Alichoongea Ney wa Mitego baada ya kutoka Central Police

Alichoongea Ney wa Mitego baada ya kutoka Central Police

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Ney wa Mitego amewashukuru wasanii wote walioonyesha sapoti kwake kipindi alichokuwa matatizoni
pia amemshukuru Rais Magufuli na waziri wake Mwakyembe, ila kuhusu kuonana na Mwakyembe Dodoma kama waziri alivyotaka amesema mpaka afikirie kwanza
 
Tunatakaa video ya wimboo sasaa cjui itafanyikaa south au wap
 
  • Thanks
Reactions: SDG
. ..THIS IS ....THE ONE MAN SHOW....Aibu kwa BASATA....Mkuu naomba uifungulie na ile video ya CHURA....Ni ombi MKUU..Hakuna kinachoshindikana kwako.....NA BASHITE ANAIPENDA KWELI HIYO VIDEO...Wewe muulize tu MKUU atakwambia ukweli...Si kweli Bashite...!?
 
Huyu Ney nae kichwa sana,kwamba atafikiria aende ama asiende dodoma,safi sana ,
watu wenyewe hawa hawachelewi kuwageuka na kuwaweka ndani
 
. ..THIS IS ....THE ONE MAN SHOW....Aibu kwa BASATA....Mkuu naomba uifungulie na ile video ya CHURA....Ni ombi MKUU..Hakuna kinachoshindikana kwako.....NA BASHITE ANAIPENDA KWELI HIYO VIDEO...Wewe muulize tu MKUU atakwambia ukweli...Si kweli Bashite...!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom