TCU na NACTE pumzikeni kidogo mpumue
Wakuu mwalimu wangu wa bios o level alikuwa anatuambia mambo ambayo hadi sasa sijapata majibu..najua kuna wajuzi humu mnisaidie
1. Mtoto anaponyonya anapata hisia sawa na mtu mzima anapofanya ngono..na kadri anavyokua hisia hizo huhamia kwenye via vyake vya uzazi
2. Mwanamke anaweza kuzaa bila mbegu ya mwanaume..alisema kuwa kazi kubwa ya sperm ni kustimulate cell division (nimesahau ni kwenye stage ipi) na hivyo kikipatikana kitu cheye uwezo wa kufanya hivo mimba inatungwa...
Wakuu mwalimu wangu wa bios o level alikuwa anatuambia mambo ambayo hadi sasa sijapata majibu..najua kuna wajuzi humu mnisaidie
1. Mtoto anaponyonya anapata hisia sawa na mtu mzima anapofanya ngono..na kadri anavyokua hisia hizo huhamia kwenye via vyake vya uzazi
2. Mwanamke anaweza kuzaa bila mbegu ya mwanaume..alisema kuwa kazi kubwa ya sperm ni kustimulate cell division (nimesahau ni kwenye stage ipi) na hivyo kikipatikana kitu cheye uwezo wa kufanya hivo mimba inatungwa...