Elections 2010 Alichokiomba Dr Slaa ni kusitisha kutangaza matokeo, sio Umwagaji damu

Elections 2010 Alichokiomba Dr Slaa ni kusitisha kutangaza matokeo, sio Umwagaji damu

Kama Kiongozi mkubwa si busara kuanza kuchochea ghasia. Hicho kitendo kimenikera sana na sikutarajia kwa kiongozi niliyempa points nyingi sana kabla. <br />
<br />
Tusimame kama Watanzania. Kama kuna shida na matokeo, tusubiri kwanza then twende mahakamani.
<br />
<br />
Nasikia mkuu akishatangazwa na kuapishwa mahakama haina namna; ebu magwiji wa sheria mtuondoe tongotongo na mtupe mapendekezo yanayoweza tekelezeka kwa mustakabali wa wtoto wete na watoto wa watoto wetu
 
Mag3, Sophist, fishyfish wote mna haki ya kusema, aidha niwe coward, mwoga au vyovyote vile mtavyoita, hata siku moja kushindwa na kudai haki violently is never is solution. Ninachokifahamu ni kukaribisha De campo na wenzake na kuishia kutoaminiana baada ya kiongozi wetu kupelekwa pale. Kuna namna tele za kudai haki, na si kuhamasisha watu waingie mitaani. Hata hivyo, ninavyojua kwa nchi hii hakuna mtu atakuwa tayari kuwa chambo. Tuna muda na kama tumeweza kuchukua viti 51 kama wapizani, kwanini tusiweze kuchukua nchi muda ukifika?!

kwa hiyo nyie ndugu niliowataja hapo juu, mawazo ni mazuri kwa kuandika hapa hapa ili kuyajadili na si mazuri kivitendo mtaani. Bahati nzuri hayo mnayoyasema na kuchochea hamjawahi yapata ila kwa kuona kwenye TV. Ni mbaya sana.
huu ni upuuzi,yeah i said it ni UPUUZI!
sijui mnalipwa sh ngapi kwa kuwajaza watu hofu....wenzako wachungaji feki na mashekh feki walirandaranda kwenye vyombo vya habari kuwatisha wananchi wasichague upinzani eti kwa madai kuwa wataleta vita. na ombi lao lilikuwa watu wakubali matokeo yoyote yale! what a shame!!!ukubali matokeo yoyote yale kivipi? huwezi kuingia kushindana alafu ukaanza kumwambia mshindani wako kuwa wewe utakubali matokeo yoyote yale!!!!utashangaza sana ikiwa hivyo. lazima uwe na malengo ya kushinda,ila ukishindwa kwa haki unakubali na kumpa mkono mshindani wako. kama matokeo yamepikwa ili wewe ushindwe utampaje mkono mshindani....ndani ya ccm yamewashinda..kawaulize huko ukerewe watakusimulia. ...kama matokeo yamepikwa no matter what lazima yapingwe kwa nguvu zote...this is for real bro/sisy.
Napingana kupikwa kwa matokeo, makame amehojiwa hapa ana kigugumizi cha ghafla na anaonyesha hila za waziwazi! eti oooh huku tuna hakiki na tunabadilisha kwenye makosa!!!makosa ya figures?how? kwa nini unabadilisha bila kushirikisha waliozihesabu......
....watu wamesoma kwa kodi za wananchi halafu wamekuwa hovyo kabisa kwa kuwa wafuasi wa mafisadi bila kulihurumia taifa.....
...................................................Wake up Makame, kiravu and the co, haki haiporwi kirahisi hivyo!.................
 
Nimefuatilia kwa makini sana uchaguzi wa mwaka huu. Nimevutiwa sana kwa jinsi shamra shamra na msisimko mkubwa sana. Hakika Tanzania tumekomaa kisiasa na tunaelekea kwema.

Tatizo langu linakuja pale mmoja wa wagombea, hapa namaanisha Dr. Slaa kuanza kwa maksudi kabisa kutaka kuanzisha fujo zisizo na maana. Kwa jinsi alivyozipanga points zake kwa kusema kura za urais zisimamishwe na si kura za ubunge nadhani kila mmoja anafahamu kuwa alikuwa anakwepa kuudhi washirika wake walioshinda ubunge. Kwa maana hii tunatambua kuwa janja yake kubwa ni kutaka serikali ya kitaifa iundwe. Mimi nakubaliana na hiyo point, ila approach aliyotumia kwa kweli inanipa wasi wasi kama kweli ana busara na ni mtu aliyekomaa kisiasa.

