#COVID19 Alichosema Hayati Magufuli kuhusu UVIKO-19 yametimia, sasa tutaishi nao katika jamii

#COVID19 Alichosema Hayati Magufuli kuhusu UVIKO-19 yametimia, sasa tutaishi nao katika jamii

Aisee huyu bush man amekufa kwa corona kwasababu hakuamini njia za kisayansi ndiyo maana ilifika hatua akampongeza paroko kwa kutokuvaa barakoa kanisani.
Ungekuwa unaamini sayansi mkuu basi ungejua kwamba kunahitajika uchunguzi kuweza kujua chanzo cha kifo maana Magufuli hakufia kwenye accident, ila wewe mkuu umejiamulia tu kusema chanzo cha kifo cha mtu pasina ushahidi wowote.
 
Kuamini Magufuli alikufa kwa corona na kuamini Mbowe ni gaidi kuna tofauti gani mkuu?
Kuna tofauti.

Kilichomuua Magufuli tayari kinajulikana; kimeelezewa ndani ya taarifa za kidaktari zilizothibitisha kifo chake. Wenye access na documents hizo na waliovujishiwa siri wanajua ukweli wenyewe.

Ugaidi wa Mbowe bado haujathibitishwa. Hivyo, chochote chaweza semwa kwa maana ya speculation kwa mtazamo (imani) wa msemaji. Mchakato wa mahakamani ukikamilika utatoa hitimisho na kuzima imani potofu.
 
wewe ambae sio idiots ungefanya nini cha tofauti ungepewa nafasi ya mwendazake kipindi hicho
Ningewaambia watu ukweli ili wachukue tahadhali, mambo ya uongo uongo na sifa ndiyo yamemponza
 
Hana akili kwa sababu anataka kutuaminisha kuwa Mkuu wetu wa Nchi amefariki kwa UVIKO 19?? while sisi tunajua tatizo lilikuwa ni mfumo wa umeme wa moyo. Na ashindwe kwa jina la YESU.. SEMA AMENI
Hapana mkuu, jamaa kadondoshwa na corona, alishupaza sana shingo na kutaka kujimilikisha nchi. Ukijumlisha na masifa ya kijinga basi ndiyo hivyo tena corona akakomboa taifa bila kumwaga damu
 
Yeye alikuwa akiona mambo yamechachamaa anakimbilia chato, alikuwa mbinafsi sana.
 
Kwanini unaamini kuwa nae alifyekwa na corona? ni dalili zipi zinazokufanya uamini hivyo?
Kwani wasaidizi wake walipukutishwa na nini? ok, kumbe ugonjwa wa moyo ndio ukapita na wote, naona siku hizi moyo nao unaambukizwa kwa njia ya hewa!
 
Ww mwenye akili mbna hata ukuu wa kijiji hujapewa
Ina maana hujui kuwa wenye akili siyo wanasiasa na wanasiasa ni wale wasio nazo. Kama ungekuwa unalijua hilo usingeuliza swali hili, sasa mim na ukuu wa kijiji wapi na wapi wakati hata ubunge wa bure kama wa covid19 siutakj
 
Kuna tofauti.

Kilichomuua Magufuli tayari kinajulikana; kimeelezewa ndani ya taarifa za kidaktari zilizothibitisha kifo chake. Wenye access na documents hizo na waliovujishiwa siri wanajua ukweli wenyewe.

Ugaidi wa Mbowe bado haujathibitishwa. Hivyo, chochote chaweza semwa kwa maana ya speculation kwa mtazamo (imani) wa msemaji. Mchakato wa mahakamani ukikamilika utatoa hitimisho na kuzima imani potofu.
Hao wenye access hawajasema hicho kitu hadharani tukasikia na hakuna ushahidi uliyo wazi kuonesha kuwa Magufuli kafa kwa corona, sasa mimi hapa utanishawishi vp kuwa kweli Magufuli kafa kwa corona ni sawa tu na tunavyoambiwa kuwa Mbowe ni gaidi na wenyewe wakina Sirro ndio wanajua huko.
 
Ina maana hujui kuwa wenye akili siyo wanasiasa na wanasiasa ni wale wasio nazo. Kama ungekuwa unalijua hilo usingeuliza swali hili, sasa mim na ukuu wa kijiji wapi na wapi wakati hata ubunge wa bure kama wa covid19 siutakj
Kwahiyo akina Mbowe Zitto Lissu n.k wote hawana akili kwa sababu ni wanasiasa?
 
Haters utawaona tu,Ila jifunze ku appreciate kwenye kweli hata Kama humpendi mtu, appreciate kazi yake
Usinifundishe ujinga, kama kujenga madaraja na reli sawa, lakini issue ya Corona NO. Mwanzo alijidai much know, mwishowe akaenda kujificha Chato kwa miezi miwili, then alivyorudi ndio ikawa hivyo tena..
 
Kwani wasaidizi wake walipukutishwa na nini? ok, kumbe ugonjwa wa moyo ndio ukapita na wote, naona siku hizi moyo nao unaambukizwa kwa njia ya hewa!
Sasa ukileta hoja kama hiyo na mie nitasema mbona yule mkewe aliyekuwa analala nae kitanda kimoja hatukumuona kuumwa achilia mbali kufa nae?
 
Yeye alikuwa akiona mambo yamechachamaa anakimbilia chato, alikuwa mbinafsi sana.
Kwahiyo Chato ndio kulikuwa hakuna corona au kwamba akiwa chato palikuwa pakoje tofauti na pengine?
 
Kwahiyo Chato ndio kulikuwa hakuna corona au kwamba akiwa chato palikuwa pakoje tofauti na pengine?
Yeye alikuwa akiamini hivyo kwani nilimsikia mara kadhaa akiwa anapiga zile ngonjera zake za vita vya kiuchumi alikuwa akidai huo ugonjwa upo mijini tu.
 
Back
Top Bottom