Alichonifanyia bi dada niliyekutana naye social network ulikuwa unyama

Alichonifanyia bi dada niliyekutana naye social network ulikuwa unyama

Mi nadhani mlikuwa bado hamjakubaliana vizuri, jifunze kuwa papuchi haifuatwi bali inatumiwa nauli + ya kula njiani + ya nguo kujiweka sawa + ya emergency.
Siku zote huwa mnavaa nn
 
Miezi mitatu iliyopita,ulikuwa mwezi wa septemba mwaka 2018 katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii nilikutana na bi dada,tukabadilishana namba tukawa tunachart......kupigiana sim kila mara...baby umekula,unafanya nini,njoo tulale...nakadhalika na kadhalika

Baadaye nikamwambia naomba nije kukusalimia......bi dada akakubali,basi nikafungasha safari km 800 kumsalimia...siyo siri alinipokea kwa furaha pale stend hadi kuni-hug.....nikasuzika moyo nikafikiria leo nitaenjoy....


Ilipofika muda wa jioni.....nikadhani nitalala na bi dada anitoe uchovu loh!
Mambo yakabadilika,bi dada akasimama na msimamo kuwa siku ya kwanza asingelala na mimi,niende kulala mwenyewe lodge au aniachie chumba chake nilale.....siyo siri nilichoka akili,nikajiuliza nitawezaje kulala mwenyewe na huku tukiwa tunachart na bi dada huwa tunachart mpaka morning glory, iweje leo anikatae tusilale pamoja?......siyo siri niliona bora nikalale kusikojulikana

Bi dada nimeuona uzi wako ukidai kwa nini sikuvumilia....lakini sikuweza kuvumilia kwa sababu kabla ya kuja kwako ulikubali kuwa tungelala kitanda kimoja hata kama tusinge-du siku hiyo...pia nilihitaji tupige stori usiku ule ningewezaje kulala mwenyewe bi dada???

Wanawake muwe na huruma....angalia safari aliyotembea kukufuata...muda wake,wanawake wangapi amewaacha kwa kila mita 100 ni zaidi ya 300, pesa alizotumia halafu anafika kwako unamchenjia siyo vizuri,siyo siri usiku ule sikulala,nilikaa stendi mpaka asubuhi nikiwaza dunia inachonitendea



Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu so asbhi ilivofika kaanza safari tena kurudi home!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huogopi hata magonjwa mzee baba ,unamjuaaje huyo mtu au ww anakujuaje,kwa nn msipme afya kwanza,naona yupo sahihi ,pili na ww upunguze tamaa,km 800 kufata papuchi bora ungeenda kusalimia wazee wako kijijini kwenu,shame on you guy,

Sent using Jamii Forums mobile app
Msuli wa mwanaume ukisimama, uwe wa akili kufikiria unakua chini ya nusu ya akili nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kilanga kimekuponza yani mtaani kwenu hujaona msichana hadi utafute wasichana wa kwenye mitandao.
 
Ningewezaje kukaa kimya....na huku ulisha haribu kila kitu...jilaum wewe mwenyew kwa kuanzisha uzi humu kuhusu hayo mambo

Ungekaa kimya tu...nimeshindwa kuvumilia



Sent using Jamii Forums mobile app
Ninyi nyote (cute love na cosovo) bado mna akili za kitoto sana
Wakati mtu anasafiri umbali huo ulikuwa unajua anakuja kukusalimi wewe umekuwa mgonjwa?
Pia,mlipozinguana kwanini hamkukaa kimya?
Ndoa zina mambo mengi sana na yenye kuhitaji hekima kubwa sana...ninyi nyote hakuna mtu aliyekomaa kiakili kati yenu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningewezaje kukaa kimya....na huku ulisha haribu kila kitu...jilaum wewe mwenyew kwa kuanzisha uzi humu kuhusu hayo mambo

Ungekaa kimya tu...nimeshindwa kuvumilia



Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...basi mkumbushie, wasilianeni mpange upya. Bidada anasema alikuwa anataka uvumilivu wako, sasa umeshajua. Anza tena kwa kasi ya 4G+[emoji2] [emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningewezaje kukaa kimya....na huku ulisha haribu kila kitu...jilaum wewe mwenyew kwa kuanzisha uzi humu kuhusu hayo mambo

Ungekaa kimya tu...nimeshindwa kuvumilia



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pole sana lakini pia ungekausha tu mzee baba hujui ni jambo gani limekuepuka

.
 
cutelove ndio uweke mambo hadharani,kama mlikubaliana mtalala kitanda kimoja hata kama hamta du,nn kilipelekea ukamtoa mshikaji akalale lodge

maana sioni logic mshikaji asafiri km 800 then akalale lodge,hata alipotoka kuna lodge

au uligundua ni kaka yako maana ulimtenga mazima

nimeumia sana,kamanda cossovo ajali kazini usikate tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom