kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Dr. Msolla kwa nia njema kabisa alisema kuwa wadau wa Yanga wachangie fedha ya kusajili wachezaji 2 wa kigeni.
Kwa kauli hii dk Msolla Amevuruga saikolojia ya wachezaji, amevuruga saikolojia ya Wana Yanga na amewapa nafasi upande wa pili kutibua vichwa vya wachezaji na mashabiki wa Yanga kuwa hakuna hela.
Haieleweki kama haya ni mawazo yake binafsi, ni mawazo jumuishi ya uongozi wa Yanga au Ni GSM wametaka wadau pia wachangie au Kuna mgogoro wa usajili Kati ya GSM na uongozi wa club.
Kama hao wachezaji 2 hawamo kwenye mipango na Budget ya GSM je, mishahara ya hao wachezaji itategea pia bakuli au Ni vipi?
Kauli hii ya Mwenyekiti imewafanya wachezaji kuvurugukiwa, maana wanazo kumbukumbuku ya misimu iliyopita ya kuchangiwa na wadau.
Maswali yote haya yamesababishwa na Dr Msolla kwani sio lazima wachezaji wawe 10.
Kwa kauli hii dk Msolla Amevuruga saikolojia ya wachezaji, amevuruga saikolojia ya Wana Yanga na amewapa nafasi upande wa pili kutibua vichwa vya wachezaji na mashabiki wa Yanga kuwa hakuna hela.
Haieleweki kama haya ni mawazo yake binafsi, ni mawazo jumuishi ya uongozi wa Yanga au Ni GSM wametaka wadau pia wachangie au Kuna mgogoro wa usajili Kati ya GSM na uongozi wa club.
Kama hao wachezaji 2 hawamo kwenye mipango na Budget ya GSM je, mishahara ya hao wachezaji itategea pia bakuli au Ni vipi?
Kauli hii ya Mwenyekiti imewafanya wachezaji kuvurugukiwa, maana wanazo kumbukumbuku ya misimu iliyopita ya kuchangiwa na wadau.
Maswali yote haya yamesababishwa na Dr Msolla kwani sio lazima wachezaji wawe 10.