Aliebuni kupokea mshahara mwezi hadi mwezi alaaniwe ona upwiru unavyonitesa na hela sina

Aliebuni kupokea mshahara mwezi hadi mwezi alaaniwe ona upwiru unavyonitesa na hela sina

Nadhani tungeanza na aliyebuni mwezi kuwa na siku 30. Huyu angeseam siku 10 mambo yangekuwa safi mshahara ungekuwa ni baada ya siku 10.
 
bora huku mkuu huko kwenu stress huku kwetu ikitoka haina den kusema nikila mtaj nafirisika huku tuna kula bata siku 5 tunateseka siku 25 mambo murua
Hivi umeelewa point yangu???
Acha kutegemea mshahara tu jiongeze kwa kutengeneza other sources of income


Cc Smart911
 
mzee baba mshahara wenyew laki 8 mara makato napokea laki moja unusu kwahy unataka ukutane na mwingine nile afu 5 broo
Ukiweza kujizuia kukopa utaishi maisha mazuri maana hata mikopo yenyewe watu hawafanyii vitu vya maana
 
nasema ukweli tupu au nikutumie picha nikiwa sina hela ya pisi nakuwaje
Dah mkuu, mbona tarehe za mshahara bado kama wiki nzima. Ina maana hizo pisi utazilia macho muda wote huo, aisee.
 
Dah mkuu, mbona tarehe za mshahara bado kama wiki nzima. Ina maana hizo pisi utazilia macho muda wote huo, aisee.
ndio mana nawaomba mnipe mkopo nika enjoy nitarudisha
 
Jana nimetoka zangu kazini jioni kuna jamaa yangu kanipitia, mr pipa kuna ka elfu 20 hapa tukale mtungi.

Mimi mambo si haya na ukicheki nipo ugenini mke nimemuacha home, basi nikaoga zangu huyo viwanja, mwamba akaagiza kumi na tano ikakata ile pombe inaanza kufanya kazi ikakimbilia chini kuangalia pembeni, pisi kama zote.

Nikamwita mmoja nikamwambia unatumia kinywaji gan akasema soda ya kopo kuangalia mfukoni nina buku tatu. Yaani mfanyakazi jina kubwa afu nina afutatu.

Si unajua tarehe za katikati hatuna kitu nikaishia kumlipia soda ya kopo buku jelo na kuaga kwamba nitalejea. Natoka pale suruali imetuna kwa mbele. Aisee nililaani sana hiki kitendo cha kupokea mshahara.

Wakuu mnikopeshe jamani tarehe 22 nitawalipa ukitoka mshahara, jaman watumishi wenzangu kazi tunayo
Hahaha
 
Back
Top Bottom