Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusimlishe maneno, aliyasema hayo baada ya yeye kukataa lockdown ya miji mikubwa kama Dar, Arusha, Mwanza nk; point yake ilikua tutawafungia watu hadi lini ilihali gonjwa huenda tukawa nalo muda wote. Thank God kwasasa hakuna nchi duniani inayo amini katika lockdownAlisema hivyo baada ya kukataa uwepo wa Corona, mpaka alipoona hali inazidi kuwa mbaya ndio akakubali ipo bahati mbaya ikawa too late kwake.
Mimi nasema alikuwa mwizi, muuaji na mshamba, pia kila kitu chake kilikuwa na mashaka kuanzia uraia wake mpaka elimu.,bishaWashamba watapinga
Ndio ivyo hatorudi tena huyo mshenzi..kama baba yak alivyo mshenzi
We are his voice
Nimekuuliza tu swali, ungenijibu kwa kunipa sababu za kusema kwa nini hana akili, ila kwakuwa huna sababu umeishia kuuliza swali uchwara tu, poor youUnauliza jibu?
Siyo watu wote ni idiots kama wew na jiwe wakokama baba yak alivyo mshenzi
We are his voice
Mungu aliingilia kati, dah yule mwendakuzimu angetupeleka pabaya sanaHuna akili we mpuuzi
Ila baba ako akifa atarudNdio ivyo hatorudi tena huyo mshenzi..
Kula sumu ya panya umfate.
Ww mwenye akili mbna hata ukuu wa kijiji hujapewaSiyo watu wote ni idiots kama wew na jiwe wako
Hapana. Labda kama una ushahidi. Aliweza vipi kuitisha maombi kwa ugonjwa usiokuwapo? Maana yake alitambua upo na akahamasisha maombi. Hiyo ilikuwa firts wave na tukavuka. Na yupo katika record kabisa kuwa hata watoto wake waliugua.Kwani ni uongo mzee pombe hakubisha uwepo wa Covid19?
Living the past in present is mental disorderAlisema hivyo baada ya kukataa uwepo wa Corona, mpaka alipoona hali inazidi kuwa mbaya ndio akakubali ipo bahati mbaya ikawa too late kwake.
Haters utawaona tu,Ila jifunze ku appreciate kwenye kweli hata Kama humpendi mtu, appreciate kazi yakeAlisema hivyo baada ya kukataa uwepo wa Corona, mpaka alipoona hali inazidi kuwa mbaya ndio akakubali ipo bahati mbaya ikawa too late kwake.
Hana akili kwa sababu anataka kutuaminisha kuwa Mkuu wetu wa Nchi amefariki kwa UVIKO 19?? while sisi tunajua tatizo lilikuwa ni mfumo wa umeme wa moyo. Na ashindwe kwa jina la YESU.. SEMA AMENIMkuu umesema hana akili, kwanin umesema hivyo?
Alisema hivyo baada ya kukataa uwepo wa Corona, mpaka alipoona hali inazidi kuwa mbaya ndio akakubali ipo bahati mbaya ikawa too late kwake.
Waliochanjwa wanakufa pia. Ila taarifa hazitolewi. Bado tunaamini katika chanjo.Alichosema hayati JPM sasa kimeenda kutimia maana sasa UVIKO-19 unakuwa ugonjwa tutaoishi nao katika jamii.
Hayati alisema mapema kama jamii tujiandae kuishi na hili gonjwa. Tujiandae
Sasa tunashudia hali ilivyo katika jamii yetu. Watu wanaugua, wengine wanapona na wengine Mungu anawachukua.
Jambo la msingi ni kuchukua tahadhali na kuzingatia kanuni za afya. Maana hili gonjwa lipo kwenye jamii na tunaishi nalo
Nawe jifunze kuona mabaya yake hata kama unampenda kwa mazuri tu kukubali kila kitu ni upumbavuJifunze kuona zuri kwa wengine hata kama hupendi ama hukubaliani nao. Kupingapinga ni ugonjwa ati.
njia ya kupambana na corona sio maombi ndiyo maana imemfyeka.Hapana. Labda kama una ushahidi. Aliweza vipi kuitisha maombi kwa ugonjwa usiokuwapo? Maana yake alitambua upo na akahamasisha maombi. Hiyo ilikuwa firts wave na tukavuka. Na yupo katika record kabisa kuwa hata watoto wake waliugua.
Nakubaliana nawe. Objectivity inahitajikaNawe jifunze kuona mabaya yake hata kama unampenda kwa mazuri tu kukubali kila kitu ni upumbavu
Hatopata furaha adui kama asiyempenda anasifiwa..Jifunze kuona zuri kwa wengine hata kama hupendi ama hukubaliani nao. Kupingapinga ni ugonjwa ati.