Alichokifanya Mwalimu Nyerere Mwaka 1995 mbele ya Macho yangu

Alichokifanya Mwalimu Nyerere Mwaka 1995 mbele ya Macho yangu

Uchaguzi huo!ndio ulienda na maisha ya IMRAN KOMBE!!!!MAANA NCHI ILIKUA INAENDA UPINZANI NA KOMBE ALIUNGA MKONO VUGU VUGU LILE!!!!RIP KOMBE!!CCM HAIJAANZA LEO!!!
Wakati huo nilikuwa nakaa maeneo Fulani jijini Dar es Sallam...basi mittani ilikuwa ni KERO na kwenye mabaa...watu wa kabila Fulani wakawa wamegawana vyeo vyote serikalini, orodha ya mawaziri, wakuu wa taasisi na kadhalika hata kabla ya uchaguzi kufanyika...nilikuwa na marafiki zangu wa kabila la kaskazini dah walikuwa wanatamba aisee...Mimi nilikuwa kimyaaaaa nikijua fika kuwa ni nani atakuwa rais...
 
Nyerere alikuwa dikteta hata kauli yake hii inathibitisha. Sema tu ni kwasabb alitawala enzi za giza (ujinga mwingi na uchache wa vyombo vya habari)
Ndiye alilazimisha matomeo Dar yote kufutwa ile 1995 na uchaguzi wa Zanzibar maalim kunyimwa kuwa rais 1995baada ya kumgalagaza vibaya Komandoo Salim
 
Nikiwa Darasa la Saba Mwaka 1995, kama kijana yoyote wa Moshi Mjini Nilikua na Hamasa Kubwa Kisiasa, Na Moshi Mjini Ilikua Imewaka Moto Kisiasa.

Bwana Mrema Alikua Amejiunga na NCCR Mageuzi, Nayo NCCR ikaunganisha Nguvu Na CHADEMA Wakaweka mgombea Ubunge Bwana MTUI...na Urais Akawa Bwana Lyatonga Mrema..Kampeni Zikapamba Moto.

Timu ya Mrema ikapita kuomba Kura Uwanja wa Mashujaa Moshi ukajaa na kutapika..mimi nimo mbele kabisa Huku Mrema,Pale Makongoro Nyerere.

Wakatuelekeza kwa unyenyekevu kabisa Kwamba Wiki Ijayo Baba wa Taifa Na Mgombea wake Bwana Mkapa watakuja kwahiyo Fanyeni Hivi Na Hivi..Hao wakaondoka zao wakaenda Arusha.

Baada Ya wiki Kweli Mzee wetu Baba wa Taifa akaingia Moshi,Niliwahi Uwanjani Tokea saa Tano, Kumbe Hakuja Na Mzee Mkapa Bwana, Akaanza Hotuba na vile vichekesho vyake

Mwisho Akainua Picha ya Mkapa Nakumbuka ile picha ni ya kuchora akasema Nawaomba Mumpe kura huyu kwa Maendeleo ya nchi Yetu...

Uwanja Wote wa Mashujaa Ukanyamaza kimya Kabisa,kimya halafu wakainua vidole viwili ile Alama inayotumiwa na CHADEMA uwanja wote ukawa unapunga huku watu wamenyamaza kimya kabisa..

Mwalimu Akiwa amefura kwa hasira,akatamka nikiwa namuona na kumsikia. MTAKE, MSITAKE HUYU ATAKUA RAIS halafu akatupa ile picha chini...akaitupa kabisa halafu akashuka jukwaani Akaenda zake mkutano ukafia hapo.

