zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Hahaha wewe jamaa tumaambiwa tuishi naoNa wanaume nawaasa usimwamini wala kumpa umuhimu wowote mwanamke dunia hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha wewe jamaa tumaambiwa tuishi naoNa wanaume nawaasa usimwamini wala kumpa umuhimu wowote mwanamke dunia hii
Uliona umeligusa geti la mbinguniNi kweli kuna siku nikikwama kwenye lifti kisha ikaenda kujibamiza chini kwa nguvu nilikuwa pekeyangu umeme ukazima niliziona rangi zote zilizopo duniani na zisizokuwepo
Wanawake ilibidi na wao waingie mzigoni kubeba tofali zile na kufukua vifusiExactly. Kuna baadhi ya dini na mdhehebu yanaamini suruali ni vazi la kiume na hairuhusiwi mwanamke kuvaa mavaz ya kike na mwanamme kuvaa mavazi ya kike. Nadhani ndomana mdau akasema ivyo.
Kabisa mkuu inatisha mnoUliona umeligusa geti la mbinguni
Kutumia akili yako ili uishi na mwanamke kutakuchelewesha , tumia akili kujipenda na kujifurahisha, wanawake hawahutaji akili maana wao wenyewe hawana akiliHahaha wewe jamaa tumaambiwa tuishi nao
Unataka iongezeke idadi ya wanaofariki?Wanawake ilibidi na wao waingie mzigoni kubeba tofali zile na kufukua vifusi
Hao wataka haki Sawa kwenye makaratasi na urithi unaona ni watu wakuwaamini kweliWanawake ilibidi na wao waingie mzigoni kubeba tofali zile na kufukua vifusi
Afadhali wangekufa wengi wanawake maana kifo ni kifo Tu au haukusikia mwanamke mwenzao alipokufa mwanaume mpambanaji kibao alisema kifo ni kifo tuUnataka iongezeke idadi ya wanaofariki?
Wanawake ni wasaidizi ndio kazi yao kwa mujibu wa bibiliaKutumia akili yako ili uishi na mwanamke kutakuchelewesha , tumia akili kujipenda na kujifurahisha, wanawake hawahutaji akili maana wao wenyewe hawana akili
Hahah unataka haki sawa mkuu? 😂😂😂Wanawake ilibidi na wao waingie mzigoni kubeba tofali zile na kufukua vifusi
Akatoe wapi tena? we mchungaji ushaanza!!😀😀😀😀Akatoe sadaka sasa ya Shukrani
Hawana usaidizi kwa sasa mambo yamebadilika wao wanataka haki Sawa , na wanasema wanaweza hivo kushikilia kauli hiyo wewe kama mwanaume unajidanganyaWanawake ni wasaidizi ndio kazi yao kwa mujibu wa bibilia
Nnataka wakati wao ndio wanataka hapo wangeingia mzigoni kumenya kifusi hichoHahah unataka haki sawa mkuu? 😂😂😂
Bora hata upigwe na tofali la kichwa ufie hapo hapo kuliko kufa unajionaNi kweli kuna siku nikikwama kwenye lifti kisha ikaenda kujibamiza chini kwa nguvu nilikuwa pekeyangu umeme ukazima niliziona rangi zote zilizopo duniani na zisizokuwepo
Mzee we ni team kataa ndoa nin? 😂😂😂😂Kutumia akili yako ili uishi na mwanamke kutakuchelewesha , tumia akili kujipenda na kujifurahisha, wanawake hawahutaji akili maana wao wenyewe hawana akili
Naomba picha ya Mwanamke kabeba hata msumeno pale kwenye kifusi anakata nondo watu watokeJamani tukiwa kwenye kuomboleza, kuwaombea wenzetu wengine waokolewe. Tuache kutupia maneno, maneno.
Sasa kama unachukia wanawake, tunakusaidiaje? Ndiye aliyekuzaa, huenda akakulea mpaka kufikia, unamkashifu. Ina maana namzazi wako yumo.
Na wale mnaosema wanawake hawawezi kitu. Labda mko nyuma kitaarifa. Tunafanya mambo mengi sawa na nyinyi. Machache tu, tunachimba madini, tunaendesha ndege hadi za kivita, meli, malori, mabasi. Ni wanajeshi pia, tunaenda vitani. Hata kwenye uokozi, taratibu tutakuja kupewa nafasi. Hakuna aliyewaza tutaweza kufanya hayo na mengine mengi.
Yaani kuna mitoto mitukutu, ndiyo maana kuna wanawake wanawadunda. Acheni kudharau wanawake, tunawachoma sindano na mnavua bila ubishi waone.
Mimi naeleza ukweli wao walivo , na mawazo yao yalivo , usimuamini, mwanamke duniani hapa utaumiaMzee we ni team kataa ndoa nin? 😂😂😂😂
MWanmke anaweza kuwa mwovu lakini siyo kwa sababu ni mwanamke, bali ni kwa nafsi yake.Yaani acha tu dear, nilisoma na nikarudia. Maana yake sikuipata. Ila Mwenyezi Mungu, hakukosea kutuumba.
Kama wewe ulivyobarikiwa moyo wa kutoa na kusaidia!Kuna watu wana Imani zao 🙏 huyu aliyeokolewa ni mmoja wao.