Kama Kiongozi mkubwa si busara kuanza kuchochea ghasia. Hicho kitendo kimenikera sana na sikutarajia kwa kiongozi niliyempa points nyingi sana kabla.

Tusimame kama Watanzania. Kama kuna shida na matokeo, tusubiri kwanza then twende mahakamani.
Tatizo ndugu yangu hujui sheria za nchi hii.. Matokeo ya raisi yakishatolewa na jk kutangazwa raisi huwezi kupinga mahakamani ndugu.. Lakini unaruhusiwa kukataa matokeo kama yamechakachuliwa kabla ya jumla yote kutajwa.. Dr. Slaa hajaropoka kutoka hewani ikizingatiwa kapata ushahidi toka kwa watu maalumu saana walio karibu na system kwa kuwa nae ni mtu anaewajua vizuri ndo maana kataja hadi muda wa kura zilipochakachuliwa na ana ushahidi kamili. Najaribu kufuatilia ili nikupe hizo facts.. Kusema kweli kama u are sensefull utakubali tume sio huru ndio maana umoja wa madola uliiponda sana kwenye ripoti yake pia nitaaitafuta kopi nikupe usome kidogo. Yeye ajatoa hewani anawafahamu hata TISS waliohusishwa na hiyo ishu.. Tulia usikie haibiwi kura mtu hapa!!!!
 
Tatizo ndugu yangu hujui sheria za nchi hii.. Matokeo ya raisi yakishatolewa na jk kutangazwa raisi huwezi kupinga mahakamani ndugu.. Lakini unaruhusiwa kukataa matokeo kama yamechakachuliwa kabla ya jumla yote kutajwa.. Dr. Slaa hajaropoka kutoka hewani ikizingatiwa kapata ushahidi toka kwa watu maalumu saana walio karibu na system kwa kuwa nae ni mtu anaewajua vizuri ndo maana kataja hadi muda wa kura zilipochakachuliwa na ana ushahidi kamili. Najaribu kufuatilia ili nikupe hizo facts.. Kusema kweli kama u are sensefull utakubali tume sio huru ndio maana umoja wa madola uliiponda sana kwenye ripoti yake pia nitaaitafuta kopi nikupe usome kidogo. Yeye ajatoa hewani anawafahamu hata TISS waliohusishwa na hiyo ishu.. Tulia usikie haibiwi kura mtu hapa!!!!

Pia kuna ushahidi wa SMS kati ya viongozi mbalimbali kuhusu kuchakachua kura.. Kila mtu anashangaa jamaa(Slaa ) kapataje hiyo nyeti lakini hizo sms zilihusu jimbo la Segerea bado na mengine pia... Haibiwi mtu hapa kila mtu kawachoka hao CCM
 
Watanzania
Suala ni kwamba bado nyie wote hapo juu mlioongea mko gizani. Nina hakika hata mnachokiandika hamkielewi Lakini pia mtu anayekimbilia matusi mara nyingi tunajua sisi ni aliyeshindwa kuwa na hoja. Labda la maana niwaambie; Mheshimiwa Slaa harudii tena kuongea hicho alichoongea leo ambacho wengine hamjasikia. Amesisitiza kuwa anapata simu nyingi sana; shinyanga wanampigia na nchi nzima wanampigia. Sasa wanampigia nini? Akamaliza kwa kusema kuwa akianzisha valangati, si chadema, wala sisiem wala chama chochote kitapata manufaa. Sasa nyie mnaodai kuwa hakusema haya maneno mna maana ipi? Hizo ni kauli chafu cha uchochezi kuweza kutolewa na kiongozi mkubwa kama yeye. Sasa hivi lazima De campo na wenzake wameshachukua kalamu wanasubiri. Ninachojua ni kwamba watu wa busara wameshamwona Mheshimiwa Slaa na hakika ukimwambia arudie kauli zake za leo hawezi hata kwa mtutu wa bunduki hawezi kabisa. Kama kuna mtu anabisha tuendelee kusubiri kesho na siku zifuatazo na kama akirudia kuongea kama leo mnisute hapa hapa JF.

