princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
sijui hajaelewa kauli..
inamana ivan kamgonga na huyo zuleha na yeye kaafiki
inamana ivan kamgonga na huyo zuleha na yeye kaafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chaga beby saivi kachoka akisuka yebo mwezi...Ngojeni niwape ubuyu;iko hivi...kama mnamjua yule Mtanzania mwenzetu mwanadada anayeishi Marekani wa kujiita Chaggabarbie... (msiniulize kazi yake)ambaye aliwahi kumrusha roho Zari kwa kutoka na Ex wake (Ivan)....
Inasemekana Ivan alitoka na mdogo wake Chagga.
Hivyo Zari kupost ile picha ni dongo kwa Chagga wetu kuwa hainaga ushemeji tunakulaga (mdogo wake Chagga kutoka na Ivan)
Mpoooooo?
Ahsante Nifah nmejiuliza weeee toka asubuhi hii imekaaje, nkaenda kwa page ya Mange nkakutana na majibu ya wadau wake kila mtu anaropoka kivyake mara kampiga ndongo Diamond,mara cjui nn, lkn baada ya muda nkaenda kwa Dimondo nkakuta kampost mwanamke wake ,nikabaki nang'aa macho tu afadhali umenitegulia kitendawiliNgojeni niwape ubuyu;iko hivi...kama mnamjua yule Mtanzania mwenzetu mwanadada anayeishi Marekani wa kujiita Chaggabarbie... (msiniulize kazi yake)ambaye aliwahi kumrusha roho Zari kwa kutoka na Ex wake (Ivan)....
Inasemekana Ivan alitoka na mdogo wake Chagga.
Hivyo Zari kupost ile picha ni dongo kwa Chagga wetu kuwa hainaga ushemeji tunakulaga (mdogo wake Chagga kutoka na Ivan)
Mpoooooo?
Hahahaaa kumbe bas saw a, nilijua anamkomoa daiNgojeni niwape ubuyu;iko hivi...kama mnamjua yule Mtanzania mwenzetu mwanadada anayeishi Marekani wa kujiita Chaggabarbie... (msiniulize kazi yake)ambaye aliwahi kumrusha roho Zari kwa kutoka na Ex wake (Ivan)....
Inasemekana Ivan alitoka na mdogo wake Chagga.
Hivyo Zari kupost ile picha ni dongo kwa Chagga wetu kuwa hainaga ushemeji tunakulaga (mdogo wake Chagga kutoka na Ivan)
Mpoooooo?
Duh Nifah Upo vizuri kudadavua mamboNgojeni niwape ubuyu;iko hivi...kama mnamjua yule Mtanzania mwenzetu mwanadada anayeishi Marekani wa kujiita Chaggabarbie... (msiniulize kazi yake)ambaye aliwahi kumrusha roho Zari kwa kutoka na Ex wake (Ivan)....
Inasemekana Ivan alitoka na mdogo wake Chagga.
Hivyo Zari kupost ile picha ni dongo kwa Chagga wetu kuwa hainaga ushemeji tunakulaga (mdogo wake Chagga kutoka na Ivan)
Mpoooooo?
Kwa hiyo Mkuu?Sikutarajia kama huku kuna kijiwe cha namna hii.
Afu kwa nn Mange anamtafuta sana zari ila zari hana time naye?Ngojeni niwape ubuyu;iko hivi...kama mnamjua yule Mtanzania mwenzetu mwanadada anayeishi Marekani wa kujiita Chaggabarbie... (msiniulize kazi yake)ambaye aliwahi kumrusha roho Zari kwa kutoka na Ex wake (Ivan)....
Inasemekana Ivan alitoka na mdogo wake Chagga.
Hivyo Zari kupost ile picha ni dongo kwa Chagga wetu kuwa hainaga ushemeji tunakulaga (mdogo wake Chagga kutoka na Ivan)
Mpoooooo?
Nilichoelewa kwa zari diamond na ivan ni, zari yuko na diamond hawajaachana na hawana tatizo, meanwhile zari hana tatizo na baba wa watoto wake watatu, they are good friends ndo maana wanapostiana. Senks
Kweli kabisa anatafuta kiki ya ile partyZama za mitandao ya kijamii ni rahisi sana kusababisha watu waseme na waje na kila aina ya masadikiko.
Ukiwa maarufu wewe rusha tu picha huko 'Gram...weka na maneno mawili matatu ambayo yanaweza kutafsiriwa tofauti tofauti na watu tofauti...basi.
Watu watahangaika wee....huyu atasema hivi...yule atasema vile...wale nao watahisi hivi...ili mradi tu.
Na hapo usikute [huenda] yeye mwenyewe alikuwa anataka watu wamuongelee tu na huko aliko anaangua vicheko na wenzake.
Talk about having a thing on a string!
Btw, happy Friday jirani.
Zama za mitandao ya kijamii ni rahisi sana kusababisha watu waseme na waje na kila aina ya masadikiko.
Ukiwa maarufu wewe rusha tu picha huko 'Gram...weka na maneno mawili matatu ambayo yanaweza kutafsiriwa tofauti tofauti na watu tofauti...basi.
Watu watahangaika wee....huyu atasema hivi...yule atasema vile...wale nao watahisi hivi...ili mradi tu.
Na hapo usikute [huenda] yeye mwenyewe alikuwa anataka watu wamuongelee tu na huko aliko anaangua vicheko na wenzake.
Talk about having a thing on a string!
Btw, happy Friday jirani.
Mmmmm ubuyu wote hadharan aseeNgojeni niwape ubuyu;iko hivi...kama mnamjua yule Mtanzania mwenzetu mwanadada anayeishi Marekani wa kujiita Chaggabarbie... (msiniulize kazi yake)ambaye aliwahi kumrusha roho Zari kwa kutoka na Ex wake (Ivan)....
Inasemekana Ivan alitoka na mdogo wake Chagga.
Hivyo Zari kupost ile picha ni dongo kwa Chagga wetu kuwa hainaga ushemeji tunakulaga (mdogo wake Chagga kutoka na Ivan)
Mpoooooo?
Diamond ana mjengo South Africa kama ulikua huna taarifa....Hivi huyo mama uko South Africa anamjengo au yuko kwa huyo baba watoto wake na huyu msanii wa bongo fleva inamaana anashindwa kumuhudumia huyo mama hapa bongo wakatunza mtoto wao?
kwani domo kaoa au anapga kisela na kutotolesha?Kweli aliyeachika hafai kuoa tena