Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Mungu awalinde na awakoe kwa mkono wake wa ushindi ambao bado wanalotumaini katika mazingira ya kifusi na walioko hospital 🙏🏿
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo status kabla au baada ya kifusi, kwasbb hiyo ishara alio fanya ni ya kua na peace au akujua hiloView attachment 3154487Usipoteze tumaini na Imani MOYONI mwako hii ndio hukupa nguvu ya kutokata tamaa. Mungu hutushindia tulio na tumaini na imani ili tuwe mashuhuda wa kati ya walikuwa na AMANI [emoji1545]
Mungu awalinde na awakoe kwa mkono wake wa ushindi ambao bado wanalotumaini katika mazingira ya kifusi na walioko hospital [emoji1545]
Mbona habari yajieleza apost AKIWA ndan ya KIFUSIHiyo status kabla au baada ya kifusi, kwasbb hiyo ishara alio fanya ni ya kua na peace au akujua hilo
🤣🤣 Wanawake sijui tunachukuliwajee😔Huyu kaka anauza suruali za kike, juma na rejareja. Alipookolewa kuna mtu, akaandika sasa kaka uache kuuza suruali za kike. Uanze kuuza za kiume. Kwa maana yake suruali za kike ni laana!!! Mmh!!!
Kuna watu wana Imani zao 🙏 huyu aliyeokolewa ni mmoja wao.
SanaAnaonekana ame chill, ame relax, wakati mwingine kuwa mtulivu kwenye situations kama hizi inasaidia.
Yaani acha tu dear, nilisoma na nikarudia. Maana yake sikuipata. Ila Mwenyezi Mungu, hakukosea kutuumba.🤣🤣 Wanawake sijui tunachukiliwajee😔
😃😀Huyu kaka anauza suruali za kike, juma na rejareja. Alipookolewa kuna mtu, akaandika sasa kaka uache kuuza suruali za kike. Uanze kuuza za kiume. Kwa maana yake suruali za kike ni laana!!! Mmh!!!
Kuna watu wana Imani zao 🙏 huyu aliyeokolewa ni mmoja wao.
Nadhani walimaanisha kwa sababu ameokolewa na wanaume ndio maana wanasema auze suruali za kiume...Huyu kaka anauza suruali za kike, juma na rejareja. Alipookolewa kuna mtu, akaandika sasa kaka uache kuuza suruali za kike. Uanze kuuza za kiume. Kwa maana yake suruali za kike ni laana!!! Mmh!!!
Kuna watu wana Imani zao 🙏 huyu aliyeokolewa ni mmoja wao.
Afu huyu jamaa naona vyombo vya habari wamemfanya content Leo niliona yupo TvEYaani acha tu dear, nilisoma na nikarudia. Maana yake sikuipata. Ila Mwenyezi Mungu, hakukosea kutuumba.
Hakika,na ndiyo maana wanaua na kujiua sababu ya hiki wanachokidharau...hao wakianza kutukashfu ni kutulia tu na kuwachoraYaani acha tu dear, nilisoma na nikarudia. Maana yake sikuipata. Ila Mwenyezi Mungu, hakukosea kutuumba.
maoni tu ya wadau na kila mtu na kichwa chake..Huyu kaka anauza suruali za kike, juma na rejareja. Alipookolewa kuna mtu, akaandika sasa kaka uache kuuza suruali za kike. Uanze kuuza za kiume. Kwa maana yake suruali za kike ni laana!!! Mmh!!!
Kuna watu wana Imani zao 🙏 huyu aliyeokolewa ni mmoja wao.
Very sadHuyu naye katika😀😀😀
View attachment 3154533
Ooh huenda, sasa na mtu akizaliwa ataambiwa auze za kike sababu kazaliwa na mwanamke 🙄🙄🙄🙄Nadhani walimaanisha kwa sababu waliyemuokoa ni wanaume ndio maana wanasema auze suruali za kiume...