Kosalake likowapi dr.Msola.kama fedha za usajili zimekata kwanini asisemewazi ili wadau wachangie?.
Simba kwa sasa wanafedha inasajili ilikujiandaa na mashindano makubwa ya kimataifa,na Yanga wapokwaajili ya kushindana na Simba,kwaiyo Yanga wanalazimisha kupita anapopita Simba wakati fedha hawana.