Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Hamia kijjn hawapendi kujipura wa mjiniMimi sipendi nikute mwanamke kajipura hivyo halaf unakuta kaweka na makope kama ufagio wa chooni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi sipendi nikute mwanamke kajipura hivyo halaf unakuta kaweka na makope kama ufagio wa chooni
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] mie kama bwana harusi natoka ndukiiiiHuyu ndio ametisha kuliko wote waliowai kutokea dadekiii
Hahhha ufagio wa chooMimi sipendi nikute mwanamke kajipura hivyo halaf unakuta kaweka na makope kama ufagio wa chooni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upambaji gani huu kama kazi uiwezi
Si uiache kuliko kuvamia fani msizozielewa...matokeo yake mnawananga.
Na kuwaharibu wenzenu na kuwafanya
Kama vinyago vya mpapule kwa kweli, mimi ndio ningekuwa bwana harusi ningemshauri huyu bi. Harusi anawe maji usoni apake poda na wanja nina
Imani angependeza zaidi kuliko hivi alivyonangwa daah..mpambaji mungu anakuona kwa kweli ulivyomfanyia bi. Harusi, na hii harusi ilifanyika tanga juzi.Kituko kwa kweli [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] bora salama.
Jomoniiíiiii!Huyu ndio ametisha kuliko wote waliowai kutokea dadekiii
Nimekuja kujua wengi warembwao hivi niwatu wa uswahilin, huku hawawazi Sana mapambo
Nami pia nimelijua hilo kwenye zile saluni za kueleweka hakuna hizi mambo za kufanyana kama vinyago sababu ile rangi ya asili inaondoka kabisa usoni.Nimekuja kujua wengi warembwao hivi niwatu wa uswahilin, huku hawawazi Sana mapambo
Bajeti yao kubwa kwenye msoc
Kwenye makeup hapo wanaita mdada wa saluni ya jiran tu apo Mtaan Anakuja kumaliza mchezo
Wacpo acha iyo tabia nawao wataendelea kuwa makatun kwenye sherehe zao daima
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] anapambana na kupambwa kwake. Lol.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi mambo zimezidi Sana ckuiz
Maskini dada wawatu kashakua kichekesho mtandaon
Hana hata raha jomoniiiii
Saluni za Mtaan mungu anawaona!
Huyu ndio ametisha kuliko wote waliowai kutokea dadekiii[/QUOT
Kuna mawili,mpambaji aidha mpambwaji ni shabiki wa yanga.Huyu ndio ametisha kuliko wote waliowai kutokea dadekiii
Salon za bei rahisi hizo Minah24: ukitoka hapo unakuwa kama kibwengo au kinyago.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi mambo zimezidi Sana ckuiz
Maskini dada wawatu kashakua kichekesho mtandaon
Hana hata raha jomoniiiii
Saluni za Mtaan mungu anawaona!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] mie ningetoka ndukiii.Jomoniiíiiii!
Wamempaka nn dada wawatu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii inatisha kabisa, bwana haruc hakukimbia kweli Mmmmh
Mbagala rangi tatu mchezo huu upo sana.Nami pia nimelijua hilo kwenye zile saluni za kueleweka hakuna hizi mambo za kufanyana kama vinyago sababu ile rangi ya asili inaondoka kabisa usoni.
Kwa upande mwingine naona wenyewe wanapenda pia kuwa na hizo Mbagala rangi tatu yaani uso, shingo na hata mikono kila kimoja kina rangi yake.