Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana Yanga SC belekeTuendelee kusubiri tamko rasmi la Yanga.
acha wivuKama amejipost kabla Yanga hawajamtangaza basi huyu atakuwa na akili ya mpira tu, ila kichwa ni maji
Sio wivu, ni common sense. Baleke hana cha kuonewa wivu na mimiacha wivu
Wewe una akil za kihasibu na balance sheet zinakushinda 😂😂😂Kama amejipost kabla Yanga hawajamtangaza basi huyu atakuwa na akili ya mpira tu, ila kichwa ni maji
This is youKama amejipost kabla Yanga hawajamtangaza basi huyu atakuwa na akili ya mpira tu, ila kichwa ni maji
Mbona haina hata mahusiano na mada?, wewe unayaona? Hoja yako ni nini?This is you View attachment 3040303
Mbona haina hata mahusiano na mada?, wewe unayaona? Hoja yako ni nini?
Wakati mwingine una utoto
Ameshatangazwa kwenye Yanga app Toka saa 7 mchana au ulitakaatangazwe kwenye page za yanga sc kwanza ?Kama amejipost kabla Yanga hawajamtangaza basi huyu atakuwa na akili ya mpira tu, ila kichwa ni maji
Ndio mkuu Toka saa 7 mchana ingia kwenye Yanga app utaona mkuuSeriously?
Andika basi hoja sababu ya kuniquote badala ya kunifanya kama shogaakoView attachment 3040306
Kihasibu mkuu
Teh.Sio wivu, ni common sense. Baleke hana cha kuonewa wivu na mimi
wanazidi kutetemeka!Kuna video moja nimeiona chama anapiga ngumi punching bag nyekundu
Hakika, wanaruka na kukanyaganawanazidi kutetemeka!