Alichokisema nabii Bashando baada ya huduma WRM iliyo chini ya nabii Suguye kufungiwa

"Huko Masasi ni eneo lenye waislamu wengi"
[emoji115][emoji115]
Umechanganya. Masasi kuna Wakristo wengi, Mtwara na Newala ndiko kwenye Waislamu wengi.
 
Nabii wengi ni waongo na wazinzi Sana, hongera kwa serikali kufungia makanisa Kama haya.
 
cult ni imani kama ilivyo dhehebu lako unalo abudu, serikali haitakiwi kuingilia imani ya mtu yeyote kama hamna kosa lolote linalovunja sheria za nchi.
Je mkuu emmarki kuwaingiza watu kwenye vifungo (bondage) kwa njia ya kukanyaga maji, mafuta au kwa njia ya nywele au kucha za watu SIO harakati za kuuinua ufalme wa Shetani? Natambua mambo kama niliyoyataja hapo juu huwezi kupeleka ushahidi wake mahakani LAKINI kama Serikali imeona kuna ushahidi wa kimazingira ni wajibu wake wa kikatiba kuchukua hatua stahiki (kuwalinda raia wake). Najua utaniambia hao watu wanajipeleka wenyewe kwenye hizo CULTS, LAKINI serikali ikae kimya mnapoongeza idadi ya watu (ZEZETA) mlioshika ufahamu wao katika kufanya maamuzi yenye tija kwa taifa.

Mkuu emmarki naomba uelewe kwamba mimi nimeokoka na kwa bahati mbaya nilishawahi kuwa "Victim" wa hizi CULTS hivyo naandika ninachokijua.

Ahsante
 
"Huko Masasi ni eneo lenye waislamu wengi"
[emoji115][emoji115]
Umechanganya. Masasi kuna Wakristo wengi, Mtwara na Newala ndiko kwenye Waislamu wengi.
Ni kweli inawezekana nimechanganya kwani sijawahi kufika wala kuishi huko zaidi ya kusikia Ukanda wa Pwani una waislamu wengi kuliko kanda nyingine.
 
Nitajie jina la huyo shehe wa wilaya na wilaya yake nimekuambia ni ngumu mno kwa mtu aliyeusoma uislamu kuja kuwa mkristo
Nikishakutajia then utafanya nini? Kwa hiyo hakuna waislamu wanaosilimu? Ninahubiri sasa maeneo mbalimbali zaidi ya miaka 6 sasa najua nisemalo bro. Tumesoma na nimewaona Masheikh walio okoka na tukaenda soma nao vyuo vya Kupanda makanisa vya TAG pia wengine wamesoma pale CBC Dodoma.
Pia, naomba unisaidie. Mnakutana wapi na Mkristo hadi abadili dini na kuwa muislamu zaidi ya kumuoa kama Ambavyo nimemuoa Aziza Abdallah akawa Mkristo tofauti na sisi tunaohubiri, tunawekea wagonjwa mikono na wakapona, tunawatoa mapepo masheikh n.k
 
Wajinga waliwao

Endeleeni kuwatolea sadaka,nunueni maji mafuta yao,mzidi kuwatajirisha

Huku nyie mkiishi kama manyangau na misukule

Ova
 
Hebu nikutajie watu maarufu waliosilimu tukianza na bongo 1 james tupatupa 2 batilda burian 3 barnaba 4 rose ndauka 5 mchungaji mwaipopo,,,nawewe nitajie 5 maarufu waliotoka uislamu kuwa wakristo
 
"Huko Masasi ni eneo lenye waislamu wengi"
[emoji115][emoji115]
Umechanganya. Masasi kuna Wakristo wengi, Mtwara na Newala ndiko kwenye Waislamu wengi.
Huyo haelewi chochote kilè na kwa taarifa yake ajue kulikuwa na vijiji hata hawakuwa wanaujua uislamu ni nini ila leo misikiti imejengwa na wanasilimu kila kukicha
 
Serikali iachane na kuingilia mambo ya dini kabisa kama amani ya nchi haivunjwi na wenye imani hizo.
 
Chama cha mitume na manabii [emoji23][emoji23], mbona mnatoka kwenye lengo lenu la injili
 
Fafanua kidogo hapo kwenye cult ministries
 
Waache kutafuta huruma mitandaoni. Wafanye kama manabii wengine walivyofanya. Nabii Eliya alivyoona anaonewa na dola alifunga anga mvua isinyeshe. Sasa zamu ya Suguye kusimama kama Nabii
Hapo sana ndo ntiti
 
Sihami RC mimi, endeleeni kupeleka kucha na nywele
 
Ila hizi Misnistries hizi jamani,kuna moja nimeona jamaa wanamwagiwa maji ya upako kwa kutumia Pump ya kumwagilia dawa mimea,nyingine jamaa anawakanyaga waumini migongoni ili wapate upako,kuna moja niliona unachapwa fimbo ili sijui ndio upate roho mtakatifu hata sikuilewa ile.Kuna mahali hawa watumishi wanakuwa kama wamepagawa na hela,wanaanza kuanzisha mambo yao ya kutunga ambayo hata hayapo,tusisahau uzembe wa kuziachia hizi ministries ulisababisha mmoja akawachoma waumini kanisa zima kule Uganda.Lord have mercy...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…