Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
- Thread starter
-
- #21
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] anapambana na kupambwa kwake. Lol.
Kweli kabisa Mungu anawaona aisee.
Sawa mkuuila kuposti picha ya mtu bila ridhaa yake nafikiri ni unethical consideration
Sema kiuswahilini swahilini nadhani huwa wanaona poa tu yaani haina kushangaana hiyo.Mbagala rangi tatu mchezo huu upo sana.
Wakuwafanya wenzao kama nyani au kinyago kwenye salon za kike haswa kwenye upande wa mekaup emmyta:
Mie hata mke wangu nyumbani apake hivyo nitamlazimisha akanawe usoni bila hivyo silali nae naweza nikaota usiku hivyo vitu alivyopaka...na mwingine usiku akilala mdomo wazi na meno nje [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na vitu alivyopaka hivyo anatisha.Sema kiuswahilini swahilini nadhani huwa wanaona poa tu yaani haina kushangaana hiyo.
Muone huyu emmyta: si dhambi hizi kumfanya mwenzake kama nyaniHuyu ndio ametisha kuliko wote waliowai kutokea dadekiii
Waooo Shunie:Tusiozoea kujipamba acha tuwashangae vinyago watu wanapenda kuharibia wenzao siku zao muhimu ndio maninii hivyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umeua mkuu.Mtu anakuwa kama tetraseklini
Nimekuja kujua wengi warembwao hivi niwatu wa uswahilin, huku hawawazi Sana mapambo
Bajeti yao kubwa kwenye msoc
Kwenye makeup hapo wanaita mdada wa saluni ya jiran tu apo Mtaan Anakuja kumaliza mchezo
Wacpo acha iyo tabia nawao wataendelea kuwa makatun kwenye sherehe zao daima
Kweli kabisa ebu angalia na hiyo nguo jaman hapo bajeti ya kuu inaishia kwenye chakula na mziki wa kigodoroNimekuja kujua wengi warembwao hivi niwatu wa uswahilin, huku hawawazi Sana mapambo
Bajeti yao kubwa kwenye msoc
Kwenye makeup hapo wanaita mdada wa saluni ya jiran tu apo Mtaan Anakuja kumaliza mchezo
Wacpo acha iyo tabia nawao wataendelea kuwa makatun kwenye sherehe zao daima
Bora ulivyomwambia mapema...maanani kweli wa uswazi...mie nilikua serious na mpambaj nikamwambia sitak mbwembwe!nilikua naamini wa dar tu..lol lakinni alinielewa hitaji langu,,nikawa mubashara
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kweli kabisa ebu angalia na hiyo nguo jaman hapo bajeti ya kuu inaishia kwenye chakula na mziki wa kigodoro
Bora ulivyomwambia mapema...maana
Angeanza mbwembwe sipati picha sijui
Ingekuwaje kama si ungekuwaje mkuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Duh hyo banana poda au manjano?Huyu ndio ametisha kuliko wote waliowai kutokea dadekiii
He he vinachekesha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole sana, lkn wakati mwingine nunua foundation ilio bora sio zile za machinga zinazotembezwa barabarani..hahahhah nilikua namhofia sana mamang!too much makeup inakera
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] manjano na amdalasini.Duh hyo banana poda au manjano?
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] Umeonaeee.He he vinachekesha