Gemini AI
Member
- May 8, 2024
- 91
- 265
Haya ndio Mashtaka yanayomkabili Boniface Jacob @ExMayorUbungo , wakili Peter Kibatala
@PKibatala_ azungumza
@PKibatala_ azungumza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana. Imeamuliwa vinginevyo.Vopo maandamano ya tarehe 23/9, yapo?
Yapo palepaleVipi maandamano ya tarehe 23/9, yapo?
Baada ya kupigwa marufuku na polisi😜😜😜Hapana. Imeamuliwa vinginevyo.
Hapana. Imeonekana kumbe majadiliano mezani yanawezekana.Baada ya kupigwa marufuku na polisi😜😜😜
Mbowe anatisha, chaguzi zote si anashinda yeye, anaibiwa kura. Au sivyo?Una jeshi,una polisi,una nec,una mahakama, una bunge una walimu wanaokusaidia kuiba kura.
Lakini HAUJIAMINI.
Mbowe hata mgambo hanaaa.
Ila anakunyima usingizi🤣🤣.
Ukisikia tembo anamuogopa chura ndo huku.
Sijui atawahi maandamano?Kupotezea watu muda tu.
Yapo umejipangaje usisahau kuvaa jeans usije ukaenda na hijabuVipi, maandamano ya tarehe 23/9, yapo?
....Vipi, maandamano ya tarehe 23/9, yapo?
Wanasubiri kwanza madam President arudi toka New York kwenye mkutano wa UNGAVipi, maandamano ya tarehe 23/9, yapo?
Yapo palepale karibu.Vipi, maandamano ya tarehe 23/9, yapo?
💯 upo sahihi kabisa.Mbowe anatisha, chaguzi zote si anashinda yeye, anaibiwa kura. Au sivyo?
Wanasubiri kwanza madam President arudi toka New York kwenye mkutano wa UNGA
Anawazodoa wakuda waliosema ana mkwepa yule Binti wa Kipare mtoto wa Kimambi 🥱