Alijifanya kidume, nimemlaza lock up

Usitake kutuaminisha,
Ulikua na mahusiano na kichaa akupige bila sababu.

Hapo mdomo bila shaka umeponza KICHWA.
 
Hafu baada ya muda atakuja na Uzi wa kumuomba msamaha
 
Lock umeona ni sehemu hatari sanaaaaaa?
 
Yani wewe ni kamwanamke kafupi alafu kabishi..huwa hampendi kushindwa na itakuwa ulijaribu kupigana ndo mana ukapigwa namna hiyo..sasa sijui mwamba ulimbinya mbupu maana sio kwa kumaind huko..japo na yeye amezingua sana angalieni..litaanguka jitu sikumoja sisi yetu macho.
 
Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.
Sio maisha hayo kabisa, Na hupaswi kujisia kwa ulichofanya, Na hakika hakuna mtu mwenye akili Timamu atakusifia kwa huo uoamuzi wa hovyo uliochukua.
==
Msome neno kwa neno mjumbe hapa chini👇 Perry jitafakari na chukua hatua stahiki. Tambua maisha ni mafupi hatupaswi kuishi kwa visasi namna hiyo.
 
Bora mamaako angekua ng'ombe tukanywa maziwa yale ulionyonyeshwa bure..unamueka mtoto wa mwenzio lock up alafu unaleta huku jukwaani..
 
Wanajifunika shuka moja huku wakiwa wanakusema mkuu. Mapenzi Ni mchezo wa hovyo sana
Nilikuwa namsikia kamanda mmoja redioni akisema kesi za namna hio ni nyingi ila huwa hawaamuliagi mtu na mpenziwe wakitibuana huwa wanasikiliza tu na kuwatimua🤣🤣🤣
 
Naimani ulimpa iphone 13 ndio akakupeleka ndani kama response
 
jehanamu kivipi mkuu hebu fafanua🤣
 
Hufai kuwa mke na wala yule sio kichaa kama alikutongoza na ukamuelewa maana yake anaakili timamu kuna sehem umezingua arafu unarahisisha RB haito kusaidia kitu at the end of the day atatoka tu
Huyu mwanamke mshamba tu. Anajisifia ujinga namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…