mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
"Huko Masasi ni eneo lenye waislamu wengi"Basi imekuwa tofauti, sisi huku nyanda ya juu kusini tunaufuta uislamu. Kila mkutano wa injili tunaofanya kuna waislamu wanaokoka. Wiki iliyopita kuna shehe wa BAKWATA wilaya moja aliokoka maana tulimuombea na akatokwa mapepo na sasa anamtumikia Yesu aliye hai. Huko Masasi ni eneo lenye waislamu wengi na binafsi nieleweshe huyo/hao wakristu wanabadilisha dini au mnakutana nao vipi hadi abadili dini zaidi ya mbinu yenu ya kuoa wakristo?
cult ni imani kama ilivyo dhehebu lako unalo abudu, serikali haitakiwi kuingilia imani ya mtu yeyote kama hamna kosa lolote linalovunja sheria za nchi.
Ni kweli inawezekana nimechanganya kwani sijawahi kufika wala kuishi huko zaidi ya kusikia Ukanda wa Pwani una waislamu wengi kuliko kanda nyingine."Huko Masasi ni eneo lenye waislamu wengi"
[emoji115][emoji115]
Umechanganya. Masasi kuna Wakristo wengi, Mtwara na Newala ndiko kwenye Waislamu wengi.
Nikishakutajia then utafanya nini? Kwa hiyo hakuna waislamu wanaosilimu? Ninahubiri sasa maeneo mbalimbali zaidi ya miaka 6 sasa najua nisemalo bro. Tumesoma na nimewaona Masheikh walio okoka na tukaenda soma nao vyuo vya Kupanda makanisa vya TAG pia wengine wamesoma pale CBC Dodoma.Nitajie jina la huyo shehe wa wilaya na wilaya yake nimekuambia ni ngumu mno kwa mtu aliyeusoma uislamu kuja kuwa mkristo
Hamna ostadh wa kwenda kwa mwamposaWale maustadh wanaomiminika kwenda kwa Mwamposa huwa wanakwenda kucheza kaswida pale?
Hebu nikutajie watu maarufu waliosilimu tukianza na bongo 1 james tupatupa 2 batilda burian 3 barnaba 4 rose ndauka 5 mchungaji mwaipopo,,,nawewe nitajie 5 maarufu waliotoka uislamu kuwa wakristoNikishakutajia then utafanya nini? Kwa hiyo hakuna waislamu wanaosilimu? Ninahubiri sasa maeneo mbalimbali zaidi ya miaka 6 sasa najua nisemalo bro. Tumesoma na nimewaona Masheikh walio okoka na tukaenda soma nao vyuo vya Kupanda makanisa vya TAG pia wengine wamesoma pale CBC Dodoma.
Pia, naomba unisaidie. Mnakutana wapi na Mkristo hadi abadili dini na kuwa muislamu zaidi ya kumuoa kama Ambavyo nimemuoa Aziza Abdallah akawa Mkristo tofauti na sisi tunaohubiri, tunawekea wagonjwa mikono na wakapona, tunawatoa mapepo masheikh n.k
Huyo haelewi chochote kilè na kwa taarifa yake ajue kulikuwa na vijiji hata hawakuwa wanaujua uislamu ni nini ila leo misikiti imejengwa na wanasilimu kila kukicha"Huko Masasi ni eneo lenye waislamu wengi"
[emoji115][emoji115]
Umechanganya. Masasi kuna Wakristo wengi, Mtwara na Newala ndiko kwenye Waislamu wengi.
Hawa viumbe, wangefungiwa makanisa Yao tu
Hii ni kwwli, maana nimesikia alidakwa na ndada..mwenye taarifaHuku mtaani habari zinasema alidakwa na madawa
Home kabisa wewe ni kanda ya ziwa ndugu?Ni kweli inawezekana nimechanganya kwani sijawahi kufika wala kuishi huko zaidi ya kusikia Ukanda wa Pwani una waislamu wengi kuliko kanda nyingine.
Fafanua kidogo hapo kwenye cult ministriesMkuu emmarki pokea salam za Upendo.
Niliposikia habari kumhusu Subuye na huduma yake kufungiwa na serikali ilinifanya kufanya utafiti kidogo kuhusu huyu ndugu. Taarifa nilizozipata kuhusu Subuye tangu akiwa mwana kwaya wa kanisa kule mwananyamala, alivyohamia kwenye biashara ya Hardware na hatimaye kuanzisha huduma yake iliyokua haraka kama uyoga zimenipatia maswali mengi kuliko majibu na baadhi ya niliambiwa ni aibu kwa mwili wa kristo hata kuyataja hapa.
Naomba kwa kuanzia niulize maswali yafuatayo:-
1. Unadhani Serikali imekosea kwa hatua ilizozichukua? Nikuhakikishie hayo ambayo hujaambiwa ni mazito na aibu kwa mwili wa kristo
2. Unadhani kwanini Subuye hajajiunga na jumuiya yeyote ya Kipentecoste? Hata angekuwa amejiunga je ninyi mna mnauwezo kumchukulia hatua za nidhamu mwanachama wenu?
3. Kwanini mmejeuza kuwa fashion uanzishwaji wa huduma za kifamilia (Wenye huduma na mali za huduma ni Mr & Mrs tu na sio Baraza la wadhamini).
4. Je hauoni wakati umefika wa kupiga marufuku uanzishwaji wa huduma mpya za kifamilia na kuhimiza zilizipo ziungane ili kuwa na huduma chache (Institutional ministries) ili kuepusha ya Subuye na CULT MINISTRIES zinazoota kama uyoga
5. Je huu utitiri wa huduma unaongeza kweli kwenye Nchi idadi ya watu wenye hofu ya Mungu?
Naomba Serikali isiishie kwa Subuye inyoshe mkono wake kwa kuzifungia huduma (CULT) zilizosalia.
Ahsante
Hapo sana ndo ntitiWaache kutafuta huruma mitandaoni. Wafanye kama manabii wengine walivyofanya. Nabii Eliya alivyoona anaonewa na dola alifunga anga mvua isinyeshe. Sasa zamu ya Suguye kusimama kama Nabii