#COVID19 Alichosema Hayati Magufuli kuhusu UVIKO-19 yametimia, sasa tutaishi nao katika jamii

#COVID19 Alichosema Hayati Magufuli kuhusu UVIKO-19 yametimia, sasa tutaishi nao katika jamii

Kwani ni uongo mzee pombe hakubisha uwepo wa Covid19?
Kwanini alifunga vyuo na mashule?
Kwanini alifuta mbio za Mwenge?
Kwanini alisema tutumie mask zinazotengenezwa na MSD?

Au alipokataa propaganda a na drama za chanjo na vipimo feki ndo unaona nongwa.
 
Kwanini alifunga vyuo na mashule?
Kwanini alifuta mbio za Mwenge?
Kwanini alisema tutumie mask zinazotengenezwa na MSD?

Au alipokataa propaganda a na drama za chanjo na vipimo feki ndo unaona nongwa.
Aisee huyu bush man amekufa kwa corona kwasababu hakuamini njia za kisayansi ndiyo maana ilifika hatua akampongeza paroko kwa kutokuvaa barakoa kanisani.
 
Aisee huyu bush man amekufa kwa corona kwasababu hakuamini njia za kisayansi ndiyo maana ilifika hatua akampongeza paroko kwa kutokuvaa barakoa kanisani.
We mbona una mambo ya kishamba? Lini JPM alizuia njia za kisayansi? Acha gubu la kike.
 
Kwanini alifunga vyuo na mashule?
Kwanini alifuta mbio za Mwenge?
Kwanini alisema tutumie mask zinazotengenezwa na MSD?

Au alipokataa propaganda a na drama za chanjo na vipimo feki ndo unaona nongwa.
Rais Dr Magufuli alikubali uwepo wa corona, ilipoingia nchini alichukua hatua za awali za kupambana nao kama muongozo ukiotolewa na WHO na Africa CDC.

Baada ya muda akaongeza njia zake na kuachana na miongozo ya hizo tasisi kubwa na tukatumia maombi ya siku 3 na nyungu ambapo ndani ya siku chache hizo njia zilionyesha "mafanikio" makubwa na tukaambiwa ugonjwa haupo, japokuwa wapo watu walipata maambukizi kipindi ambacho tulikuwa tunafurahia "mafanikio" hayo na wapo waliopoteza uhai, lakini tulifanikiwa kuishangaza dunia kwa "kuidhibiti" corona na kuendelea na maisha kama kawaida bila tahadhari yoyote.

Mpaka January 27/2021 ambapo kulikuwa na mfululizo wa vifo vinavyotokana na matatizo ya mfumo wa upumuaji ndipo alikiri kuwa "corona haijawa kubwa na haipo, ipo chache sana".

Kinachoshangaza serikali ya sasa inasema tupo wimbi la tatu, na wimbi la pili lilituathiri kuliko wimbi la kwanza lakini hatukuwahi kuambiwa wimbi la pili limeanza lini na lilileta athari gani kwa maana kulikuwa na magonjwa mengine yaliyoathiri mifumo ya upumuaji na sio corona.
 
Rais Dr Magufuli alikubali uwepo wa corona, ilipoingia nchini alichukua hatua za awali za kupambana nao kama muongozo ukiotolewa na WHO na Africa CDC.

Baada ya muda akaongeza njia zake na kuachana na miongozo ya hizo tasisi kubwa na tukatumia maombi ya siku 3 na nyungu ambapo ndani ya siku chache hizo njia zilionyesha "mafanikio" makubwa na tukaambiwa ugonjwa haupo, japokuwa wapo watu walipata maambukizi kipindi ambacho tulikuwa tunafurahia "mafanikio" hayo na wapo waliopoteza uhai, lakini tulifanikiwa kuishangaza dunia kwa "kuidhibiti" corona na kuendelea na maisha kama kawaida bila tahadhari yoyote.

Mpaka January 27/2021 ambapo kulikuwa na mfululizo wa vifo vinavyotokana na matatizo ya mfumo wa upumuaji ndipo alikiri kuwa "corona haijawa kubwa na haipo, ipo chache sana".

Kinachoshangaza serikali ya sasa inasema tupo wimbi la tatu, na wimbi la pili lilituathiri kuliko wimbi la kwanza lakini hatukuwahi kuambiwa wimbi la pili limeanza lini na lilileta athari gani kwa maana kulikuwa na magonjwa mengine yaliyoathiri mifumo ya upumuaji na sio corona.
View attachment 1897791
Awamu hi ni kutisha watu tu Corona Corona,mbona hawasemi ukweli Corona inatibika ndo maana wanaopona ni wengi Sana kuliko wachache wanaokufa.
Wanaogopa Nini kutaja dawa wanazotumia hospital.zinazowasaidia kupona?
Utafikiri kila anayeugua Corona anakufa.
 
Tayari umeshakuwa endemic, hiyo ni fursa ya kutosha kwa watafiti wa chanjo kukamilisha vizuri tafiti zao ili zipatikane chanjo salama kwa makundi ambayo yapo kwenye hatari zaidi wakiwemo wazee, baadhi ya magonjwa, na akina mama wajawazito.....
 
Alisema hivyo baada ya kukataa uwepo wa Corona, mpaka alipoona hali inazidi kuwa mbaya ndio akakubali ipo bahati mbaya ikawa too late kwake.

Angekubali ipo ndio watu wasingekufa....Kama ilikuwa too late mbona bado wewe unaning'inia kwenye sayari ama yeye ni exceptional
 
Alisema hivyo baada ya kukataa uwepo wa Corona, mpaka alipoona hali inazidi kuwa mbaya ndio akakubali ipo bahati mbaya ikawa too late kwake.
Kuamini Magufuli alikufa kwa corona na kuamini Mbowe ni gaidi kuna tofauti gani mkuu?
 
watu wanapukutika mkuu, usilete masihala.
 
Back
Top Bottom