua Amejiunga na NCCR Mageuzi, Nayo NCCR ikaunganisha Nguvu Na CHADEMA Wakaweka mgombea Ubunge Bwana MTUI...na Urais Akawa Bwana Lyatonga Mrema..Kampeni Zikapamba Moto.
Timu ya Mrema ikapita kuomba Kura Uwanja wa Mashujaa Moshi ukajaa na kutapika..mimi nimo mbele kabisa Huku Mrema,Pale Makongoro Nyerere.
Wakatuelekeza kwa unyenyekevu kabisa Kwamba Wiki Ijayo Baba wa Taifa Na Mgombea wake Bwana Mkapa watakuja kwahiyo Fanyeni Hivi Na Hivi..Hao wakaondoka zao wakaenda Arusha.
Baada Ya wiki Kweli Mzee wetu Baba wa Taifa akaingia Moshi,Niliwahi Uwanjani Tokea saa Tano, Kumbe Hakuja Na Mzee Mkapa Bwana, Akaanza Hotuba na vile vichekesho vyake
Mwisho Akainua Picha ya Mkapa Nakumbuka ile picha ni ya kuchora akasema Nawaomba Mumpe kura huyu kwa Maendeleo ya nchi Yetu...
Uwanja Wote wa Mashujaa Ukanyamaza kimya Kabisa,kimya halafu wakainua vidole viwili ile Alama inayotumiwa na CHADEMA uwanja wote ukawa unapunga huku watu wamenyamaza kimya kabisa..
Mwalimu Akiwa amefura kwa hasira,akatamka nikiwa namuona na kumsikia. MTAKE, MSITAKE HUYU ATAKUA RAIS halafu akatupa ile picha chini...akaitupa kabisa halafu akashuka jukwaani Akaenda zake mkutano ukafia hapo.
Ilasikuwahi kumuona Tena Live Mwalimu Hadi Alipokufa nikiwa Form Four mwaka 1999...ila nilikua namfatilia sana hotuba zake
Tutamsema Vibaya Lakini Hakuna wa Kuvaa Viatu Vyake na Hatatokea Alikua Baba, kiongozi, mkombozi, mwalimu, mwanafalsafa, mpenda kusali, na mengine mengi. Namkumbuka na Atakumbukwa na Taifa Hili kwa Miaka Yote Hadi Ukamilifu wa Dahari...Siku Mwenye Mali Yake Atakapopenda na kusema Mwisho ndio Huu..
MP...JF LEGEND
.
Achana nae huyo anataka kusifia ccm tuChunguza...research na uulize mm nilikuwepo hapo uwanjani...na nakumbuka kila details...na bahati nzuri upo kwenye sekta ya habari
Sasa unamsifia kwa lipi Nyerere hapa?Nikiwa Darasa la Saba Mwaka 1995, kama kijana yoyote wa Moshi Mjini Nilikua na Hamasa Kubwa Kisiasa, Na Moshi Mjini Ilikua Imewaka Moto Kisiasa.
Bwana Mrema Alikua Amejiunga na NCCR Mageuzi, Nayo NCCR ikaunganisha Nguvu Na CHADEMA Wakaweka mgombea Ubunge Bwana MTUI...na Urais Akawa Bwana Lyatonga Mrema..Kampeni Zikapamba Moto.
Timu ya Mrema ikapita kuomba Kura Uwanja wa Mashujaa Moshi ukajaa na kutapika..mimi nimo mbele kabisa Huku Mrema,Pale Makongoro Nyerere.
Wakatuelekeza kwa unyenyekevu kabisa Kwamba Wiki Ijayo Baba wa Taifa Na Mgombea wake Bwana Mkapa watakuja kwahiyo Fanyeni Hivi Na Hivi..Hao wakaondoka zao wakaenda Arusha.
Baada Ya wiki Kweli Mzee wetu Baba wa Taifa akaingia Moshi,Niliwahi Uwanjani Tokea saa Tano, Kumbe Hakuja Na Mzee Mkapa Bwana, Akaanza Hotuba na vile vichekesho vyake
Mwisho Akainua Picha ya Mkapa Nakumbuka ile picha ni ya kuchora akasema Nawaomba Mumpe kura huyu kwa Maendeleo ya nchi Yetu...
Uwanja Wote wa Mashujaa Ukanyamaza kimya Kabisa,kimya halafu wakainua vidole viwili ile Alama inayotumiwa na CHADEMA uwanja wote ukawa unapunga huku watu wamenyamaza kimya kabisa..