Wengine wote mnaongea tu hapa. Kama kawaida kwa kuwa mdomo na uwezo wa kuongea hakukuhitaji fedha wala ujuaji. Kuongea tu. Endeleeni.
 
<br />
<br />
Nasikia mkuu akishatangazwa na kuapishwa mahakama haina namna; ebu magwiji wa sheria mtuondoe tongotongo na mtupe mapendekezo yanayoweza tekelezeka kwa mustakabali wa wtoto wete na watoto wa watoto wetu

Tatizo ndugu yangu hujui sheria za nchi hii.. Matokeo ya raisi yakishatolewa na jk kutangazwa raisi huwezi kupinga mahakamani ndugu.. Lakini unaruhusiwa kukataa matokeo kama yamechakachuliwa kabla ya jumla yote kutajwa.. Dr. Slaa hajaropoka kutoka hewani ikizingatiwa kapata ushahidi toka kwa watu maalumu saana walio karibu na system kwa kuwa nae ni mtu anaewajua vizuri ndo maana kataja hadi muda wa kura zilipochakachuliwa na ana ushahidi kamili. Najaribu kufuatilia ili nikupe hizo facts.. Kusema kweli kama u are sensefull utakubali tume sio huru ndio maana umoja wa madola uliiponda sana kwenye ripoti yake pia nitaaitafuta kopi nikupe usome kidogo. Yeye ajatoa hewani anawafahamu hata TISS waliohusishwa na hiyo ishu.. Tulia usikie haibiwi kura mtu hapa!!!!

Pia kuna ushahidi wa SMS kati ya viongozi mbalimbali kuhusu kuchakachua kura.. Kila mtu anashangaa jamaa(Slaa ) kapataje hiyo nyeti lakini hizo sms zilihusu jimbo la Segerea bado na mengine pia... Haibiwi mtu hapa kila mtu kawachoka hao CCM..
 
Mwafrika, kila mwenye macho na masikio, ameyaona na kuyasikia madudu ya NEC kwenye uchaguzi wa mwaka huu, kwa kifupi maroroso ni mengi tuu, lakini kwa vile Dr. Alisaini kuzikubali zile rules of the game, kama ana malalamiko yoyote, angeanzia kuyapeleka kwa refa (NEC) ndipo akaja na vyombo vya habari na hatimaye ayakabidhi kwa umma.

NEC inajua inachokifanya,( kuna posti niliposti kule nyuma kuhusu matokeo ya mwisho, nilitukanwa sana, nikashauri tusubiri nami bado nasubiri) na itaendelea na inachokifanya, Kesho saa 11 jioni, watatangaza matokeo ya mwisho na baada ya hapo hakuna hata mahakama yenye uwezo wa kufanya chochote. Jumamosi Saa 4:00 Uwanja wa Taifa, JK ataapishwa, kitakachofuata ni kusubiri 2015!.

Kila mpenda demokrasia wa kweli, lazima anaumizwa na kinachoendelea, naamini hata wana CCM wa ukweli, hawaipendi hali hii ya kupewa ushindi wa mezani, lakini Dr, anapaswa kuyapeleka malalamiko yake kunakohusika kwanza, ndipo na aumwage mtama kwenye kuku wengi.

Kwenye kulijadili hili, naombeni ushabiki tuuweke pembeni, tutangulize maslahi ya taifa.

Pasco, Mwanahalisi ya leo ina taarifa kuwa Mwanasheria wa CHADEMA Comred Marando, aliwaandikia NEC jana na kupeleka madai mazito na vielelezo. Mpaka matokeo ya hadi Jumatatu CHADEMA wanadai Slaa alikuwa anaongoza kwa asilimia kama 61.6 lakini kinachotangazwa ni tofauti.
 
Ningekuwa uarabuni walai tena ile kazi ya kujitoa mhanga ningeitekeleza.
Wanabahati nimezaliwa na uoga kidogo wa kujitoa mhanga

hakuna haja ya kujilipua hawa tunaenda nao kibandidu ndio kitaeleweka...nguvu ya umma sio ndogo
 
wewe mweka hii mada,je wajua yaliyojili huko monduli? embu ona
JIMBO LA MONDULI INAKUWAJE? kikwete ana kura nyingi zaidi ya slaa na lowassa???

