Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
😆😆Viumbe hao wa ajabu waishio angani wanaitwa Aliens.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆Viumbe hao wa ajabu waishio angani wanaitwa Aliens.
🤣😆🤣😆Viumbe hao waliogundulika karne kadhaa zilizopita
😆🤣😆🤣🤣Kama tunavyowashangaa, nao pia wanatushangaa na kutuona viumbe wa ajabu.
🤣😆🤣😆🤣😆Wataalam wa anga wanadai kuwa kazi ambazo zinafanywa na Aliens kwa siku moja binadamu
Fuatilia tukio la Roswell na major Marcel na yule muingereza aliyeelezea hilo tukio la Roswell akiwa kitanda Cha mauti,na yule mwamba aliyesema teknolojia ya hao alliens walipewa kampuni tofauti za tech marekani..Kisha jamaa akafa kwa mshtuko wa moyo siku chache baadae, major Marcel walimtikisa dishKwa watu wa masuala ya anga, hakuna anayesema moja kwa moja kuwa viumbe hao hawapo, wanaweza kuwepo ama kutokuwepo pia.
Mtoa mada kaandika kana kwamba hao viumbe wameshathibitika kuwepo, nikamkumbusha kuwa mpaka sasa hakuna hizo evidence wala sikumaanisha kwamba hawapo.
Siyo,ni viumbe vinavyoishi sehemu isiyojulikana Ila vina tech Bora kuliko sisi na viko interested na dunia na maisha yetu,vinakuja Mara kwa marahivi aliens ndo vibwengo?
Unasubiri mpaka upewe evidence na NASA au SHIRIKA LA ANGA LA TANGANYIKA?Kwa watu wa masuala ya anga, hakuna anayesema moja kwa moja kuwa viumbe hao hawapo, wanaweza kuwepo ama kutokuwepo pia.
Mtoa mada kaandika kana kwamba hao viumbe wameshathibitika kuwepo, nikamkumbusha kuwa mpaka sasa hakuna hizo evidence wala sikumaanisha kwamba hawapo.
ko vibwengo vyenyewe tunaishi navyo?Siyo,ni viumbe vinavyoishi sehemu isiyojulikana Ila vina tech Bora kuliko sisi na viko interested na dunia na maisha yetu,vinakuja Mara kwa mara
Vibwengo ni ufundi wa binadamu tuko vibwengo vyenyewe tunaishi navyo?
Hapana, hata wewe unaweza kunipa hizo evidence kama unazo.Unasubiri mpaka upewe evidence na NASA au SHIRIKA LA ANGA LA TANGANYIKA?
Ww ndo kichaa kabisa kama unaamini hizo hekaya za kalimakengeBahati mbaya hauna akili timamu.
Akili yako imesafiri.Ww ndo kichaa kabisa kama unaamini hizo hekaya za kalimakenge