mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
"Huko Masasi ni eneo lenye waislamu wengi"Basi imekuwa tofauti, sisi huku nyanda ya juu kusini tunaufuta uislamu. Kila mkutano wa injili tunaofanya kuna waislamu wanaokoka. Wiki iliyopita kuna shehe wa BAKWATA wilaya moja aliokoka maana tulimuombea na akatokwa mapepo na sasa anamtumikia Yesu aliye hai. Huko Masasi ni eneo lenye waislamu wengi na binafsi nieleweshe huyo/hao wakristu wanabadilisha dini au mnakutana nao vipi hadi abadili dini zaidi ya mbinu yenu ya kuoa wakristo?
[emoji115][emoji115]
Umechanganya. Masasi kuna Wakristo wengi, Mtwara na Newala ndiko kwenye Waislamu wengi.