Katika Jimbo la Monduli

Edward Lowassa CCM 3236
Molel Aman Chadema 2358


Lakini Uchaguzi wa Rais

Kikwete CCm 27198
Wilbroad Slaa 5446

Wapi Kikwete kapata kura zaidi ya lowassa ina maana walichagua rais kuliko mbunge?​
 
Tatizo ndugu yangu hujui sheria za nchi hii.. Matokeo ya raisi yakishatolewa na jk kutangazwa raisi huwezi kupinga mahakamani ndugu.. Lakini unaruhusiwa kukataa matokeo kama yamechakachuliwa kabla ya jumla yote kutajwa.. Dr. Slaa hajaropoka kutoka hewani ikizingatiwa kapata ushahidi toka kwa watu maalumu saana walio karibu na system kwa kuwa nae ni mtu anaewajua vizuri ndo maana kataja hadi muda wa kura zilipochakachuliwa na ana ushahidi kamili. Najaribu kufuatilia ili nikupe hizo facts.. Kusema kweli kama u are sensefull utakubali tume sio huru ndio maana umoja wa madola uliiponda sana kwenye ripoti yake pia nitaaitafuta kopi nikupe usome kidogo. Yeye ajatoa hewani anawafahamu hata TISS waliohusishwa na hiyo ishu.. Tulia usikie haibiwi kura mtu hapa!!!!

Pia kuna ushahidi wa SMS kati ya viongozi mbalimbali kuhusu kuchakachua kura.. Kila mtu anashangaa jamaa(Slaa ) kapataje hiyo nyeti lakini hizo sms zilihusu jimbo la Segerea bado na mengine pia... Haibiwi mtu hapa kila mtu kawachoka hao CCM..

We Elisikia, bado uko junior sana humu na inawezekana hata hujui kinachoendelea dunia ya Tanzania kwa sasa. Ushahidi wa TISS usikuangaike, inawezekana ni sisi ndiyo tumempatia Slaa. Usiandike tu kwa kuwa umesoma kule wanabidii au kokote na bila kujua nani anaye-post huko au hapa. Issue tunayoongelea hapa ni yatokanayo. Yaani issue ya leo. Everybody close to him is shocked. That is the really. Wengine wako kimya, wanaogopa. Nakushangaa wewe umekomalia kitu kidogo sana cha TISS.
 
DOGO MWANJELWA TATIZO LIKO NDAN YA KICHWA CHAKO.........NA NADHAN NI WALE WALIOSHINDWA SHULE.....NA NDIO ILE 80% ILIYO KIJIJIN AMBAYO CCM INATOKEA HUKO!

:A S cry:WATU ATA WAKIJITAHIDI KUKUELEWESHA NNA UHAKIKA HAWATAFANIKIWA KUKUELEWESHA..................

WATU WANASHINDWA KUELEWA KAMA SIO KOSA LAKO.......ILA TUNAAHIDI SHULE ZA KATA ZINAWEZA KUKUNYANYUA NA 2015 UKATUELEWA BADALA YA IMANI ULIYONAYO YA KUAMINI NYERERE NDIO RAIS WA NCHI
 
wewe mweka hii mada,je wajua yaliyojili huko monduli? embu ona
JIMBO LA MONDULI INAKUWAJE? kikwete ana kura nyingi zaidi ya slaa na lowassa???
Katika Jimbo la Monduli

Edward Lowassa CCM 3236
Molel Aman Chadema 2358


Lakini Uchaguzi wa Rais

Kikwete CCm 27198
Wilbroad Slaa 5446

Wapi Kikwete kapata kura zaidi ya lowassa ina maana walichagua rais kuliko mbunge?

we vipi tena? What happened to your common sense? Mimi mwenyewe nimemchagua rais na mbunge vyama tofauti. Kuna shida hapo?
 
Dr slaa has no bad intentions to what he claims,,,,all he wants and we wants as well is the true and genuine results.........
 
