Alie jiposti status akiwa chini ya kifusi ameokolewa

Alie jiposti status akiwa chini ya kifusi ameokolewa

Nisome tena, utanielewa. Nia ni kuwaokoa haijalishi nani amewaokoa. Tunachotaka ndugu zetu watoke wakiwa hai. Haya ya mwanamke na mwanaume baadaye, tukiwa kwenye furha kuwa wameokolewa. Kwasasa hapana huu ushindani, kuna watu vimewalamba huko, wanaunganisha wanawake wote.
kavue sidiria manyonyo yabaki wazi huku yakinighinia kama ndala zateja huku ukiwa umevaa sketi yako tukuone ukifanya uokozi

mana unanegheneka sana
 
Hakika,na ndiyo maana wanaua na kujiua sababu ya hiki wanachokidharau...hao wakianza kutukashfu ni kutulia tu na kuwachora
Ni Mpumbavu peke yake ndiye anaweza kujiua kwa sababu ya papuchi.
 
Maombi yanafukua kifusi?
Malaika wa kheri wanaweza kuwalinda walioko huko chini ya vifusi, masuala ya kiimani kama Daniel alivyotupwa kwenye shimo lenye simba wenye njaa, ama Nebukadneza alivyowatupa kina Meshaki na wenzake kwenye shimo la moto, kuna malaika alikuwa nao kule shimoni, walikua wanne wakaona kuna watu watano....
 
Malaika wa kheri wanaweza kuwalinda walioko huko chini ya vifusi, masuala ya kiimani kama Daniel alivyotupwa kwenye shimo lenye simba wenye njaa, ama Nebukadneza alivyowatupa kina Meshaki na wenzake kwenye shimo la moto, kuna malaika alikuwa nao kule shimoni, walikua wanne wakaona kuna watu watano....
Kwa hio hao unaowaongelea walipofanywa hivyo Wanawake waliingia kwenye maombi?
 
Yaani acha tu dear, nilisoma na nikarudia. Maana yake sikuipata. Ila Mwenyezi Mungu, hakukosea kutuumba.

Haina haja ya kuumisa sana kichwa, kwani wote walioathirika wanafanya biashara za kuhusiana na wanawake?

Sifikirii Kuna tatizo au shida na wanawake.
 
Mbona umeweka emoji za kucheka na haichekeshi kaka? Inahuzunisha kijana anakutana na kifo katika upambanaji wake. Malengo na ndoto zake zote zinaishia hapo. Inaliza si kuchekesha hatomuona mtoto wake. Tuwe makini vya kucheka please.
Yaani we huwoni kama mtu kajiandikia tu hapo
 
Back
Top Bottom