Alietudanganya kuwa CHADEMA ni nguvu ya umma yuko wapi?

Alietudanganya kuwa CHADEMA ni nguvu ya umma yuko wapi?

Pamoja na yote yanayotokea kwa mwenyekiti na chama kwa ujumla, lakini maisha mtaani yanaendelea kama kawa hakuna dalili ya kuyumbishwa.

Nguvu ya umma yuko nayo Zuma tu peke yake.
Kinachotokea hapa ni uthibitisho kwamba Watz hawajishughilishina mambo yanayotokea kisiasa. Watu wengi vijijini hawajui yanayoendelea kitaifa. Vijana wengi ni wafuatiliaji wazuri wa mchezo wa mpira lakini siasa hawajishughulishi. Labda wanasiasa hawajafanya juhudi kuwahamazisha.
 
Kinachotokea hapa ni uthibitisho kwamba Watz hawajishughilishina mambo yanayotokea kisiasa. Watu wengi vijijini hawajui yanayoendelea kitaifa. Vijana wengi ni wafuatiliaji wazuri wa mchezo wa mpira lakini siasa hawajishughulishi. Labda wanasiasa hawajafanya juhudi kuwahamazisha.
Ya ni kweli mkuu... lkn wakati mungine tuwalaumu wanasiasa kwa ubinafsi wao. Haiwezekani mfano viongozi wa chama cha siasa wahamasishe maandamano yasio na kikomo, afu siku ya maandamano ikifika wao na familia zao hawatokei ktk maandamano hayo, yani wanakaa majumban mwao kuangalia nini kitachotokea kwa wale watakaokuwa wamekubali kuweka maisha yao hatarini ili kuwapigania (waandamanaji). Sasa kwa siasa za namna hii ni nani atakaekuwa tayar kubeba msalaba wa mwenzie!!
 
Pamoja na yote yanayotokea kwa mwenyekiti na chama kwa ujumla, lakini maisha mtaani yanaendelea kama kawa hakuna dalili ya kuyumbishwa.

Nguvu ya umma yuko nayo Zuma tu peke yake.
Acha sheria ishike mkondo wake.
Unahamasisha vurugu wewe. Unataka chadema wakusililize halafu washinikize nini wakati kesi ipo mahakamani. Nimesikiliza Audio inayodaiwa ya kigogo amesema diary imekamatwa kama ushahidi. Kuwa mpole.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Vipi kwa Zuma kule wameweza na Zuma yupo nje?
Kwa Zuma hawakuweza, lkn pia hawakukubali unyonge. I mean kwa kilichofanyika, jamaa wameacha alama ambayo itakumbukwa miaka na miaka.
 
Acha sheria ishike mkondo wake.
Unahamasisha vurugu wewe. Unataka chadema wakusililize halafu washinikize nini wakati kesi ipo mahakamani. Nimesikiliza Audio inayodaiwa ya kigogo amesema diary imekamatwa kama ushahidi. Kuwa mpole.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ok mkuu.
 
Back
Top Bottom