Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi HR haitajiki law firm ...Ila muhasibu anahitajika Kama financial consultant....tax consultantKama mtu amesomea maswala ya uhasibu na mwingine aliesomea HR anaweza kufanya kazi law firm? Na huwa ni kazi zipi?
SIO KWELI kuwa law firms hazihitaji hao watawala. Wana nafasi zao kabisa na wanahitajika sana labda ofisi yako iwe ya mtu mmoja ama wawili watatu. Ila kama ofisi ina watu zaidi ya 10 ni muhimu kuwa na mtawalasasa hr wa nini kwenye lawfirm, kila ulichokisoma mimi ninacho kichwani,
Anaweza.Kama mtu amesomea maswala ya uhasibu na mwingine aliesomea HR anaweza kufanya kazi law firm? Na huwa ni kazi zipi?
We inaonekana hujui kitu kuhusu HR. Ni sawa na wale wanaosamaga physics halafu anakuja kuwaambia watu anajuwa umeme kutokana na kusoma kwake physicssasa hr wa nini kwenye lawfirm, kila ulichokisoma mimi ninacho kichwani,
Modern HR it's all about ku ensure compliance zinahosuana na employment issues zinafuatwa vzr na legal issues about employment zinakua settled according ndio maana ....law firm wakimuhitaj HR specifically atakua amesoma law......We inaonekana hujui kitu kuhusu HR. Ni sawa na wale wanaosamaga physics halafu anakuja kuwaambia watu anajuwa umeme kutokana na kusoma kwake physics
Mimi nimesomea Human Resource Management, wanafundisha Sheria za kazi,na pia nimewahi kuona matangazo ya law firms wanahitaji HR officersModern HR it's all about ku ensure compliance zinahosuana na employment issues zinafuatwa vzr na legal issues about employment zinakua settled according ndio maana ....law firm wakimuhitaj HR specifically atakua amesoma law......
We inaonekana hujui kitu kuhusu HR. Ni sawa na wale wanaosamaga physics halafu anakuja kuwaambia watu anajuwa umeme kutokana na kusoma kwake physicsj
Mimi nimesomea Human Resource Management, wanafundisha Sheria za kazi,na pia nimewahi kuona matangazo ya law firms wanahitaji HR officers
Mtu aliyesomea Law hawezi kusimamia Law firm kubwa,unapaswa utambue Mambo mengi zaidi ya Sheria kwa mfano Remuneration,Motivation ,office procedures, Mambo ya employee benefits, Mambo ya training
Hayo yote Ni muhimu katika Kum retain employee, sababu ku abide Sheria peke yake hakumfanyi empl
nahisiWe inaonekana hujui kitu kuhusu HR. Ni sawa na wale wanaosamaga physics halafu anakuja kuwaambia watu anajuwa umeme kutokana na kusoma kwake physics
nahisi huelewi chochote kuhusu sheria, lawyers trained to search information , firm itachagua member mmoja among themeselves then atafanya shughuli za HR, hakuna sababu ya kuwa na hr ambaye atafanya za utawala, ndio maana huwa mnashauriwa somea taalumaWe inaonekana hujui kitu kuhusu HR. Ni sawa na wale wanaosamaga physics halafu anakuja kuwaambia watu anajuwa umeme kutokana na kusoma kwake physics
SIO KWELI kuwa law firms hazihitaji hao watawala. Wana nafasi zao kabisa na wanahitajika sana labda ofisi yako iwe ya mtu mmoja ama wawili watatu. Ila kama ofisi ina watu zaidi ya 10 ni muhimu kuwa na mtawala
Mkuu Sasa Ni kwanini Law firms huwa zinaajiri HR na hata mwaka huu nimeona Tangazo la serikali linahitaji HR mahakamani, je unataka kuniambia serikali nayo haijui kitu ?nahisi
nahisi huelewi chochote kuhusu sheria, lawyers trained to search information , firm itachagua member mmoja among themeselves then atafanya shughuli za HR, hakuna sababu ya kuwa na hr ambaye atafanya za utawala, ndio maana huwa mnashauriwa somea taaluma
Ningependa Sana endapo utanijibu comment yangu hapo juu niliyoainisha majukumu ambayo yanaweza kufanywa na HR lakini Trained lawyer hawezinahisi
nahisi huelewi chochote kuhusu sheria, lawyers trained to search information , firm itachagua member mmoja among themeselves then atafanya shughuli za HR, hakuna sababu ya kuwa na hr ambaye atafanya za utawala, ndio maana huwa mnashauriwa somea taaluma
Kweli Kaka my last job nilikuwa human resource though nilisomea public administration, kwenye public administration kuna katopic ka human resource/personnel management Ila sio deep Sana lkn mengine nilijifunza nikiwa kaziniMimi nimesomea Human Resource Management, wanafundisha Sheria za kazi,na pia nimewahi kuona matangazo ya law firms wanahitaji HR officers
Mtu aliyesomea Law hawezi kusimamia Law firm kubwa,unapaswa utambue Mambo mengi zaidi ya Sheria kwa mfano Remuneration,Motivation ,office procedures, Mambo ya employee benefits, Mambo ya training
Hayo yote Ni muhimu katika Kum retain employee, sababu ku abide Sheria peke yake hakumfanyi employee abaki ,mtu huenda kwenye masilahi