Ilasikuwahi kumuona Tena Live Mwalimu Hadi Alipokufa nikiwa Form Four mwaka 1999...ila nilikua namfatilia sana hotuba zake

Tutamsema Vibaya Lakini Hakuna wa Kuvaa Viatu Vyake na Hatatokea Alikua Baba, kiongozi, mkombozi, mwalimu, mwanafalsafa, mpenda kusali, na mengine mengi. Namkumbuka na Atakumbukwa na Taifa Hili kwa Miaka Yote Hadi Ukamilifu wa Dahari...Siku Mwenye Mali Yake Atakapopenda na kusema Mwisho ndio Huu..

MP...JF LEGEND
.
Anayo mapungufu yake Dogo! ndo alivuruga uchaguzi wa 1995

Mkapa alipigwa vibaya na Mzee wa kiraracha

Hapa bongo tulirudia uchaguzi Ili tu mkapa ashinde

Kule zenji seifu alishinda akashinikiza atangazwe komandoo

Hizi figisu za kupora ishindi wa wapinzani zilianza wakati wake
 
Anapinga kwa sababu ni tendo linaloonesha udikteta wa Nyerere ila ingelikua ni tendo zuri uaongemuona..kiufupi Nyerere hakua malaika pia ana makosa yake.
Chunguza...research na uulize mm nilikuwepo hapo uwanjani...na nakumbuka kila details...na bahati nzuri upo kwenye sekta ya habari
 
Hii habari haiendani na aiba ya Mwalimu

Akafura, na Akatupa Picha Chini...,
Moja akatupa picha chini ili iweje ?,

Mbili haikuwa ajabu watu kutoka uwanjani wala kukataa na kumpinga Mwalimu kuhusu Mkapa; watu hawakumjua Mkapa, watu walimkubali Mrema na kila kiwanja alichoenda Mwalimu watu walikuwa wanapinga..., Sasa kwa kufura ghafla na kushangaa ingekuwa ni mtu aliyeshangazwa na kilichotokea wakati nina uhakika alikitegemea kilichotokea...., ila hakukata tamaa aliendelea kutembea nchi nzima na kupata upinzani mkubwa... (Mkapa alikuwa habebeki)

104954306_703869220394885_4800186528384588813_n.jpg
 
Mipumbavu sana hii mijitu. Hata 2015 kwa fisadi lowasa ilikuwa hivyohivyo.
Kama huwawezi...ungana nao..la sivyo roho yako itaacha mwili bila kujua..watakuua kwa kihoro

Washenzi wale kama walimfanyia baba wa taifa namna ile ...we watakufanyaje? Wachaga wehu

Usimsahau na yule Rais wa Venezuela...

Cc Gentamycine
 
Ndiye alilazimisha matomeo Dar yote kufutwa ile 1995 na uchaguzi wa Zanzibar maalim kunyimwa kuwa rais 1995baada ya kumgalagaza vibaya Komandoo Salim
Ndiye alikuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi?! Au alilazimisha akiwa na mamlaka gani!
 
Nikiwa Darasa la Saba Mwaka 1995, kama kijana yoyote wa Moshi Mjini Nilikua na Hamasa Kubwa Kisiasa, Na Moshi Mjini Ilikua Imewaka Moto Kisiasa.

Bwana Mrema Alikua Amejiunga na NCCR Mageuzi, Nayo NCCR ikaunganisha Nguvu Na CHADEMA Wakaweka mgombea Ubunge Bwana MTUI...na Urais Akawa Bwana Lyatonga Mrema..Kampeni Zikapamba Moto.

Timu ya Mrema ikapita kuomba Kura Uwanja wa Mashujaa Moshi ukajaa na kutapika..mimi nimo mbele kabisa Huku Mrema,Pale Makongoro Nyerere.

Wakatuelekeza kwa unyenyekevu kabisa Kwamba Wiki Ijayo Baba wa Taifa Na Mgombea wake Bwana Mkapa watakuja kwahiyo Fanyeni Hivi Na Hivi..Hao wakaondoka zao wakaenda Arusha.

