Elections 2010 Alichokiomba Dr Slaa ni kusitisha kutangaza matokeo, sio Umwagaji damu

Majina yote weka hapa. Ukweli uko pale pale. Hakuna mtu anataka kutokuwa mwoga kwa au mnafiki kwa kuleta fujo ambazo hazina tija. Twende mbele na turudi, si njia njema.
Tujadili hoja.

hoja ipi hiyo? ya wewe kujiita kuwa ni mwanachadema wakati unajua kabisa ukweli sio huo?

Acha crap zako bana, ukileta bange hapa, utazipata tu maana haya nyani haangaliwi usoni.

Unafiki wako peleka huko huko Lumumba walikokutuma.
 
Yea,

Nitarudia kuwaambia hili hadi mlielewe vizuri
 

Mwafrika, kila mwenye macho na masikio, ameyaona na kuyasikia madudu ya NEC kwenye uchaguzi wa mwaka huu, kwa kifupi maroroso ni mengi tuu, lakini kwa vile Dr. Alisaini kuzikubali zile rules of the game, kama ana malalamiko yoyote, angeanzia kuyapeleka kwa refa (NEC) ndipo akaja na vyombo vya habari na hatimaye ayakabidhi kwa umma.

NEC inajua inachokifanya,( kuna posti niliposti kule nyuma kuhusu matokeo ya mwisho, nilitukanwa sana, nikashauri tusubiri nami bado nasubiri) na itaendelea na inachokifanya, Kesho saa 11 jioni, watatangaza matokeo ya mwisho na baada ya hapo hakuna hata mahakama yenye uwezo wa kufanya chochote. Jumamosi Saa 4:00 Uwanja wa Taifa, JK ataapishwa, kitakachofuata ni kusubiri 2015!.

Kila mpenda demokrasia wa kweli, lazima anaumizwa na kinachoendelea, naamini hata wana CCM wa ukweli, hawaipendi hali hii ya kupewa ushindi wa mezani, lakini Dr, anapaswa kuyapeleka malalamiko yake kunakohusika kwanza, ndipo na aumwage mtama kwenye kuku wengi.

Kwenye kulijadili hili, naombeni ushabiki tuuweke pembeni, tutangulize maslahi ya taifa.
 
hoja ipi hiyo? ya wewe kujiita kuwa ni mwanachadema wakati unajua kabisa ukweli sio huo?

Acha crap zako bana, ukileta bange hapa, utazipata tu maana haya nyani haangaliwi usoni.

Unafiki wako peleka huko huko Lumumba walikokutuma.

Crap ni nini kama unavyoitumia hapa? Bange tena?!
Pili, siyo lazima niwe mwana-chadema ili niweze m-support Slaa. Naweza niwe nipo nipo tu na nika-support yoyote. Na wewe hulazimishwi kuwa chochote kile. Mimi nasema hali halisi moyoni kwangu, siyo mwanachama yoyote na nina support ninaye mpenda.
Muhimu ni kuwa hapa tunaongelea mambo halisi ya nchi, yanayomuhusu mpiga au asiyepiga kura yaani Watanzania.

Mwafrica kama unaenda kwa bangi leo kunywa chai unielewe.
 

Kweli kabisa


Nakumbuka ile thread yako na kama unakumbuka, nilijizuia kusema sana.


Kuna kosa gani kwenye kutangazia wanachama wake kinachoendelea?
 
Mwanjelwa: Mheshimiwa Dr. Willbrod Peter Slaa anagombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hagombei Ubunge! Kwa mantinki hiyo hana wajibu wa kuwapigania wagombea Ubunge. Wagombea hao wanaweza kujitetea wenyewe majimboni mwao! Pia wanaweza kutetewa na CHADEMA kama chama na sio Dr. Slaa. Tafadhali epuka kabisa kushusha heshma na hadhi ya Dr. Slaa - Rais Mtarajiwa!! Dr. Slaa andelea kulinda kura zako. CHADEMA, wafuasi wake na Watanzania wenye nia njema kwa nchi yao - endeleeni kumtetea na kumlinda mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dr. Willbrod Peter Slaa mpaka kieleweke! Haya shime WAZALENDO!
 
Ningekuwa uarabuni walai tena ile kazi ya kujitoa mhanga ningeitekeleza.
Wanabahati nimezaliwa na uoga kidogo wa kujitoa mhanga
 

Swali dogo: Kama anachosema ni upuuzi SI TUME IKUBALI KUHESABU UPYA MATOKEO ILI UONGO WAKE UDHIHIRIKE????
 
Nadhani wameshapeleka malalamiko yao NEC kwanza kabla leo hawajaongea na wanahabari, nimesoma kwenye Mwanahalisi Marando kasema wameshapeleka malalamiko yao huko lakini kama unavyojua NEC wanaweka pamba masikioni kwasababu wanajua wanachokifanya
 
kwenda huko.Kuna uhusiano gani kati ya kurudiwa uchaguzi/uhesabiwaji wa kura na uchochezi?wewe ndo naona mchochezi,kama unasapot basi wewe si mtanzania na huna uchungu na nchi yetu inayoliwa na mafisadi,mahakamani???????????:nono:
 
Kimsingi anayemwaga damu ni yule anayeiba kura za wananchi akitaka mwananchi achekelee.....katu hatutakubali..Yule ambae alisema atashinda kwa gharama yoyote na kile anachokifanya sasa ndio anamwaga damu....hembu watanzania tuache unafiki na tujaribu kuvaa viatu vya anayerdhulumiwa kabla hujapotosha wananchi....MUDA WA KUPOTOSHANA UMEISHA......Dr slaa yuko sahihi......MAkame atajutia anachokifanya!!!!!
 
Hivi kisheria wakipokea malalmiko mahakama wanweza kusitisha zoezi linaloendelea kabla ya wahuni kujitangaziwa usshindi wa kutengenezwa?. Kama hilo lipo naona lichangamkiwe ili walau tuwe tumejaribu na NEC ionekane kughairi amri ya mahakama!
Just trying.
 

wanajaribu kuzuia maana matokeo yakitangazwa ndio imetoka hivyo
 
Mwanjelwa anaanza ulikua mnafiki.....kama ulikua unamsapoti dr slaa basi acha...mana hata ye hakutaki...kinana jana aliongea upupu wake...kwa unafiki wako ukakaa kimya...hatukuhitaji nchi hiii.....Ukimnyima mtu haki yake maana yake wewe ndo hutaki amani!!!!
 

Pasco nakumbuka lile bandiko lako kaka!! hakuna demokrasia....Jk ANAFIKIRI KUWA AKISTEP DOWN SIJUI ATAUFA AU HIYO MIAKA MITANO SIJUI NDIO ITAMBADILISHA AWE Mungu
 
mkunduuu..................................
 
Kwani unaongelea Uchaguzi wa nchi gani? Kama ni huu wa tz basi unaonekana kama mtu aliyezinduka baada ya kuzimia siku nne. Kwamba hujui nini kimetokea tz tangu jmosi iliyopita. Basi ukae kimya usikilize waloshuhudia kilichotokea.
 

Mkuu hapo kwenye red hebu elezea kidogo ni namna gani watanzania wanaweza kudai haki yao baada ya Tume kumtangaza mtu ambae hawajamchagua kwenye nafasi ya uraisi maana wabunge wanaweza kwenda mahakamani, sasa kwa nafasi ya uraisi hebu tupe hiyo namna nyingine ya kudai haki yetu maana ni lazima tuidai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…