Aliebuni kupokea mshahara mwezi hadi mwezi alaaniwe ona upwiru unavyonitesa na hela sina

Nadhani tungeanza na aliyebuni mwezi kuwa na siku 30. Huyu angeseam siku 10 mambo yangekuwa safi mshahara ungekuwa ni baada ya siku 10.
 
bora huku mkuu huko kwenu stress huku kwetu ikitoka haina den kusema nikila mtaj nafirisika huku tuna kula bata siku 5 tunateseka siku 25 mambo murua
Hivi umeelewa point yangu???
Acha kutegemea mshahara tu jiongeze kwa kutengeneza other sources of income


Cc Smart911
 
mzee baba mshahara wenyew laki 8 mara makato napokea laki moja unusu kwahy unataka ukutane na mwingine nile afu 5 broo
Ukiweza kujizuia kukopa utaishi maisha mazuri maana hata mikopo yenyewe watu hawafanyii vitu vya maana
 
nasema ukweli tupu au nikutumie picha nikiwa sina hela ya pisi nakuwaje
Dah mkuu, mbona tarehe za mshahara bado kama wiki nzima. Ina maana hizo pisi utazilia macho muda wote huo, aisee.
 
Dah mkuu, mbona tarehe za mshahara bado kama wiki nzima. Ina maana hizo pisi utazilia macho muda wote huo, aisee.
ndio mana nawaomba mnipe mkopo nika enjoy nitarudisha
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…