Baada Ya wiki Kweli Mzee wetu Baba wa Taifa akaingia Moshi,Niliwahi Uwanjani Tokea saa Tano, Kumbe Hakuja Na Mzee Mkapa Bwana, Akaanza Hotuba na vile vichekesho vyake

Mwisho Akainua Picha ya Mkapa Nakumbuka ile picha ni ya kuchora akasema Nawaomba Mumpe kura huyu kwa Maendeleo ya nchi Yetu...

Uwanja Wote wa Mashujaa Ukanyamaza kimya Kabisa,kimya halafu wakainua vidole viwili ile Alama inayotumiwa na CHADEMA uwanja wote ukawa unapunga huku watu wamenyamaza kimya kabisa..

Mwalimu Akiwa amefura kwa hasira,akatamka nikiwa namuona na kumsikia. MTAKE, MSITAKE HUYU ATAKUA RAIS halafu akatupa ile picha chini...akaitupa kabisa halafu akashuka jukwaani Akaenda zake mkutano ukafia hapo.

Ilasikuwahi kumuona Tena Live Mwalimu Hadi Alipokufa nikiwa Form Four mwaka 1999...ila nilikua namfatilia sana hotuba zake

Tutamsema Vibaya Lakini Hakuna wa Kuvaa Viatu Vyake na Hatatokea Alikua Baba, kiongozi, mkombozi, mwalimu, mwanafalsafa, mpenda kusali, na mengine mengi. Namkumbuka na Atakumbukwa na Taifa Hili kwa Miaka Yote Hadi Ukamilifu wa Dahari...Siku Mwenye Mali Yake Atakapopenda na kusema Mwisho ndio Huu..

MP...JF LEGEND
.

Alichowafanyia waisilamu enzi za utawala wake hakitasahaulika kamwe
 
Nikiwa Darasa la Saba Mwaka 1995, kama kijana yoyote wa Moshi Mjini Nilikua na Hamasa Kubwa Kisiasa, Na Moshi Mjini Ilikua Imewaka Moto Kisiasa.

Bwana Mrema Alikua Amejiunga na NCCR Mageuzi, Nayo NCCR ikaunganisha Nguvu Na CHADEMA Wakaweka mgombea Ubunge Bwana MTUI...na Urais Akawa Bwana Lyatonga Mrema..Kampeni Zikapamba Moto.

Timu ya Mrema ikapita kuomba Kura Uwanja wa Mashujaa Moshi ukajaa na kutapika..mimi nimo mbele kabisa Huku Mrema,Pale Makongoro Nyerere.

Wakatuelekeza kwa unyenyekevu kabisa Kwamba Wiki Ijayo Baba wa Taifa Na Mgombea wake Bwana Mkapa watakuja kwahiyo Fanyeni Hivi Na Hivi..Hao wakaondoka zao wakaenda Arusha.

Baada Ya wiki Kweli Mzee wetu Baba wa Taifa akaingia Moshi,Niliwahi Uwanjani Tokea saa Tano, Kumbe Hakuja Na Mzee Mkapa Bwana, Akaanza Hotuba na vile vichekesho vyake

Mwisho Akainua Picha ya Mkapa Nakumbuka ile picha ni ya kuchora akasema Nawaomba Mumpe kura huyu kwa Maendeleo ya nchi Yetu...

Uwanja Wote wa Mashujaa Ukanyamaza kimya Kabisa,kimya halafu wakainua vidole viwili ile Alama inayotumiwa na CHADEMA uwanja wote ukawa unapunga huku watu wamenyamaza kimya kabisa..

Mwalimu Akiwa amefura kwa hasira,akatamka nikiwa namuona na kumsikia. MTAKE, MSITAKE HUYU ATAKUA RAIS halafu akatupa ile picha chini...akaitupa kabisa halafu akashuka jukwaani Akaenda zake mkutano ukafia hapo.

