Elections 2010 Alichosema Dr. Slaa kuhusu nyumba za Tembe na Mabango ya Mgombea

Elections 2010 Alichosema Dr. Slaa kuhusu nyumba za Tembe na Mabango ya Mgombea

maskini,usikute alitishiwa asipo bandika picha ata pelekwa mahakamani akaweka tu bila kupenda au aliweka mwenyewe ili asisumbuliwe na watendaji huko vijijinia ambao ni kama maraisi vile
 
nyumba kama hii ukisimama kwa nje unakuwa unaizidi urefu. Kwa hiyo huwa zina basement floor. Yaani unaingia kwa kupinda mgongo, then ukishakudumbukia ndiyo inakuwa inakuzidi urefu. Zipo nyingi sana maeneo ya dodoma, makao makuu ya tanzania (kwa mujibu wa ramani ya africa).

Watanzania amkeni jamani!! Kwa nini munakubali kuwa masikini wa fikra???

basement floor?????????????????? Ukweli ni kuwa sio kama unavyofikiri - ila ndani kuna shimo ndugu yangu - na ndio watanzania hao wanavyoishi - sijui mwanga wanapata wapi???? Fresh air???? Yaani we acha tu - halafu umri wa kuishi si ni lazima ushuke hadi 25 years kwa hali hiyo??? Mungu tupe neema ya kupata rais mwenye mtizamo wa kubadilisha maisha ya ndugu zetu vijijini - at least dr. Slaa ameliona hilo.....................jk mbona hakuliona wala kuliongelea???? Akiona magorofa kariakoo - akili yake haikumbuki walioko vijijini - shame ............... Shame................... Tena nasema shame to you ccm
 
Hayo mazingira yenyewe ni hatari kwa maisha ya binadamu iwe mvua, jua, upepo ama wanyama wakali. Lakini inawezekana huyo anayeishi kwenye hicho kibanda anaonekana ndiyo zaidi na ameukata kwani kibanda kaezeka kwa bati. Sehemu nyingine ni "FULL SUIT" kwa kwenda mbele wakuu yaani NYASI JUU MPAKA CHINI ama TOPE JUU MPAKA CHINI na mlango ni chaga za miti ama mabua ya mahindi kama tulivyokuwa tunasuka jeshini (jkt) kwa tuliobahatika kupita huko.

Ukibahatika kwenda mikoani ama pembezoni tu ya jiji la Dar, utakayoyaona kama una roho ndogo unaweza kulia maisha yako yote.
 
Hivi choo cha nyumba hiyo kiko wapi? jamani ccm ni janga la kitaifa. miaka 50 bila choo tena kwao jk. maji yako wapi hapo? shamba liko wapi hapo? wanakula nini au picha ya jk?
 


Huko kijijini... (Picha toka FB)

Napiga Picha.

1.How many Kilometers is the nearby Neighbor?
2.How many kilometers is the nearby school?
3.How many kilometers is the nearby Dispensary?
4.How many kilometers is the nearby shop?
5.How many kilometers is his working place(shamba)?
Je? ni maamuzi yake kuishi hapa au ni umasikini?

Waliokua wanauliza parameters za kuonesha Tanzania is the richest country from the bottom ndio hizi.
 
Elimu jamii naona bado haijafika kwa watanzania hasa wale wa kijijini.Bado wanasema mi nipo ktk chma alichokuwa Nyerere, sasa mtu kama huyo anaijua elimu jamii kweli?Tatizo jingine kubwa ni watu kutopenda mabadiliko, enzi ya nyerere alikuwa anakaa ktk nyumba kama hizo na anajisikia comfortable.Slaa amejitahidi san kuwafungua macho hasa kwa watu kama hao, japo wengine bado wapo stagnant.
 
Monduli pia kuko hivi
masai_boma3_2.jpg
Uuuuuuuuuuuuuuwii!!!!!!!!!!!!
 
Hii hapa nayo si haba!!!Iliwekwa hapa JF hapo awali. Moderator nisaaidie kuikuza!!!

