Alichosema Mkuu wa Kitengo cha Digitali wa Yanga

Alichosema Mkuu wa Kitengo cha Digitali wa Yanga

Peramiho yetu

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2018
Posts
5,303
Reaction score
14,983
Hii timu inahitaji maombi sana!

IMG-20221017-WA0030.jpg
 
Hii timu inahitaji maombi Sana

View attachment 2389960
Hawa jamaa huwa wanayamaliza matatizo yao kwa kujidanganya kuwa hayapo.

Baada ya kichapo cha 2-0 toka kwa Vipers wakaona isiwe tabu hawakutaka tena mechi za kirafiki wakaenda zao Avic town wakawa wanaita timu ndogondogo wanacheza nao then wanashangilia wako vizuri sana.

Kawaida yao hao
 
Hawa jamaa huwa wanayamaliza matatizo yao kwa kujidanganya kuwa hayapo.

Baada ya kichapo cha 2-0 toka kwa Vipers wakaona isiwe tabu hawakutaka tena mechi za kirafiki wakaenda zao Avic town wakawa wanaita timu ndogondogo wanacheza nao then wanashangilia wako vizuri sana.

Kawaida yao hao
Halafu unajua yule pitso mosimane alivyokuja kwenye ile mechi alishangaa sana yanga ni unbeaten kwa jinsi walivyocheza na aliwapa ushauri wakapuuzia leo itakuwa wanakumbuka maneno yake
 
Halafu unajua yule pitso mosimane alivyokuja kwenye ile mechi alishangaa sana yanga ni unbeaten kwa jinsi walivyocheza na aliwapa ushauri wakapuuzia leo itakuwa wanakumbuka maneno yake
Aliwambiaje?
 
Back
Top Bottom