Ilasikuwahi kumuona Tena Live Mwalimu Hadi Alipokufa nikiwa Form Four mwaka 1999...ila nilikua namfatilia sana hotuba zake

Tutamsema Vibaya Lakini Hakuna wa Kuvaa Viatu Vyake na Hatatokea Alikua Baba, kiongozi, mkombozi, mwalimu, mwanafalsafa, mpenda kusali, na mengine mengi. Namkumbuka na Atakumbukwa na Taifa Hili kwa Miaka Yote Hadi Ukamilifu wa Dahari...Siku Mwenye Mali Yake Atakapopenda na kusema Mwisho ndio Huu..

MP...JF LEGEND
.
Nikuletee mawese wapi?
 
Nikiwa Darasa la Saba Mwaka 1995, kama kijana yoyote wa Moshi Mjini Nilikua na Hamasa Kubwa Kisiasa, Na Moshi Mjini Ilikua Imewaka Moto Kisiasa.

Bwana Mrema Alikua Amejiunga na NCCR Mageuzi, Nayo NCCR ikaunganisha Nguvu Na CHADEMA Wakaweka mgombea Ubunge Bwana MTUI...na Urais Akawa Bwana Lyatonga Mrema..Kampeni Zikapamba Moto.

Timu ya Mrema ikapita kuomba Kura Uwanja wa Mashujaa Moshi ukajaa na kutapika..mimi nimo mbele kabisa Huku Mrema,Pale Makongoro Nyerere.

Wakatuelekeza kwa unyenyekevu kabisa Kwamba Wiki Ijayo Baba wa Taifa Na Mgombea wake Bwana Mkapa watakuja kwahiyo Fanyeni Hivi Na Hivi..Hao wakaondoka zao wakaenda Arusha.

Baada Ya wiki Kweli Mzee wetu Baba wa Taifa akaingia Moshi,Niliwahi Uwanjani Tokea saa Tano, Kumbe Hakuja Na Mzee Mkapa Bwana, Akaanza Hotuba na vile vichekesho vyake

Mwisho Akainua Picha ya Mkapa Nakumbuka ile picha ni ya kuchora akasema Nawaomba Mumpe kura huyu kwa Maendeleo ya nchi Yetu...

Uwanja Wote wa Mashujaa Ukanyamaza kimya Kabisa,kimya halafu wakainua vidole viwili ile Alama inayotumiwa na CHADEMA uwanja wote ukawa unapunga huku watu wamenyamaza kimya kabisa..

Mwalimu Akiwa amefura kwa hasira,akatamka nikiwa namuona na kumsikia. MTAKE, MSITAKE HUYU ATAKUA RAIS halafu akatupa ile picha chini...akaitupa kabisa halafu akashuka jukwaani Akaenda zake mkutano ukafia hapo.

Ilasikuwahi kumuona Tena Live Mwalimu Hadi Alipokufa nikiwa Form Four mwaka 1999...ila nilikua namfatilia sana hotuba zake

Tutamsema Vibaya Lakini Hakuna wa Kuvaa Viatu Vyake na Hatatokea Alikua Baba, kiongozi, mkombozi, mwalimu, mwanafalsafa, mpenda kusali, na mengine mengi. Namkumbuka na Atakumbukwa na Taifa Hili kwa Miaka Yote Hadi Ukamilifu wa Dahari...Siku Mwenye Mali Yake Atakapopenda na kusema Mwisho ndio Huu..

MP...JF LEGEND
.
Sasa unamsifia kwa lipi Nyerere hapa?
Umekiri kumwona akilazimisha watu waichague CCM wakati hawaitaki, Nyerere ndo chanzo cha Tanzania kuwa hovyo
 
Nikiwa Darasa la Saba Mwaka 1995, kama kijana yoyote wa Moshi Mjini Nilikua na Hamasa Kubwa Kisiasa, Na Moshi Mjini Ilikua Imewaka Moto Kisiasa.

