njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Soma vizuri ana njaakalihatariPunguza spidi mkuu..
hahahaha ni sha edit bana keyboard ya hii I mac miyeyusho sanaPunguza spidi mkuu..
Paraphrase paragraph yako
hahahaha ni sha edit bana keyboard ya hii I mac miyeyusho sanaPunguza spidi mkuu..
nas alikazania issue kwa ni the best lyricst which is true anaajua kuandika sana ila ni kama Roma ana style moja hajui kubadilika na pia jay z issue ya kuwa na beyonce imemueweka relevant hadi kwa kizazi kipya cha sasa wana m refer kama beyonce's husband...mimi hadi 2004 ulikuwa huniambii kitu kuhusu Nas ila nishamchoka hana jipyaDaah! Alicia Keys what a beauty!?
I appreciate the beauty of this living angel.
Ukiachana na uzuri wake kanimaliza sana kwenye kipande cha Jay-Z cha wimbo wa IZZO.
H to the izz-O, V to the izz-A....
Humo mwamba alikamua kinyama ...amenikumbusha those old days when Hip-hop used to be hip-hop, Radio one used to be the best urban radio in town, kipindi cha nani mkali kila jumapili kama sikosei.
Unakuta Jay-Z anashindanishwa na Nas Escobar ...daah walimkosea heshima sana Jay-Z kumshindanisha na Nas. Nas kapotea wakati mwamba kadumu kwenye game more than a decade longer than Nas..
unamatatizo wewe unamfananisha nas na vitu vya kijinga...Daah! Alicia Keys what a beauty!?
I appreciate the beauty of this living angel.
Ukiachana na uzuri wake kanimaliza sana kwenye kipande cha Jay-Z cha wimbo wa IZZO.
H to the izz-O, V to the izz-A....
Humo mwamba alikamua kinyama ...amenikumbusha those old days when Hip-hop used to be hip-hop, Radio one used to be the best urban radio in town, kipindi cha nani mkali kila jumapili kama sikosei.
Unakuta Jay-Z anashindanishwa na Nas Escobar ...daah walimkosea heshima sana Jay-Z kumshindanisha na Nas. Nas kapotea wakati mwamba kadumu kwenye game more than a decade longer than Nas..
nyie ndo wale mnaopelekwa na daimond kafanya nn JAYZ ni mfanya biashara ila hajawahi mshinda nas kua best lyricist na kutoa miziki mizuri kasikilizeni KINGS DISEASE ndo mrudi hapanas alikazania issue kwa ni the best lyricst which is true naajua kuandika sana ila ni kama Roma ana style moja hajui kubadilika na pia jay z issue ya kuwa na beyonce imemueweka relevant hadi kwa kizazi kipya cha sasa wana m refer kama beyonce's husband...mimi hadi 2004 ulikuwa huniambii kitu kuhusu Nas ila nishamchoka hana jipya
nisharebisha boss my wireless mac keyboard inazenguaParaphrase paragraph yako
Coke-studio una waimbiaga wewe?naomba mniambie zaidi ya Ruby na Grace Matata nani anaweza kupiga show ya hivi hata kama akipigiwa vyombo?nazungumzia hadi wanaume sitaki wale wa gospel kina joe lwaga au gosbert wale wanajua labda hapo nitamuweka Ben Paul kidooogoo sana otherwise tutachochereshana.
unamanisha ??????Coke-studio una waimbiaga wewe?
na snura,winnie,zuchu wote wanaweza kama ulichokiiona hapo juushilole,gigy,lulu diva na wengine wengi
ππππshilole,gigy,lulu diva na wengine wengi
Nas kapotea?? Wee wa wap mkuu?Daah! Alicia Keys what a beauty!?
I appreciate the beauty of this living angel.
Ukiachana na uzuri wake kanimaliza sana kwenye kipande cha Jay-Z cha wimbo wa IZZO.
H to the izz-O, V to the izz-A....
Humo mwamba alikamua kinyama ...amenikumbusha those old days when Hip-hop used to be hip-hop, Radio one used to be the best urban radio in town, kipindi cha nani mkali kila jumapili kama sikosei.
Unakuta Jay-Z anashindanishwa na Nas Escobar ...daah walimkosea heshima sana Jay-Z kumshindanisha na Nas. Nas kapotea wakati mwamba kadumu kwenye game more than a decade longer than Nas..
Kapotea kwenye game kitambo, kaishia kuuza sura kwenye video clip ya Nicki Minaj ...Nas kapotea?? Wee wa wap mkuu?