Mwalimu Akiwa amefura kwa hasira,akatamka nikiwa namuona na kumsikia. MTAKE, MSITAKE HUYU ATAKUA RAIS halafu akatupa ile picha chini...akaitupa kabisa halafu akashuka jukwaani Akaenda zake mkutano ukafia hapo.
Ilasikuwahi kumuona Tena Live Mwalimu Hadi Alipokufa nikiwa Form Four mwaka 1999...ila nilikua namfatilia sana hotuba zake
Tutamsema Vibaya Lakini Hakuna wa Kuvaa Viatu Vyake na Hatatokea Alikua Baba, kiongozi, mkombozi, mwalimu, mwanafalsafa, mpenda kusali, na mengine mengi. Namkumbuka na Atakumbukwa na Taifa Hili kwa Miaka Yote Hadi Ukamilifu wa Dahari...Siku Mwenye Mali Yake Atakapopenda na kusema Mwisho ndio Huu..
MP...JF LEGEND
.
Phew! mkuu 'Maishapopote', sikumbuki kuwahi kukusoma humu JF kabla ya leo.Nikiwa Darasa la Saba Mwaka 1995, kama kijana yoyote wa Moshi Mjini Nilikua na Hamasa Kubwa Kisiasa, Na Moshi Mjini Ilikua Imewaka Moto Kisiasa.
Bwana Mrema Alikua Amejiunga na NCCR Mageuzi, Nayo NCCR ikaunganisha Nguvu Na CHADEMA Wakaweka mgombea Ubunge Bwana MTUI...na Urais Akawa Bwana Lyatonga Mrema..Kampeni Zikapamba Moto.
Timu ya Mrema ikapita kuomba Kura Uwanja wa Mashujaa Moshi ukajaa na kutapika..mimi nimo mbele kabisa Huku Mrema,Pale Makongoro Nyerere.
Wakatuelekeza kwa unyenyekevu kabisa Kwamba Wiki Ijayo Baba wa Taifa Na Mgombea wake Bwana Mkapa watakuja kwahiyo Fanyeni Hivi Na Hivi..Hao wakaondoka zao wakaenda Arusha.
Baada Ya wiki Kweli Mzee wetu Baba wa Taifa akaingia Moshi,Niliwahi Uwanjani Tokea saa Tano, Kumbe Hakuja Na Mzee Mkapa Bwana, Akaanza Hotuba na vile vichekesho vyake
Mwisho Akainua Picha ya Mkapa Nakumbuka ile picha ni ya kuchora akasema Nawaomba Mumpe kura huyu kwa Maendeleo ya nchi Yetu...
Uwanja Wote wa Mashujaa Ukanyamaza kimya Kabisa,kimya halafu wakainua vidole viwili ile Alama inayotumiwa na CHADEMA uwanja wote ukawa unapunga huku watu wamenyamaza kimya kabisa..
Mwalimu Akiwa amefura kwa hasira,akatamka nikiwa namuona na kumsikia. MTAKE, MSITAKE HUYU ATAKUA RAIS halafu akatupa ile picha chini...akaitupa kabisa halafu akashuka jukwaani Akaenda zake mkutano ukafia hapo.
Ilasikuwahi kumuona Tena Live Mwalimu Hadi Alipokufa nikiwa Form Four mwaka 1999...ila nilikua namfatilia sana hotuba zake
Tutamsema Vibaya Lakini Hakuna wa Kuvaa Viatu Vyake na Hatatokea Alikua Baba, kiongozi, mkombozi, mwalimu, mwanafalsafa, mpenda kusali, na mengine mengi. Namkumbuka na Atakumbukwa na Taifa Hili kwa Miaka Yote Hadi Ukamilifu wa Dahari...Siku Mwenye Mali Yake Atakapopenda na kusema Mwisho ndio Huu..
MP...JF LEGEND
.
Tutamsema Vibaya Lakini Hakuna wa Kuvaa Viatu Vyake na Hatatokea Alikua Baba, kiongozi, mkombozi, mwalimu, mwanafalsafa, mpenda kusali, na mengine mengi. Namkumbuka na Atakumbukwa na Taifa Hili kwa Miaka Yote Hadi Ukamilifu wa Dahari...Siku Mwenye Mali Yake Atakapopenda na kusema Mwisho ndio Huu..