Yale ya Mtwara ni UAMSHO nayo?
Sie yetu macho ila msingi mkubwa mumejipanga vipi kuanzisha Serikali ya Tanganyikaa na kuacha wakti wote kuifikiria Znz?
Mimi naamini wazi katika Serikali ta Tanganyika tutaona mengi sana ikiwemo Ukanda, Ukabila na UDINI.
Tuvute subra tuone.
Pole sana
Madai ya Waislam ktk katiba ya Tanganyika-
Mahakama Qadhi
Ijumaa iwe Mapumziko
Madaraka sawa kati ta Wakiristo na Waislam
Rais wa Tanganyika iwe kwa zam kati ya wakiristo na waislam.
Katiba itambuwe kuwepo kwa Mungu.
.......
.....,,,,
Jee serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar baada ya kumaliza kutema asali na kubugia pilipili yatajiri yapi mbona unakuwa mbaguzi wa fikra? Ya mtwara hayahusiani na dini, haya ya ukanda na ukabila ni mada mpya, tumalize la udini halafu nitakujibu.
Swali zuri tumejipanga vipi....Kwakuwa tuna akili timamu, na kwakuwa tunajuwa kuwa Katiba ya JMT ndiyo sheria mama, Tutatumia kifungu cha 31 cha rasimu kwani ikishapitishwa itakuwa ni katiba ya JMTmadai ya waislam huko Tanganyika ni haya.
Na zaidi kuachwa wawe huru katika kuunda umoja wao na sio BAKWATA. Sijazungumzia Mou Ya kanisa na Serikali ya JMTz.
Je mmejipanga vipi na changamoto hizi.
Haya ndio kwa sasa mlitakiwa kukaa na kufikiri na sio kuifikiria Znz kwani waswahili wanasema Ondoa boriti katika jicho lako kabla kulitazama la mwenzako.
Pole sana
Ngoja nikusaidie kuwapelekea Notifications waje wakusulubu maana ulivyowacopy wanaweza wasijuwe kuna hoja nyepesi huku ukabaki unajisifu wamekukimbia... Nguruvi3, Mag3, Yericko Nyerere, Mkirua, Mzee Mwanakijiji, NicholasAhsante sana ami yangu Boribo kwa kuainisha hayo. Lakin kubwa zaidi la kuongeza hapo ni lile la MoU ya kanisa na Serikali ya JMTz na suala la Gas kule Mtwara.
Nafikiri ingekuwa busara kwao kwa sasa kuanza kufikiria changamoto hizo kwanza katika uanzishwaji wa Taifa lao badala ya kukesha kutwa kucha kufikiri Serikali ya SMZ.
Cc: Nguruvi3, Mag3, yericho Nyerere, Mkirua, Mwakanakijiji, Nicholas
Haya ndiyo matatizo ya Watanganyika wengi!...achana na Zanzibar shughulikia na changamoto zako mwenyewe wakati wa kuanzisha Taifa changa Tanzania Bara au kuirudisha "old" Tanganyika.
Kuna changamoto za Wa-Kusini, kuna udini je utachukua sura gani baada ya Muungano kuvunjika? kuna ukabila na mengineyo.
Jali ya kwako; ni mzanzibari ndiye anayekusababishia wewe uipate Tanganyika yako, ni Mzanzibari ndiye anayekusababishia wewe uutue mzigo wa mabilioni ya kodi yako kupelekwa Zanzibar (ilhali Wazanzibari wenyewe wanajiweza na wala hawakuziomba) ulikuwa umekaa tu hata hujijui!
Wape heshima yao!
Kwani Muungano na particularly uwepo wa visiwa vya unguja na pemba una impact gani kwa sasa kwenye kupunguza hayo matatizo? Huoni kuwa ni kuongeza tatizo (UAMSHO, UPEMBA, UUNGUJA, HIZBU NK,NK,)Na sasa concentration itakuwa sehemu moja?? Ni kuvuja kwa pakacha....Haya ndiyo matatizo ya Watanganyika wengi!...achana na Zanzibar shughulikia na changamoto zako mwenyewe wakati wa kuanzisha Taifa changa Tanzania Bara au kuirudisha "old" Tanganyika.
