Alichokisema Ismail Jussa baada ya Tume kutoa Rasimu ya Katiba...

Alichokisema Ismail Jussa baada ya Tume kutoa Rasimu ya Katiba...

Duuh!eti bonge la nchi wanapelekeshwa na kanchi kadogooo!
 
Nadhan watu wengi humu hatutaki kuijua historia yetu, Jaman Zanzibar kwame hatutaiacha iende kwani ni sehemu ya Tanganyika kama ilivyo mikoa mingine like Kigoma, Dar sasa nawashangaa hawa wakazi wa mikoa ya Tanganyika yaani mikoa ya Unguja na Pemba kwa jinsi wanavyotoa povu,

Kuiachia mikoa yetu ya unguja na Pemba ni sawa na kuiachia Kigoma iende Rwanda, Kagera iende Uganda, Mtwara iende Msumbiji, Mbeya iende Malawi, ambalo ni jambo gumu lisilowezekana hata siku moja HATA IWEJE.


PIGA UA PIGA GARAGAZA, HABANI, HASIRANI KAMWE SISI WATANGANYIKA HATUTARUHUSU MIKOA YETU YA NCHI YETU UNGUJA NA PEMBA VIRUDI MIKONONI MWA MASULTAN HAO WAKINA JUSSA NA MAARIF SEIF AMBAO NI WAZALIWA NCHINI QATAR.
 
Swali zuri tumejipanga vipi....Kwakuwa tuna akili timamu, na kwakuwa tunajuwa kuwa Katiba ya JMT ndiyo sheria mama, Tutatumia kifungu cha 31 cha rasimu kwani ikishapitishwa itakuwa ni katiba ya JMT

Mawazo mgando kama ya hawa kina Boribo wala hayawezi kutukosesha usingizi kwani hao hao pamoja na wewe mnadai hamuitaki BAKWATA kisa "imeanzishwa na serikali
" lakini mnataka mahakama ya kadhi tena inayoanzishwa naserikali hiyo hiyo!! sijuwi mnatumia nini kufikiri anyway!! mnapaswa kusikitikia. Na kama hujakiona hicho kifungu cha 31 soma hapa chini upate kuelimika.

Uhuru wa
imani ya dini

31.-(1) Kila mtu anao uhuru wa mawazo, imani na uchaguzi
katika mambo ya imani ya dini na anao uhuru pia wa kubadilisha dini,
imani yake au kutokuwa na imani na dini.
(2) Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa
ni huru na jambo la hiari kwa mtu binafsi ili mradi asivunje sheria za nchi.
(3) Shughuli ya uendeshaji wa jumuiya za dini itakuwa nje ya
shughuli za mamlaka ya Serikali.
(4) Hifadhi ya haki zilizotajwa katika Ibara hii itakuwa chini ya
taratibu zilizowekwa na sheria ambazo ni muhimu katika jamii ya
kidemokrasia kwa ajili ya usalama, amani, maadili na umoja wa jamii na
wa kitaifa na vitasimamiwa kwa utaratibu ulioainishwa kwenye sheria za
nchi.
(5) Ni marufuku kwa mtu, kikundi au taasisi ya dini kutumia uhuru
wa kutangaza dini kwa kukashifu imani na dini nyingine, kujenga chuki au
kuchochea vurugu na ghasia kwa madai ya kutetea imani au dini.
(6) Dini na imani ya dini haitatumika kwa namna yoyote
itakayowagawa wananchi, kuleta uhasama au kuharibu amani miongoni
mwa wananchi.
(7) Neno “dini” kama lilivyotumika katika Ibara hii litatafsiriwa
kwamba maana yake ni pamoja na madhehebu ya dini, na maneno
mengine yanayofanana au kuambatana na neno hilo nayo yatatafsiriwa
kwa maana hiyo.


Hakuna anayeifikiria zanzibar kama unavyojidanganya bali kiukweli tunawasikitikia kwa kutema asali na kumeza pilipili. Kwamba waswalili wanasema toa boriti nikusaidie tu sio waswahili bali hayo ni maneno ya Bwana Wetu Yesu Kristo Mwana wa Mungu hivyo koma kuyaita maneno ya waswahili.

Hata ya kuchinja yalianza hivyo hivyo. Vipi katiba yenu inasemaje nani mwenye haki ya kuchinja katika public?

Siku zote mnapenda kutoa majibu rahisi kwa masuala magumu.

Kazi kwenu. vipi nako mtwara? au ndio nguvu kutoka nje zinazosukuma hayo?

Kumbuka hata mbuyu ulianza kama mchicha. yetu macho.
 
Hata ya kuchinja yalianza hivyo hivyo. Vipi katiba yenu inasemaje nani mwenye haki ya kuchinja katika public?

Siku zote mnapenda kutoa majibu rahisi kwa masuala magumu.

Kazi kwenu. vipi nako mtwara? au ndio nguvu kutoka nje zinazosukuma hayo?

Kumbuka hata mbuyu ulianza kama mchicha. yetu macho.


Haya ya kuchinja yametoka wapi tena? Kawaulize Waislamu wenzio ambao wanadhani kuwa wana hatimiliki ya kuchinja ingawa sijawasikia wakitaka kutuchinjia Nguruwe. Bila shaka umeshaona hata wewe choko choko zinaanzia wapi. Kwa kifupi mwenye haki ya kuchinja ni yule mwenye mfugo na kisu. Natumaini umenielewa.

Nikisoma hoja yangu nakurejea kwenye majibu yako
nabakia nikicheka.....yaani barubaru unachekesha....halafu unajinadi kuwa msomi...
Huku ni ku - abuse elimu na shule ulizosomea. Acha niishie hapo maana nitalazimika kukujadili
wewe badala ya hoja kwakuwa huna unachojibu.


 
Back
Top Bottom