Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Hivi unajaza vipi mkataba TMS bila kuambatanisha na mkataba. Je, wao wawili wameambatanisha na mkataba upi wakati TFF wameukataa mkataba?
Ndiyo viongozi wetu hao mkuu.
Tusubiri tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unajaza vipi mkataba TMS bila kuambatanisha na mkataba. Je, wao wawili wameambatanisha na mkataba upi wakati TFF wameukataa mkataba?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]we jamaa eti mwanamke mweupe na msukumaYanga hovyooo. Unapeleka jina la Morrison CAF na FIFA ili iweje? TFF imeshamkata mkia na YANGA hamlipi chochote, sasa mnamng'ang'ania kivipi? Au ni Mwanamke mweupe na ninyi ni wasukuma?!?
Shida yake iko kwenye uwezo wa kufanya public speaking, kuongea hadharani, kipaji hicho hakujaliwa nacho, hakueleweka na alishindwa kuwasilisha vema kile alichokusudia kwa wadauMwenyekiti went watani anapwaya saaana sana, anapotakiwa kuongea haongei anapotakiwa kukaa kimya anaongea.