Aliemsaga mtoto wake wa damu

Aliemsaga mtoto wake wa damu

Duh! huyo mganga aliyemshauri hivyo!!! kama ni yeye binafsi basi hamnazo kabisa.
 
and that was my message, angekua mwanaume nadhani asingeamka leo kwa kuchomwa moto.... TO ME SHE IS A CHILD MOLESTER THAT DESERVES MORE THAN 30 YEARS IN JAIL (ila nimesikia leo Anti sadaka anaongea na kujadili only one sided analysis which was very shoddy (and probably unnecessarily graphic) - Kunya anye kuku aisee, akinya bata issue

I got you!

There are definitely different standards when it comes to male sexual predators.
 
nimesikiliza jana kwenye radio, jambo limetokea, amehojiwa.... madaktari wamethibitisha... na huyo sio mtoto wa kwanza kumfanyia hivyo

it was very emotional to say the least

ila kumlaumu huyo dada ni makosa (ingawa anekua mwanaume tungesema "asulubiwe" kama kawa) - sad, sad, sad

Mimi sikatai mtu kuchukuliwa hatua. Lakini hatua zilichukuliwe na vyombo husika vilivyopo. Tunaporuhusu watu kumpiga ni kuruhusu vibaka wa saa wachomwe moto.

Afikishwe mahakamani na achukuliwe hatua kwa mujibu wa taratibu za nchi
 
mh, hiyo hatar kwel kwel! sidhan kma huyo ni mwanae kweli. kama wakwake basi angekuwa na uchungu nae! na sio kumfanyia unyama hivyo. wampeleke huko ndani anapopahitaji coz ndo kilichobakia asiharibu na wengine.
 
nani katoa hitimisho kuwa mtoto kaharibiwa vibaya (daktari au gea na wenzie?) - na vibaya ina maanisha nini?
 
Mimi sikatai mtu kuchukuliwa hatua. Lakini hatua zilichukuliwe na vyombo husika vilivyopo. Tunaporuhusu watu kumpiga ni kuruhusu vibaka wa saa wachomwe moto.

Afikishwe mahakamani na achukuliwe hatua kwa mujibu wa taratibu za nchi
hajachomwa moto, the photo you saw ni baada ya kukamatwa na kukiri kosa, and she is now kwenye custody ya polisi, na amesema ni bora akaishie hukohuko labda atajua anafanya nini

My question, and probably NN ni ile,.... angekua mwanaume amefanya hivyo ingekuwaje???:scared:
 
nani katoa hitimisho kuwa mtoto kaharibiwa vibaya (daktari au gea na wenzie?) - na vibaya ina maanisha nini?
..........daktari, na wewe kama ni mwanamke basi utakua unajua vibaya inaazia wapi, both in anus and the vagina!
 
hajachomwa moto, the photo you saw ni baada ya kukamatwa na kukiri kosa, and she is now kwenye custody ya polisi, na amesema ni bora akaishie hukohuko labda atajua anafanya nini

My question, and probably NN ni ile,.... angekua mwanaume amefanya hivyo ingekuwaje???:scared:

Nimesoma kwa Dina Marious kuwa baadhi ya watu walimpiga na ndipo akaamua kukiri yote.

Hata angekuwa mwanamme mimi msimamo wangu uko pale pale, ahukumiwe na vyombo maalum vya nchi, tusipende kuchukua sheria na kutoa hukumu wenyewe kwani kuruhusu hilo ni kuacha mianya kwa hata watu wasio na hatia kuadhibiwa kimakosa
 
mh, hiyo hatar kwel kwel! sidhan kma huyo ni mwanae kweli. kama wakwake basi angekuwa na uchungu nae! na sio kumfanyia unyama hivyo. wampeleke huko ndani anapopahitaji coz ndo kilichobakia asiharibu na wengine.

Kuna watu wamewahi kuwabanika watoto wao kwenye oven...tena wa kuwazaa kabisa! Hebu soma hapa.
 
..........daktari, na wewe kama ni mwanamke basi utakua unajua vibaya inaazia wapi, both in anus and the vagina!

what...... I choose not to trust even a house gal and grand ma over daughters... pole sana MTM kwa mkasa huu...
 
Cha kushangaza hilo mama likikutana na Fidel aombe tiGo linamnyima kwa watoto linasokomeza dah
 
wewe... sio mtoto wangu huyo!!!:A S 13:

ulivyoitete hiyo vibaya sana nikadhani ni habari unazozijua kwa undani, kumbe na wewe ni mpokea habari kama mimi.

Vibaya sana ina range from kuwa na vidonda, non stpo bleeding, usaha, kutoweza kuzuia haja kubwa na ndogo, au hata kuondolewa marinda among others.
 
417607_10150594576502271_675182270_9229291_151250088_n.jpg
SOURCE CLOUDS FMmama aliyekuwa akimfanyia mtoto wake wa kike wa miaka saba vitendo vya kisagaji na udhalilishaji mkubwa wa kijinsia. Wengi wamelia na kujiuliza why??
Kwanza kabisa huyu mama alipata mimba ya huyu mtoto akiwa kidato cha kwanza.Hapo alipo mpaka leo haijulikani baba wa huyo mtoto ni nani?amekuwa akiwafanyia huo mchezo hata watoto wengine.Ana umri wa miaka 25 huyo dada.Wakati anapewa taarifa za mwanae hakushtuka wala kujali kama mama juu ya afya ya mwanae.Sawa alikuwa anakataa hajafanya kitu lakini kama mama hakushtuka kwa lolote.Baada ya wananchi kumzonga,kumsema,wengine kumpiga akaangua kilio na kusema ''jamani mimi sijui nifanyalo,sijielewi''akaongeza ''naomba niwekwe ndani kwa maana ya jela au sehemu ya peke yangu nisionane na binadamu yoyote nijijue maana sijitambui wala sijielewi kwa nini nafanya hivyo.Haikutosha akasema ''niueni"

Hapa najaribu kuwaza tu mdau...na bado naendelea kuwaza.Mtoto mdogo wa miaka 7 wa kike ameharibiwa vibaya sehemu zake za siri za mbele na nyuma na mama yake mzazi wa kumzaa.Uliza anamfanya nini?mama huyo aliekosa haya amekuwa akimsaga mwanae huyo kwa kumuingizia uume wa bandia mbele na nyuma sehemu ya haja kubwa.Mtoto mbele hapafai nyuma hapafai mpaka imefika sasa mtoto amezoea kabisa huo mchezo


polisi utasikia bado tutafanya uchunguzi,upelelezi bado hauja kamilika,wakati wanamwona mtoto hana pa haja ndogo wala haja kubwa
 
Ila pia sitashangaa kama na yeye huyo mama alikuwa ni victim wa sexual molestation akiwa mdogo.
 
Back
Top Bottom