Alichonitendea mke wangu sitosahau

Hongera kwa kuoa nurse mkuu, ni wanwake wazuri sana na wanajua kujali....kinachonifurahisha zaidi sijawahi ona anayedai haki sawa
 
Bila picha huu Uzi ni chai alisikika mpumbavu huko akisema
 
Daah, maisha yanaenda kasi sana. Now hatimae umeandika jinsi mkeo alivyokusaliti na mmeachana baada ya mazawadi yote haya. Ulimuamini sana na kumpenda sana ila ndo hivyo kaona agawe nje, pole mkuu utazoea maisha mapya najua inakuuma sana kabisa ila piga moyo konde.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…