DOKEZO Alihukumiwa Miaka 30 jela kwa ubakaji miezi mitano iliyopita, leo tupo naye mtaani, hili limekaaje?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tu
Hachana naye ...........wewe fanya mambo yako.........ila mshitakie mungu.......kama kuna yeyote aliyekanyaga haki yako nakuthibitishia atoboi...........yaani hata usisononeke kabisaaa ipo saa ya ushindi kwa mungu ............
Tuzingatie na kiswahili tunapoandika pia.
Hachana
Atoboi
 
Mkuu ni mahakama gani alihukumiwa ili nikusaidie kitu
 
Daah pole sana kaka mtoto wa miaka mi4 kubakwa na mtu mzma alafu kiboya tu anatamba mtaani
 
Tutamkumbuka MAGUFULI!!
 
Nenda huko mahakamani kahoji,Huenda alikata rufani,na rufani kama kashindwa hawaitwi Tena mashahidi,Hakimu au jaji hupitia maelezo ya pande mbili na kuyafangia mapitio na kuyatolea maamuzi.Hivyo Huenda jamaa alishinda huko mkuu.
Ukishindwa rufani,huwezi tena kuanzisha kesi upya?
 
Ndioo ukome sio kila tuhuma n za kweli mkuu lazima zithinitishwe na mahakama na kujiridhisha wakati anapigwa 30 ukashangilia MWENZIO KAJA na rufaaaa katokaa

Na akitoka sio lazima uambiwe unaweza kutana nae bar.....
 
Mi SHEMEJI Yangu walimtuhumu nilikuwa Nje miaka ya nyumaaaaa

Yule falaa akajipanga kweli niliporudi tukaichungulia kesi nikamwona MWANASHERIA MMOJA tukakata rufaaa

Alikaa ndani miezi 4. Nafika nkanza KWENDA bar za jirani yao watu wanashangilia YAAN jamaa na pesa zake kashindwa kutoka

Mouuzi MMOJA akaja na jamaa wawili akasambaza beer mbaya akaanza kutangaza yule pumbavu atoki amepigwa miaka 4

Aisee HAPO napambana kukutania na NDUGU WA kila aina.......tukakata rufaa hahaha jamaa katika akaenda nyumban akaoga

Alipomaliza tukakusanyana kama NDUGU 20. Bar WAKAINGIA 10 wakagiza pombe za kutosha na mbavu na miguu ya mbuzi ya kutosha

Wakashuka wengine nkabaki na jamaa

NYama zimeivaa wanaume tukaingiza timu hamad tunaingiza wale wahuni WALIOKUWA wakimzungumzia WANAINGIA haha wakaona kile kikosi awakukaa nusu saa wakaondoka

Mpaka kesho awakurudi tenaaaaa

SO mkuu sio kila anaehukumiwa anakosa wengine wanakosa tu wanasheria waziri kuwasaidia
 
Inawezekana alikata rufaa na pengine republic pia ilijichanganya sehemu flani.. basi akatoka.
Nb.
Kisheria mtu anaweza kuua Kila mtu anaona na Bado jezi akashinda akiwa na mwanasheria anayejua vichochoro
Kabisa mkuuuuu

Na kingineee unaona YULEE dk WA muhimbili aliepeleka ripoti mbili kesi ya muuwaji

Moja ANASEMA jamaa chizi akasikia jamaa wamempeleka SEHEMU nyingine kakurwa mzima akaitwa KUTETEA ripoti yake kuonyesha ya pili


So sio anaetuhumiwa KUBAKWA n kweli mbakaji

Imagine huyu dk angekutana na kesi kama hii HATA kama hajabakwa si ANAPOKEA mpunga wanakunyoosha mahakama
 
Mwenye mtoto mwenyewe huna uhakika kama mtoto wako alibakwa ndiyo maana unasema mulimtuhumu. Sasa unataka mtu apigwe mvua 30 kwa tuhuma tu bila ya ushahidi wenye kueleweka?
 
Alimbaka kweli ?hii skendo kama imetokea manzese nyumba ipo karibu na barabara kubwa uyo kijana alikuwa anafanya kazi ya kusambaza vinywaji? Ktik duka lililopo ktk iyo nyumba? Kama ndio je ni mtot alibakwa au alikuwa anachezewa sehem zake za siri? Maana kuna kisa nilikisikia eneo ilo sasa sijui ndo hili suala ama la, kama ndio jamaa si alipewa dhamana akakimbia?
 
Inawezekana alikata rufaa na pengine republic pia ilijichanganya sehemu flani.. basi akatoka.
Nb.
Kisheria mtu anaweza kuua Kila mtu anaona na Bado jezi akashinda akiwa na mwanasheria anayejua vichochoro
Yaani bila mlalamikaji kujua!!,hadi mtuhumiwa aonekane mtaani,??,,kiufupi hapo yaonekana rushwa ilitembea si bure.
 
Kesi ikifikia kwenye rufaa,na mshitakiwa kushinda,mshtaki,hawezi kufungua kesi upya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…