Tanzania_poverty.jpg
 
Ngarama za kampeni zinatokana na uwezo wa chama. Sikumsikia Slaa akisema Mbowe asitumie Helicopter 2005 kuwafikia wapiga kura na badala yake ajenge shule. Licha ya uwezo mdogo wa kifedha

Basi na Chadema pesa wanazotumia kufanya kampeni, wazitumie kujenga shule...

Don't be fooled by politicians...

Jaribu kuelewa hoja ya Dr Slaa,fedha anayozungumzia ni fedha iliyochotwa ikulu na siyo ya CCM ambayo ni kodi zetu, sasa wewe unapozungumzia kampeni za Chadema kwani wao Chadema wanakusanya kodi?
 
Hizo nyumba ni nzuri ukilinganisha na za baadhi ya maeneo. Tembelea Mbulu, singinda, dodoma
 
Na utakuta wanaoishi humo ndio wanajiita CCM damu damu! Umaskini wa akili ni maafa!
 
Jaribu kuelewa hoja ya Dr Slaa,fedha anayozungumzia ni fedha iliyochotwa ikulu na siyo ya CCM ambayo ni kodi zetu, sasa wewe unapozungumzia kampeni za Chadema kwani wao Chadema wanakusanya kodi?
Nimekupa thanx kwa vile inaonyesha wengi humu jamvini hata hawaelewi tunazungumzia nini tunaposema matumizi mabaya ya fedha za umma. Sasa kama kuna mtu anaweza ku type keyboard yake na jambo kama hili hawezi kuelewaj ee yule anayeishi kwenye kibanda kama kile itakuwaje? DOUGLAS SALLU, Hata humu JF wako mbumbumbu sana kuliko wengi wanavyo tarajia. Na hawa wa humu ambao wanajua kusoma na kuandika ndio wabaya kwelikweli kwa vile ndio wapotoshaji na wanadhani kuwa wanajua kumbe hawajui.
 
tuwekeeni 'before' and 'after' plz

*after ni akisha ingia Slaa madarakani kwa mwaka mmoja 🙂
 
Nyumba kama hii ukisimama kwa nje unakuwa unaizidi urefu. Kwa hiyo huwa zina basement floor. Yaani unaingia kwa kupinda mgongo, then ukishakudumbukia ndiyo inakuwa inakuzidi urefu. Zipo nyingi sana maeneo ya Dodoma, Makao Makuu ya Tanzania (kwa mujibu wa Ramani ya Africa).

Watanzania Amkeni jamani!! Kwa nini munakubali kuwa masikini wa fikra???


Watanzania wenzangu na wenye kuitakia mema nchi hii, kweli hii picha inaweza ikakutoa mchozi! Sijui kama Mizengo Pinda ameiona hii maana ndiye mwepesi wa kulia anapoona manyanyaso kama ya Albinos.

Rais wa Marekani JF Kennedy aliwahi kusema UKIONA KUWA ELIMU NI GHALI JARIBU UJINGA. Ninachotaka kusema ni kwamba CCM imeamua kuwanyima Watanzania wengi elimu ya awali,msingi,sekondari hadi Chuo Kikuu KWA MAKUSUDI lakini kwa kisingizio cha GHARAMA KUBWA. Kwa maana hiyo basi CCM inatumia UJINGA HUU ILIOPANDIKIZA KWENYE MAISHA YA WATANZANIA KUWATAWALA.

Kwa kuitazama picha hii inaniambia kwamba moja,FAMILIA YA NYUMBA HII WAMEPEWA T-SHIRT,KAPERO NA KHANGA KWA KINA MAMA waendelee kuipenda CCM. Pili ni KWAMBA SHAHADA ZAO ZA KUPIGIA KURA ZIMESHACHUKULIWA kwa ajili ya uchakachuaji wa matokeo ya kura.

Kweli CCM NI CHAMA CHA MAJAMBAZI YASIYOKUWA NA HURUMA.
Bwana Yesu tuokoe na MAJAMBAZI HAYA.Amina.
 
Back
Top Bottom