Kuna changamoto za Wa-Kusini, kuna udini je utachukua sura gani baada ya Muungano kuvunjika? kuna ukabila na mengineyo.
Jali ya kwako; ni mzanzibari ndiye anayekusababishia wewe uipate Tanganyika yako, ni Mzanzibari ndiye anayekusababishia wewe uutue mzigo wa mabilioni ya kodi yako kupelekwa Zanzibar (ilhali Wazanzibari wenyewe wanajiweza na wala hawakuziomba) ulikuwa umekaa tu hata hujijui!
Wape heshima yao!
Jidanganye!Kwani Muungano na particularly uwepo wa visiwa vya unguja na pemba una impact gani kwa sasa kwenye kupunguza hayo matatizo? Huoni kuwa ni kuongeza tatizo (UAMSHO, UPEMBA, UUNGUJA, HIZBU NK,NK,)Na sasa concentration itakuwa sehemu moja?? Ni kuvuja kwa pakacha....
Mimi nadhani ingekuwa bora tuondokane na huu muungano maana chokochoko hazitaisha, tumetumia mabilioni ya pesa kuja na hii rasimu, pesa ambazo zingeweza kabisa kuinua elimu yetu.
Ipo harufu huko mbeleni tutakuja tumia matrilioni mengine kwa ajili ya hayo saba yaliyobaki kwenye muungano.
These people will never rest mpaka wahakikishe wameuvunja.
Sasa suala la elimu watasoma kwao sasa! Huo ndo utamu! Sijui wana vyuo gani huko kwao! Na serikali yao itagaramia wa zanzibar kwenye elimu!
Ukiona mtu haijui nchi ya Tanganyika,ni kosa lake kutojuwa jiografia,ikiwa akasoma ni lazima ajuwe kuna nchi Ya Tanganyika na wa Tanganyika ni wakazi wake.Neno la kijiweni liko wapi kayika maelezo yangu?
Ukileta nchi inayoitwa Tanganyika karne hii, utapata shida kujitambulisha.
How does it sound umeenda nje ya nchi halafu unasema mimi ni Mtanganyika?
Wanaweza kusema labda unatokea kigoma, Tanzania!
Ubaguzi huo,si ndio huo mnaoleta nyinyi kwa wa Tanganyika,hamuwataki Zanzibar.Sultan alikuwa mzanzibar,alipopinduliwa aliomba ukimbizi UK hakwenda Oman,Uingereza mpaka leo kuna malkia lakini kuna waziri mkuu vile vile,si Uingereza peke yake ina huo mfumo huo wa serikali bali nchi za skandanavia,Holland nk,na huo ndio mfumo wa serikali ulikuwepo Zanzibar,mpaka mlipo leta mfumo wenu wa Chama kushika hatamu 😉
Ukizungumzia kuhusu vibaraka kwahiyo Wazanzibari wote vibaraka kwani hao watawala wa sasa hapo zanzibar hamna hata mmoja mwenye generation hata mbili hapo zanzibar kuanzia Karume na wengineo,wote wageni
Propaganda tumejazwa tuwaone hao masutan ni wageni lakini kama mtu ana kizazi cha generation zaidi ya tano katika sehemu anayoishi utamwita mgeni huyo?,....au ubaguzi wa rangi ndio uliomfanya aonekane mgeni
wangekuwa wanajiweza wasingejazana Tanganyika.Haya ndiyo matatizo ya Watanganyika wengi!...achana na Zanzibar shughulikia na changamoto zako mwenyewe wakati wa kuanzisha Taifa changa Tanzania Bara au kuirudisha "old" Tanganyika.
Kuna changamoto za Wa-Kusini, kuna udini je utachukua sura gani baada ya Muungano kuvunjika? kuna ukabila na mengineyo.
Jali ya kwako; ni mzanzibari ndiye anayekusababishia wewe uipate Tanganyika yako, ni Mzanzibari ndiye anayekusababishia wewe uutue mzigo wa mabilioni ya kodi yako kupelekwa Zanzibar (ilhali Wazanzibari wenyewe wanajiweza na wala hawakuziomba) ulikuwa umekaa tu hata hujijui!
Wape heshima yao!
Wakiuvunja kinakuuma nini wewe? kama hawautaki utawalazimisha? hivi mbona mnapenda chokochoko ninyi?