Alie jiposti status akiwa chini ya kifusi ameokolewa

Alie jiposti status akiwa chini ya kifusi ameokolewa

Naomba picha ya Mwanamke kabeba hata msumeno pale kwenye kifusi anakata nondo watu watoke
Nisome tena, utanielewa. Nia ni kuwaokoa haijalishi nani amewaokoa. Tunachotaka ndugu zetu watoke wakiwa hai. Haya ya mwanamke na mwanaume baadaye, tukiwa kwenye furha kuwa wameokolewa. Kwasasa hapana huu ushindani, kuna watu vimewalamba huko, wanaunganisha wanawake wote.
 
Mimi naeleza ukweli wao walivo , na mawazo yao yalivo , usimuamini, mwanamke duniani hapa utaumia
Kuna kaukweli, maana hela zao hasa wafanyakazi waliioolewa sijui huwa zinaenda wapi 😂😂😂. Maana kila kitu ni ME. Jambo zito hili 😂😂😂
 
Mdomo huo🤨
Wanawake wa sasa mmekua wajuaji sana na kuhisi kila kitu mnaonewa na viburi juu, hebu bakini kwenye uanamke wenu familia zinaharibika sababu kubwa ni ujuaji wenu na kudai dai haki mwisho wa siku mnaishia kuzurura mitaani
 
Huyu kaka anauza suruali za kike, jumla na rejareja. Alipookolewa kuna mtu, akaandika sasa kaka uache kuuza suruali za kike. Uanze kuuza za kiume. Kwa maana yake suruali za kike ni laana!!! Mmh!!!

Kuna watu wana Imani zao 🙏 huyu aliyeokolewa ni mmoja wao.
Bila shaka aliekoment hivyo atakua "proudly to be ....
 
Nisome tena, utanielewa. Nia ni kuwaokoa haijalishi nani amewaokoa. Tunachotaka ndugu zetu watoke wakiwa hai. Haya ya mwanamke na mwanaume baadaye, tukiwa kwenye furha kuwa wameokoewa. Kwasasa hapana huu ushindani, kuna watu vimewalamba huko, wanaunganisha wanawake wote.
Hahaha Wanawake weeee Wanawake waaaa haya nendeni mkabebe sululu pale kifusi kiishe sio kusubiria kulia wakati mambo mengine mnataka muende sawa na Wanaume
 
MWanmke anaweza kuwa mwovu lakini siyo kwa sababu ni mwanamke, bali ni kwa nafsi yake.

Adam alipokuwa pekee alijiona hajakamilika. Alipompata Eva, alifurahi na kujiona mkamilifu.

"Moyo wangu wamtukuza Bwana, na Roho yangu inamshangilia Mungu Mkombozi wangu kwa kuwa ameuonaunyonge wa mtumishi wake, na tazama kuanzia sasa vizazi vyote vitaniita mbarikiwa"- Mama Bikira Maria.

"kwa mwanamke dhambi iliingia ulimenguni, na kwa mwanamke Ulimwengi ulimpata mkombozi" - mtume Paulo.

Enyi wanawake msikatishwe tamaa na maneno ya ufedhuli.

Nanyi wanaume, fahamuni kuwa Yuda Iskariote hakuwa mwanamke. Maovu mengi yanafanywa na wanaume.

Ulimwengu hauwezi kuwepo bila ya mwanamke.
Maovu yaliletwa duniani na mwanamke bhana. Eve.
 
Yaani acha tu dear, nilisoma na nikarudia. Maana yake sikuipata. Ila Mwenyezi Mungu, hakukosea kutuumba.
vaeni mavazi yawapasayo. Binafsi mwanamke aliyevaa suruali huwa hanivutii hata kidogo!
na kusema "kuna suruali ya kike" maana yake ni sawa na kusema "gauni la kiume"

JESUS IS LORD &SAVIOR
 
Huyu kaka anauza suruali za kike, jumla na rejareja. Alipookolewa kuna mtu, akaandika sasa kaka uache kuuza suruali za kike. Uanze kuuza za kiume. Kwa maana yake suruali za kike ni laana!!! Mmh!!!

Kuna watu wana Imani zao 🙏 huyu aliyeokolewa ni mmoja wao.
Kweli ni laana,sasa anapiga picha anaonesha vidole viwili kama demu ndo maana yake nn
 
Kuna kaukweli, maana hela zao hasa wafanyakazi waliioolewa sijui huwa zinaenda wapi 😂😂😂. Maana kila kitu ni ME. Jambo zito hili 😂😂😂
Acheni kugenelalize, kuna wanawake wengi wanatoa pesa kwa waume zao. Hela za wake zetu tunazila sana! Kikubwa usimuombe na asikuzidi uwezo. Lazima uishi nao kiakili.
 
View attachment 3154487Usipoteze tumaini na Imani MOYONI mwako hii ndio hukupa nguvu ya kutokata tamaa. Mungu hutushindia tulio na tumaini na imani ili tuwe mashuhuda wa kati ya walikuwa na AMANI 🙏🏿

Mungu awalinde na awakoe kwa mkono wake wa ushindi ambao bado wanalotumaini katika mazingira ya kifusi na walioko hospital 🙏🏿
Duh, tulitaka kupoteza mwananchi mwenzetu! Mungu awaokoe wote!
 
Back
Top Bottom