We Mwanjelwa umetumwa na Kikwete nini utupotezee muda kujadili kitu kilicho wazi. Dr. Slaa aligombea urais sio ubunge wala udiwani sasa hapinge matokeo yote ina maana gani? Kwa taarifa Dr. Slaa ni mtu makini pia Mwanasaikolojia anajua anachofanya pia ana haki ya kukataa kwa sababu zifuatazo;-
1.Sehemu anazokubalika matokeo yamachelewa kwanini
2.Kama CCM wameiba hata kura za udiwani mfano Tandika watashindwa Uraisi
3.Ubunge kwenyewe kuna ushaidi kibao kama wameiba hata wewe mwenyewe umesibitisha that why ukasema kwanini asilalamikie matokeo yake
4.CCM ni wezi kama wanaiba hata madini kama Meremeta,Barick na Geita kwa kushirikiana na wanaowaita eti wawekezaji watashindwa kura kwasababu tume yenyewe ni ccm
Sababu zipo nyingi sema muda sina wa kupoteza kwa watu kama nyinyi wenye mtazamo wa fikra za Mwenyekiti zidumu
 
Dr slaa has no bad intentions to what he claims,,,,all he wants and we wants as well is the true and genuine results.........

I understood and still stand in that direction. However, we are flabbergasted with the latest turn of events, today.
 
Kama ni busara wewe ndiye huna busara, kwa kuwa hata mambo yaliyo ya hekima na busara wewe bado huwezi kuyatambua. Nina wasiwasi na upeo wako wa kufikiri na kupambanua mambo hasa inapokuja kwenye masuala yanayotoa mustakabari wan chi hii. Na dokta slaa si wa kwanza kuziona kasoro hizo, maana hata waangalizi wa jumuiya ya umoja wa ulaya wametilia shaka mchakato mzima wa uhesabuji kura, ambao unatoa mwanya kwa CCM kuchakachua matokeo. Na kama wewe unadhani suala ni kunyamaza kimya, consider yourself a failier, and not only that but a stupid looser kwa sababu unaongea kitu usichokijua, na hata sheria za nchi hujui zina zungumziaje kuhusu matokeo ya uraisi. Watu kama wewe kwa zama hizi wanahesabika kama maadui wa taifa letu, ambalo limeporwa na wana ccm wachache, na wakadhani wana dhaman ya kututawala milele. Wanachokitaka CCM ni maandamano ya nchi nzima ikibidi. Maana hata kura zetu wamezichakachua.
 
Watanzania
Suala ni kwamba bado nyie wote hapo juu mlioongea mko gizani. Nina hakika hata mnachokiandika hamkielewi Lakini pia mtu anayekimbilia matusi mara nyingi tunajua sisi ni aliyeshindwa kuwa na hoja. Labda la maana niwaambie; Mheshimiwa Slaa harudii tena kuongea hicho alichoongea leo ambacho wengine hamjasikia. Amesisitiza kuwa anapata simu nyingi sana; shinyanga wanampigia na nchi nzima wanampigia. Sasa wanampigia nini? Akamaliza kwa kusema kuwa akianzisha valangati, si chadema, wala sisiem wala chama chochote kitapata manufaa. Sasa nyie mnaodai kuwa hakusema haya maneno mna maana ipi? Hizo ni kauli chafu cha uchochezi kuweza kutolewa na kiongozi mkubwa kama yeye. Sasa hivi lazima De campo na wenzake wameshachukua kalamu wanasubiri. Ninachojua ni kwamba watu wa busara wameshamwona Mheshimiwa Slaa na hakika ukimwambia arudie kauli zake za leo hawezi hata kwa mtutu wa bunduki hawezi kabisa. Kama kuna mtu anabisha tuendelee kusubiri kesho na siku zifuatazo na kama akirudia kuongea kama leo mnisute hapa hapa JF.

Wengine wote mnaongea tu hapa. Kama kawaida kwa kuwa mdomo na uwezo wa kuongea hakukuhitaji fedha wala ujuaji. Kuongea tu. Endeleeni.

wewe ni Majid Mjengwa? Your so stupid
 
Mwanjelwa u r cursed In Jesus Name. Kweli unataka utawaliwe au uongozwe!!!! Hivi uliona wapi raisi anatetea washtakiwa mahakamani wakati yeye ndo chief prosecutor!!!
Bado akili yako haichanganyi!!!! Sorry 4 u. Kama ni mapenzi hata chongo ni zaidi!!!
 
we mwanjelwa mtazamo wako wa mwanzo ulikuwa negative kwa Dr. Slaa wala usitake kujikoshwa kuwa ni Chadema baada ya kupewa live. Ondoka hapa na upuuzi wako
 
Back
Top Bottom