Aliimba " Nina imani na Lowasaaa" T2020 nimaimba "Nina imani na Dr. Nchimbi ku-print zaidi ya fomu moja 2025"

Aliimba " Nina imani na Lowasaaa" T2020 nimaimba "Nina imani na Dr. Nchimbi ku-print zaidi ya fomu moja 2025"

T2020

Senior Member
Joined
Jul 15, 2020
Posts
158
Reaction score
361
Hakuna namna kwa hali ilivyo fomu zaidi ya moja haikwepeke kama kweli CCM watanganyika wanatupenda watanganyika wenzao. Mambo ni magumu sana huku bara.

  1. Ajira kiduchu, Hata Kinana anajua.​
  2. Huduma za jamii kiduchu, Hata Mch. Msigwa anajua​
  3. Mikopo mabenki riba juu sana, Hata Dr. Mwigulu anajua.​
  4. Ghalama za maisha juu sana, Hata Abdul anajua.​
  5. Huduma za afya juu sana hata Ummy shahidi.​
  6. Ushoga na biashara ya ngono sababu ya ugumu hata afande Mallya anajua.​
  7. Mkulima ananyonywa hata Dr. Bashiru anajua.​
  8. Nchi imejaa madeni hata Job Ndugai anajua.​
  9. Mitaala ya elimu haieleweki hata Prof. Mkenda anajua.​
  10. Wahadhili wanatamani kuwa wanasiasa hata Prof Kabudi anajua.​
 
We jamaa umesha mhalibia subiri barua ya Rais kukubali kujiuzuru kwake.
 
Back
Top Bottom