Omuzirambogo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 685
- 751
hahahaha! kama mdoli wa kichinaHuyu ndio ametisha kuliko wote waliowai kutokea dadekiii
Pole sana, lkn wakati mwingine nunua foundation ilio bora sio zile za machinga zinazotembezwa barabarani..
Upake mwenyewe na poda yako inayonukia vizuri ukipaka na wanja wako wa machoni na kwenye kope.
Lip shine au rangi ya mdomoni Unapendeza mbona, kuliko hizo makorokocho mkuu.
Hatari kweli.hahahaha! kama mdoli wa kichina
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]hahhahah naelewa sana masuala haya mkuu...asante!
Mbona ni mwanaume, chunguza vizuriJomoniiíiiii!
Wamempaka nn dada wawatu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii inatisha kabisa, bwana haruc hakukimbia kweli Mmmmh
Mtu unamtoa kwenye sura yake halisi
Mkuu unasema kweli dume khaah!Mbona ni mwanaume, chunguza vizuri
Kwa kuwananga wenzake kuwatoa kwenye ubinadamu.Basi mpambaji anajikubali!!
Sidhani kama kuna shida mkuu mke ni pambo ndani ya nyumba na maua yetu tunayoyastawisha ndani ya nyumba.Sisi wanaume tunajalidili haya hivi kweli ni sahihi?[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mara nyingi mtu yeyote ambae hajabobea kwenye mambo huwa ana-complicate sana,mfano huyo mpambaji kaweka mikorokoro miiiingi mpaka kamdolisha binadamu.Nami pia nimelijua hilo kwenye zile saluni za kueleweka hakuna hizi mambo za kufanyana kama vinyago sababu ile rangi ya asili inaondoka kabisa usoni.
Kwa upande mwingine naona wenyewe wanapenda pia kuwa na hizo Mbagala rangi tatu yaani uso, shingo na hata mikono kila kimoja kina rangi yake.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Mara nyingi mtu yeyote ambae hajabobea kwenye mambo huwa ana-complicate sana,mfano huyo mpambaji kaweka mikorokoro miiiingi mpaka kamdolisha binadamu.
Aliona akiweka vitu vichache ataonekana hajui kupamba,sasa badala ya kupamba kapambua lol.
Ila tumshukuru mpambaji maana kasababisha mdau kaleta uzi, na huu uzi umenifanya nimeambulia tu like tungapi sijui.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ahsante mkuu tuko pamoja kiongozi wangu.Sent mkuu
Noma sana kiongozi.Kawa Kama Picha ya 3D