Jifunze kuona zuri kwa wengine hata kama hupendi ama hukubaliani nao. Kupingapinga ni ugonjwa ati.Alisema hivyo baada ya kukataa uwepo wa Corona, mpaka alipoona hali inazidi kuwa mbaya ndio akakubali ipo bahati mbaya ikawa too late kwake.
Kwani ni uongo mzee Pombe hakubisha uwepo wa Covid19?Jifunze kuona zuri kwa wengine hata kama hupendi ama hukubaliani nao. Kupingapinga ni ugonjwa ati.
Bora hilo shenzi halipo tena..Alichosema hayati JPM sasa kimeenda kutimia maana sasa UVIKO unakuwa ugonjwa tutaoishi nao katika jamii.
Hayati alisema mapema kama jamii tujiandae kuishi na hili gonjwa. Tujiandae
Sasa tunashudia hali ilivyo katika jamii yetu. Watu wanaugua, wengine wanapona na wengine Mungu anawachukua.
Jambo la msingi ni kuchukua tahadhali na kuzingatia kanuni za afya. Maana hili gonjwa lipo kwenye jamii na tunaishi nalo
Unayosema ni kweli?Alisema hivyo baada ya kukataa uwepo wa Corona, mpaka alipoona hali inazidi kuwa mbaya ndio akakubali ipo bahati mbaya ikawa too late kwake.
Hivi corona si ndiyo ilimtoa juu ya reli na kumpeleka kuzimu?Alichosema hayati JPM sasa kimeenda kutimia maana sasa UVIKO unakuwa ugonjwa tutaoishi nao katika jamii.
Hayati alisema mapema kama jamii tujiandae kuishi na hili gonjwa. Tujiandae
Sasa tunashudia hali ilivyo katika jamii yetu. Watu wanaugua, wengine wanapona na wengine Mungu anawachukua.
Jambo la msingi ni kuchukua tahadhali na kuzingatia kanuni za afya. Maana hili gonjwa lipo kwenye jamii na tunaishi nalo
Washamba watapingaAlikuwa kiongozi mwenye maono.
Mkuu umesema hana akili, kwanin umesema hivyo?Huna akili mpuuzi mkubwa.
kama baba yak alivyo mshenziBora hilo shenzi halipo tena..
Na lenyewe lilifyekwa na hiyohiyo corona.
Na kila kona ni misiba tu.Tupo Million 60 na waliochanjwa hadi sasa laki 2