Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ha haa naanzaje kuwa dume Sasa. Mie ni jike lenye mayai yakeWewe kama ni dume halafu unaandika neno "buana" basi kuna shida mahala fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haa naanzaje kuwa dume Sasa. Mie ni jike lenye mayai yakeWewe kama ni dume halafu unaandika neno "buana" basi kuna shida mahala fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio, si unataka mambo mazuri? First impression mattersZote hizo??? Si ngoma itasoma 500k mwisho wa siku??
Siku zote huwa mnavaa nnMi nadhani mlikuwa bado hamjakubaliana vizuri, jifunze kuwa papuchi haifuatwi bali inatumiwa nauli + ya kula njiani + ya nguo kujiweka sawa + ya emergency.
Duh!!!!Ndio, si unataka mambo mazuri? First impression matters
Pole sana mkuu so asbhi ilivofika kaanza safari tena kurudi home!Miezi mitatu iliyopita,ulikuwa mwezi wa septemba mwaka 2018 katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nilikutana na bi dada,tukabadilishana namba tukawa tunachart......kupigiana sim kila mara...baby umekula,unafanya nini,njoo tulale...nakadhalika na kadhalika
Baadaye nikamwambia naomba nije kukusalimia......bi dada akakubali,basi nikafungasha safari km 800 kumsalimia...siyo siri alinipokea kwa furaha pale stend hadi kuni-hug.....nikasuzika moyo nikafikiria leo nitaenjoy....
Ilipofika muda wa jioni.....nikadhani nitalala na bi dada anitoe uchovu loh!
Mambo yakabadilika,bi dada akasimama na msimamo kuwa siku ya kwanza asingelala na mimi,niende kulala mwenyewe lodge au aniachie chumba chake nilale.....siyo siri nilichoka akili,nikajiuliza nitawezaje kulala mwenyewe na huku tukiwa tunachart na bi dada huwa tunachart mpaka morning glory, iweje leo anikatae tusilale pamoja?......siyo siri niliona bora nikalale kusikojulikana
Bi dada nimeuona uzi wako ukidai kwa nini sikuvumilia....lakini sikuweza kuvumilia kwa sababu kabla ya kuja kwako ulikubali kuwa tungelala kitanda kimoja hata kama tusinge-du siku hiyo...pia nilihitaji tupige stori usiku ule ningewezaje kulala mwenyewe bi dada???
Wanawake muwe na huruma....angalia safari aliyotembea kukufuata...muda wake,wanawake wangapi amewaacha kwa kila mita 100 ni zaidi ya 300, pesa alizotumia halafu anafika kwako unamchenjia siyo vizuri,siyo siri usiku ule sikulala,nilikaa stendi mpaka asubuhi nikiwaza dunia inachonitendea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hainogi kuvaa nguo ya zamani, lazima nipendeze uandaliwe mambo mazuriSiku zote huwa mnavaa nn
Kwani mm nazijua hzo hzo ulizo nazoHainogi kuvaa nguo ya zamani, lazima nipendeze uandaliwe mambo mazuri
Kesho unikumbushe na mimi nilete mrejesho wa kile ulichonifanyia[emoji3525]Aisee, huu uzi macho yangu ya rohoni yanaona dalili ya kutokea SHAMBULIO LA AIBU.
Msuli wa mwanaume ukisimama, uwe wa akili kufikiria unakua chini ya nusu ya akili nzima.Huogopi hata magonjwa mzee baba ,unamjuaaje huyo mtu au ww anakujuaje,kwa nn msipme afya kwanza,naona yupo sahihi ,pili na ww upunguze tamaa,km 800 kufata papuchi bora ungeenda kusalimia wazee wako kijijini kwenu,shame on you guy,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaona sana tena kwa jicho la kipembuzi.Wewe kama ni dume halafu unaandika neno "buana" basi kuna shida mahala fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,kumbe unajua kukaza sana!Mi nitazidi kusema mvumilivu hula mbivu,ila pole na umefanya vibaya kujibu uzi ule ungekaa kimya,wanaume huwa wanakaa kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu huzijui ndo inabidi nikanunue nyingine ili nivae hiyo siku tukionana. Ukute hata chupi imetobokaKwani mm nazijua hzo hzo ulizo nazo
Ana makengeza huyo
Ninyi nyote (cute love na cosovo) bado mna akili za kitoto sanaNingewezaje kukaa kimya....na huku ulisha haribu kila kitu...jilaum wewe mwenyew kwa kuanzisha uzi humu kuhusu hayo mambo
Ungekaa kimya tu...nimeshindwa kuvumilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...basi mkumbushie, wasilianeni mpange upya. Bidada anasema alikuwa anataka uvumilivu wako, sasa umeshajua. Anza tena kwa kasi ya 4G+[emoji2] [emoji119]Ningewezaje kukaa kimya....na huku ulisha haribu kila kitu...jilaum wewe mwenyew kwa kuanzisha uzi humu kuhusu hayo mambo
Ungekaa kimya tu...nimeshindwa kuvumilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pole sana lakini pia ungekausha tu mzee baba hujui ni jambo gani limekuepukaNingewezaje kukaa kimya....na huku ulisha haribu kila kitu...jilaum wewe mwenyew kwa kuanzisha uzi humu kuhusu hayo mambo
Ungekaa kimya tu...nimeshindwa kuvumilia
Sent using Jamii Forums mobile app