Bwana Mrema Alikua Amejiunga na NCCR Mageuzi, Nayo NCCR ikaunganisha Nguvu Na CHADEMA Wakaweka mgombea Ubunge Bwana MTUI...na Urais Akawa Bwana Lyatonga Mrema..Kampeni Zikapamba Moto.

Timu ya Mrema ikapita kuomba Kura Uwanja wa Mashujaa Moshi ukajaa na kutapika..mimi nimo mbele kabisa Huku Mrema,Pale Makongoro Nyerere.

Wakatuelekeza kwa unyenyekevu kabisa Kwamba Wiki Ijayo Baba wa Taifa Na Mgombea wake Bwana Mkapa watakuja kwahiyo Fanyeni Hivi Na Hivi..Hao wakaondoka zao wakaenda Arusha.

Baada Ya wiki Kweli Mzee wetu Baba wa Taifa akaingia Moshi,Niliwahi Uwanjani Tokea saa Tano, Kumbe Hakuja Na Mzee Mkapa Bwana, Akaanza Hotuba na vile vichekesho vyake

Mwisho Akainua Picha ya Mkapa Nakumbuka ile picha ni ya kuchora akasema Nawaomba Mumpe kura huyu kwa Maendeleo ya nchi Yetu...

Uwanja Wote wa Mashujaa Ukanyamaza kimya Kabisa,kimya halafu wakainua vidole viwili ile Alama inayotumiwa na CHADEMA uwanja wote ukawa unapunga huku watu wamenyamaza kimya kabisa..

Mwalimu Akiwa amefura kwa hasira,akatamka nikiwa namuona na kumsikia. MTAKE, MSITAKE HUYU ATAKUA RAIS halafu akatupa ile picha chini...akaitupa kabisa halafu akashuka jukwaani Akaenda zake mkutano ukafia hapo.

Ilasikuwahi kumuona Tena Live Mwalimu Hadi Alipokufa nikiwa Form Four mwaka 1999...ila nilikua namfatilia sana hotuba zake

Tutamsema Vibaya Lakini Hakuna wa Kuvaa Viatu Vyake na Hatatokea Alikua Baba, kiongozi, mkombozi, mwalimu, mwanafalsafa, mpenda kusali, na mengine mengi. Namkumbuka na Atakumbukwa na Taifa Hili kwa Miaka Yote Hadi Ukamilifu wa Dahari...Siku Mwenye Mali Yake Atakapopenda na kusema Mwisho ndio Huu..

MP...JF LEGEND
.
Phew! mkuu 'Maishapopote', sikumbuki kuwahi kukusoma humu JF kabla ya leo.
Tutamsema Vibaya Lakini Hakuna wa Kuvaa Viatu Vyake na Hatatokea Alikua Baba, kiongozi, mkombozi, mwalimu, mwanafalsafa, mpenda kusali, na mengine mengi. Namkumbuka na Atakumbukwa na Taifa Hili kwa Miaka Yote Hadi Ukamilifu wa Dahari...Siku Mwenye Mali Yake Atakapopenda na kusema Mwisho ndio Huu..


Hii habari yako, kidogo imenichanganya.
Mwalimu alikasirika baada ya kuona watu aliokuwa akiwaomba wamchague Mkapa walishapata chaguo lao, na kuanza kutoa maneno ambayo yanaonyesha kwamba hata wasipomchagua wao, bado atakuwa ndiye atakayeiongoza nchi!
Tatizo langu lipo hapo. Inakuwaje sasa uhitimishe kama ulivyohitimisha na hiyo aya ya mwisho?

Inawezekana nawe ukawa ni mmoja wa wale watu wanaoeleza mabo yao kinyumenyume ili kuwachanganya watu?

Lakini niseme ukweli wangu. Kati ya Mrema na Marehemu Benjamin Mkapa, nitakuwa siitendei haki Tanzania kumchagua Mrema na kumwacha Mkapa. Kwa hiyo Mwalimu alikuwa sahihi.
 
Back
Top Bottom