Alichosema Netanyahu ni sawa na anayosema Zelensky na ni kukiri kuwa Israel haiwezi tena kupigana na Hizbullah.

Alichosema Netanyahu ni sawa na anayosema Zelensky na ni kukiri kuwa Israel haiwezi tena kupigana na Hizbullah.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hapo jana Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel amemlalamikia raisi Biden wa Marekani kwamba amezuia shehena ya silaha tangu mwezi Mei na hiyo ndiyo sababu ya kudorora kuipiga Rafah ili kufikia malengo.

Kwenye video fupi ya malalamiko hayo Netanyahu amejipa moyo kwamba katika ziara ya karibu ya Blinken nchini mwake amemuhakikishia kuwa silaha zilizozuiliwa ni mabomu 2000 tu na kwamba silaha nyengine zote zilizokuwa kwenye mlolongo wa kusafirishwa zitasafirishwa kama kawaida.

Israel's Netanyahu blames Biden for withholding weapons. US officials say that's not the whole story

Malalamiko hayo ya Netanyahu ni wazi kuwa kupungua kwa mapigano ndani ya Gaza hasa kwenye eneo la kusini la Rafah hakutokani na huruma ya Israel bali ni kutokana na kupungukiwa na silaha kwa kiwango kikubwa.Picha nyengine ni kuwa katika ukata huo wa silaha jeshi la Israel kwa sasa halitaweza kutangaza vita na Hizbullah.

Kwa upande mwengine Marekani nayo silaha inazoziahidi ni vigumu kuzifikisha kwa wakati huku nchi hiyo nayo katika miezi ya kariabuni imetangaza wazi kupungukiwa na silaha na fedha kutokana na kuiunga mkono Ukraine katika vita vyake na Urusi.
 
Kwa hiyo hapo jihadists mnaipongeza Marekani kwa hilo.
 
Nasikia harufu ya SAMSON OPTION INANUKIA 😭😭😭😭
Muda Utasema....
 
Nasikia harufu ya SAMSON OPTION INANUKIA 😭😭😭😭
Muda Utasema....
Sasa Samson option against on front line wakati frontline ziko zaidi ya 6 si unawapa tayari watu chance ya kufanya retaliation wakati mwingine ni bora kukubali small defeat na kufanya diplomasia kuliko total annihilation na kuharibu taifa yetu macho tu na masikio waliokuwa wanajiona wanaakili sasa wanazidiwa akili na kufanya mambo yasiyonamaana kabisa .
 
Hapo jana Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel amemlalamikia raisi Biden wa Marekani kwamba amezuia shehena ya silaha tangu mwezi Mei na hiyo ndiyo sababu ya kudorora kuipiga Rafah ili kufikia malengo.

Kwenye video fupi ya malalamiko hayo Netanyahu amejipa moyo kwamba katika ziara ya karibu ya Blinken nchini mwake amemuhakikishia kuwa silaha zilizozuiliwa ni mabomu 2000 tu na kwamba silaha nyengine zote zilizokuwa kwenye mlolongo wa kusafirishwa zitasafirishwa kama kawaida.

Israel's Netanyahu blames Biden for withholding weapons. US officials say that's not the whole story

Malalamiko hayo ya Netanyahu ni wazi kuwa kupungua kwa mapigano ndani ya Gaza hasa kwenye eneo la kusini la Rafah hakutokani na huruma ya Israel bali ni kutokana na kupungukiwa na silaha kwa kiwango kikubwa.Picha nyengine ni kuwa katika ukata huo wa silaha jeshi la Israel kwa sasa halitaweza kutangaza vita na Hizbullah.

Kwa upande mwengine Marekani nayo silaha inazoziahidi ni vigumu kuzifikisha kwa wakati huku nchi hiyo nayo katika miezi ya kariabuni imetangaza wazi kupungukiwa na silaha na fedha kutokana na kuiunga mkono Ukraine katika vita vyake na Urusi.
Nisisikie cease fire
 
Hapo jana Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel amemlalamikia raisi Biden wa Marekani kwamba amezuia shehena ya silaha tangu mwezi Mei na hiyo ndiyo sababu ya kudorora kuipiga Rafah ili kufikia malengo.

Kwenye video fupi ya malalamiko hayo Netanyahu amejipa moyo kwamba katika ziara ya karibu ya Blinken nchini mwake amemuhakikishia kuwa silaha zilizozuiliwa ni mabomu 2000 tu na kwamba silaha nyengine zote zilizokuwa kwenye mlolongo wa kusafirishwa zitasafirishwa kama kawaida.

Israel's Netanyahu blames Biden for withholding weapons. US officials say that's not the whole story

Malalamiko hayo ya Netanyahu ni wazi kuwa kupungua kwa mapigano ndani ya Gaza hasa kwenye eneo la kusini la Rafah hakutokani na huruma ya Israel bali ni kutokana na kupungukiwa na silaha kwa kiwango kikubwa.Picha nyengine ni kuwa katika ukata huo wa silaha jeshi la Israel kwa sasa halitaweza kutangaza vita na Hizbullah.

Kwa upande mwengine Marekani nayo silaha inazoziahidi ni vigumu kuzifikisha kwa wakati huku nchi hiyo nayo katika miezi ya kariabuni imetangaza wazi kupungukiwa na silaha na fedha kutokana na kuiunga mkono Ukraine katika vita vyake na Urusi.
Unamshangaa Netanyau wakati huo huo Putin mnaomwita supapawa anaenda north Korea na viroba vya kubebea mabomu.
 
Mara nyingi Suluhu huwa haipatikani kwa njia ya Vita! Ni kwenye meza ya mazungumzo!
 
Bibilia zenu hazina adabu kama zinasema Nabii Ibrahim alikuwa ana hawara, hapo ndio mjue bibilia ni kitabu cha Shetani
Hata Solomon alikuwa nao 300 na sijui kile kinachoongelea mabikra 72 wenye macho kama mayai chenyewe ni cha mungu gani..😛😛😛
 
Hapo jana Benjamin Netanyahu,waziri mkuu wa Israel amemlalamikia raisi Biden wa Marekani kwamba amezuia shehena ya silaha tangu mwezi Mei na hiyo ndiyo sababu ya kudorora kuipiga Rafah ili kufikia malengo.

Kwenye video fupi ya malalamiko hayo Netanyahu amejipa moyo kwamba katika ziara ya karibu ya Blinken nchini mwake amemuhakikishia kuwa silaha zilizozuiliwa ni mabomu 2000 tu na kwamba silaha nyengine zote zilizokuwa kwenye mlolongo wa kusafirishwa zitasafirishwa kama kawaida.

Israel's Netanyahu blames Biden for withholding weapons. US officials say that's not the whole story

Malalamiko hayo ya Netanyahu ni wazi kuwa kupungua kwa mapigano ndani ya Gaza hasa kwenye eneo la kusini la Rafah hakutokani na huruma ya Israel bali ni kutokana na kupungukiwa na silaha kwa kiwango kikubwa.Picha nyengine ni kuwa katika ukata huo wa silaha jeshi la Israel kwa sasa halitaweza kutangaza vita na Hizbullah.

Kwa upande mwengine Marekani nayo silaha inazoziahidi ni vigumu kuzifikisha kwa wakati huku nchi hiyo nayo katika miezi ya kariabuni imetangaza wazi kupungukiwa na silaha na fedha kutokana na kuiunga mkono Ukraine katika vita vyake na Urusi.
Wakiipigana na Iran ndo balaa zaidi, Iran anatengeneza silaha zake Israel wananunua toka USA.
 
Back
Top Bottom