Alie jiposti status akiwa chini ya kifusi ameokolewa

Alie jiposti status akiwa chini ya kifusi ameokolewa

Huyu kaka anauza suruali za kike, jumla na rejareja. Alipookolewa kuna mtu, akaandika sasa kaka uache kuuza suruali za kike. Uanze kuuza za kiume. Kwa maana yake suruali za kike ni laana!!! Mmh!!!

Kuna watu wana Imani zao 🙏 huyu aliyeokolewa ni mmoja wao.
Cha ajabu hakuna Mwanamke hata mmoja alieshiriki kwenye kumchomoa huko kwenye kifusi wote walioshiriki ni Wanaume
 
View attachment 3154487Usipoteze tumaini na Imani MOYONI mwako hii ndio hukupa nguvu ya kutokata tamaa. Mungu hutushindia tulio na tumaini na imani ili tuwe mashuhuda wa kati ya walikuwa na AMANI 🙏🏿

Mungu awalinde na awakoe kwa mkono wake wa ushindi ambao bado wanalotumaini katika mazingira ya kifusi na walioko hospital 🙏🏿
Maagizo tu haya, unahangaikia maisha yako halafu upige picha namna hii? Hujui kufa nini?
 
Ooh huenda, sasa na mtu akizaliwa ataambiwa auze za kike sababu kazaliwa na mwanamke 🙄🙄🙄🙄
Mimi nadhani alimaanisha kwa Imani yake. Maana aliendelea kitu kama aione pepo, kumrudia Muumba wake, kamuokoa.
Hivi ni kweli mwanamke anazaa pekee pasipo msaada wa mwanaume?

Lakini yote na yote naona wanawake wana msaada mkubwa kwenye uokozi.
 
Huyu kaka anauza suruali za kike, jumla na rejareja. Alipookolewa kuna mtu, akaandika sasa kaka uache kuuza suruali za kike. Uanze kuuza za kiume. Kwa maana yake suruali za kike ni laana!!! Mmh!!!

Kuna watu wana Imani zao 🙏 huyu aliyeokolewa ni mmoja wao.
Ndiyo ni laana.
 
Back
Top Bottom