TOHATO
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,336
- 4,653
Kwa watoto Yatima au watu wenye uhitaji mkubwa kama Waloko mahospital na wamekosa fedha za matibabu.Akatoe sadaka sasa ya Shukrani
Ila sadaka ya kanisani au msikitini ni utapeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa watoto Yatima au watu wenye uhitaji mkubwa kama Waloko mahospital na wamekosa fedha za matibabu.Akatoe sadaka sasa ya Shukrani
Au aanze kuuza kanzu na Abaya.Huyu kaka anauza suruali za kike, jumla na rejareja. Alipookolewa kuna mtu, akaandika sasa kaka uache kuuza suruali za kike. Uanze kuuza za kiume. Kwa maana yake suruali za kike ni laana!!! Mmh!!!
Kuna watu wana Imani zao 🙏 huyu aliyeokolewa ni mmoja wao.
Labda kwa vile wameona anaowauzia Suruali hawakuwepo kumuokoa na ameokolewa na wanaume.🤣🤣 Wanawake sijui tunachukiliwajee😔
Hakukosea kabisa kuwaumba Bantu Lady 😊Yaani acha tu dear, nilisoma na nikarudia. Maana yake sikuipata. Ila Mwenyezi Mungu, hakukosea kutuumba.
Mbona umeweka emoji za kucheka na haichekeshi kaka? Inahuzunisha kijana anakutana na kifo katika upambanaji wake. Malengo na ndoto zake zote zinaishia hapo. Inaliza si kuchekesha hatomuona mtoto wake. Tuwe makini vya kucheka please.Huyu naye katika😀😀😀
View attachment 3154533
Cha ajabu hakuna Mwanamke hata mmoja alieshiriki kwenye kumchomoa huko kwenye kifusi wote walioshiriki ni WanaumeHuyu kaka anauza suruali za kike, jumla na rejareja. Alipookolewa kuna mtu, akaandika sasa kaka uache kuuza suruali za kike. Uanze kuuza za kiume. Kwa maana yake suruali za kike ni laana!!! Mmh!!!
Kuna watu wana Imani zao 🙏 huyu aliyeokolewa ni mmoja wao.
Maagizo tu haya, unahangaikia maisha yako halafu upige picha namna hii? Hujui kufa nini?View attachment 3154487Usipoteze tumaini na Imani MOYONI mwako hii ndio hukupa nguvu ya kutokata tamaa. Mungu hutushindia tulio na tumaini na imani ili tuwe mashuhuda wa kati ya walikuwa na AMANI 🙏🏿
Mungu awalinde na awakoe kwa mkono wake wa ushindi ambao bado wanalotumaini katika mazingira ya kifusi na walioko hospital 🙏🏿
Hivi ni kweli mwanamke anazaa pekee pasipo msaada wa mwanaume?Ooh huenda, sasa na mtu akizaliwa ataambiwa auze za kike sababu kazaliwa na mwanamke 🙄🙄🙄🙄
Mimi nadhani alimaanisha kwa Imani yake. Maana aliendelea kitu kama aione pepo, kumrudia Muumba wake, kamuokoa.
Hii imetengenezwa sio halisia soma mstari wa mwishoHuyu naye katika😀😀😀
View attachment 3154533
Ndiyo ni laana.Huyu kaka anauza suruali za kike, jumla na rejareja. Alipookolewa kuna mtu, akaandika sasa kaka uache kuuza suruali za kike. Uanze kuuza za kiume. Kwa maana yake suruali za kike ni laana!!! Mmh!!!
Kuna watu wana Imani zao 🙏 huyu aliyeokolewa ni mmoja wao.
Wanawake ni rafiki wa karibu wa shetani , toka Eva na nyoka wake hapo ndio mlilaaniwa🤣🤣 Wanawake sijui tunachukiliwajee😔
OkayWanawake ni rafiki wa karibu wa shetani , toka Eva na nyoka wake hapo ndio mlilaaniwa
Naona picha na Video inayoonyesha wamebeba hata nyundo tu wakishiriki uokoajiLakini yote na yote naona wanawake wana msaada mkubwa kwenye uokozi.
At least point ipo hapaLabda kwa vile wameona anaowauzia Suruali hawakuwepo kumuokoa na ameokolewa na wanaume.
😀
Maana yake hakuna Mwanamke alieshiriki kumuokoa pamoja na kuwauzia viwalo hakuna Mwanamke aliesogea hata na msumeno kukata nondo ili jamaa atoke kwenye kifusiYaani acha tu dear, nilisoma na nikarudia. Maana yake sikuipata. Ila Mwenyezi Mungu, hakukosea kutuumba.
Hivi kwani hua kuna watu wanaomba yawakute?Usiombe yakukute
Sio ipo hapo ndipo ilipo hapo kwamba yeye afe tu kivyake watachomsaidia Wanawake ni kumlilia akiwa amekufa sio kingineAt least point ipo hapa