Alieelewa sababu za penati ya Atletico Madrid kukaliwa anieleweshe

Alieelewa sababu za penati ya Atletico Madrid kukaliwa anieleweshe

Uefa Wametoa statement na video Angle nyengine kuonesha amegusa mara mbili,


makaveli10
 
Tatizo wanaolalamika ni mashabiki wa Barcelona na Arsenal maana wanaogopa kukutana na Madrid ,Alvarezi mwenyewe aliyepiga hajalalamikaa.
Vilaza hawezi kuisha.
Sasa mimi Barca naogopaje kukutana na wewe my wetu ambae kwenye game mbili nimekufua goli tisa?

Nimekufumua 4-0.

Nikakufumua 5-2 halafu niogope kukutana na wewe!

Au mwenzetu unaota?
 
Mpira uliguswa mara mbili,Mguu wa kulia umepiga mpira na mguu ulioteleza chini ukazuia mpira uliopigwa na kufanya mpira upae kwa kiasi fulani,
 
Uefa Wametoa statement na video Angle nyengine kuonesha amegusa mara mbili,


makaveli10
Ni kweli amegusa lakini dah....
 
Nakwanini naye apige penati vile,amezingua sana
 
Tatizo wanaolalamika ni mashabiki wa Barcelona na Arsenal maana wanaogopa kukutana na Madrid ,Alvarezi mwenyewe aliyepiga hajalalamikaa.
Vilaza hawezi kuisha.
Kwanini wasikubaliane na ukweli? Kilichomponza Alvarez,alienda kupiga penalty akiwa na mzuka.
 
Mpira ule ukiienda kwenye sisitumu yake ambapi umeunganishwa na chumba cha marefa ikitokea sintofahamu uwanjani unaweza ukasachi na kuruhusu sehemu ya saundi ukatoa milio yakwamba umeguswa mara3 au mara 2 aumara 1 mpra wenyewe ndio utatoa jibu nadhani ndo hicho kilichotokea kwenye hilo tukio


Napia maandalizi chumba cha marefa kwenye matukio ya penati huwa wana weka moja kwa moja kwenye mfumo huo wa saundi on wachezaji wakijiandaa na kupiga penati
 
Back
Top Bottom