Fortyseven
JF-Expert Member
- Oct 30, 2020
- 1,129
- 2,142
Tusiende mbali hivi huo mguu hapo kwa picha n wako🥰😍Safi Sana na iwe fundisho kwa maharamia na mafurushi mengine km hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusiende mbali hivi huo mguu hapo kwa picha n wako🥰😍Safi Sana na iwe fundisho kwa maharamia na mafurushi mengine km hilo
😂😂😂Ni wa mwenye pichaTusiende mbali hivi huo mguu hapo kwa picha n wako🥰😍
Hafu baada ya muda atakuja na Uzi wa kumuomba msamahaHaya mambo ya wapendanao huwa sitii neno sana. Unashupaza shingo kuongea kesho unawakuta watu pamoja na wanajifunika shuka Moja.
Ila huyo mwenzetu kapitiliza, hizi Karne watu hawapigani mateke, makofi na ngumi. Mkishindwana mnaagana kiroho safi Kila mtu anaendelea na mambo yake.
Lock umeona ni sehemu hatari sanaaaaaa?Alijifanya kidume, anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.
Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Akitoka anakuongezea tena
Sio maisha hayo kabisa, Na hupaswi kujisia kwa ulichofanya, Na hakika hakuna mtu mwenye akili Timamu atakusifia kwa huo uoamuzi wa hovyo uliochukua.Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.
Nilioyaona kule ndani ya hizo siku tano naweza kusema hivi kama mpenzi wako muwe mmegombana hata kufikia kupigana na hali yoyote ile akifikia kukupeleka ndani nakushauri uachane nae. Mie kwa uzoefu wangu wa kule hata mtu anifanyie visa gani siwezi kumpeleka ndani nitakaa nae nitamwonya
Kule ni sawa na mtu kukupeleka Jehanamu. Sasa kama mpenzi wako au mkeo anakupeleka Jehanamu huyo hafai kabisa
Bora mamaako angekua ng'ombe tukanywa maziwa yale ulionyonyeshwa bure..unamueka mtoto wa mwenzio lock up alafu unaleta huku jukwaani..Alijifanya kidume, anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.
Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Nilikuwa namsikia kamanda mmoja redioni akisema kesi za namna hio ni nyingi ila huwa hawaamuliagi mtu na mpenziwe wakitibuana huwa wanasikiliza tu na kuwatimua🤣🤣🤣Wanajifunika shuka moja huku wakiwa wanakusema mkuu. Mapenzi Ni mchezo wa hovyo sana
Naimani ulimpa iphone 13 ndio akakupeleka ndani kama responseNdani ni kubaya kweli. Nilijiona mimi ni baunsa ila nikaingia nikakutana na mtu mfupi zaidi yangu na ana mwili zaidi yangu. Hata hivyo mambo mengi ya rumande yanakuzwa washkaji walikuwa peace.
Anyway, hakuna namna utampiga mwanamke kisha akakupeleka rumande halafu nikakuonea huruma.
jehanamu kivipi mkuu hebu fafanua🤣Nimewahi kukaa ndani nikiwa Chuo baada ya kumtukana abiria kwenye daladala kumbe alikuwa polisi mpelelezi wale wasiovaa sare.
Jamaa aliniweka Kawe Polisi kama kunikomoa kwa siku tano. Nilioyaona kule ndani ya hizo siku tano naweza kusema hivi kama mpenzi wako muwe mmegombana hata kufikia kupigana na hali yoyote ile akifikia kukupeleka ndani nakushauri uachane nae. Mie kwa uzoefu wangu wa kule hata mtu anifanyie visa gani siwezi kumpeleka ndani nitakaa nae nitamwonya
Kule ni sawa na mtu kukupeleka Jehanamu. Sasa kama mpenzi wako au mkeo anakupeleka Jehanamu huyo hafai kabisa
Siku naoa nilimwambia mke wangu siku ukinipeleka ndani ujue ndio mwisho wa ndoa yetu na nikitoka ni bora uwe umeshatangulia kwenu mapema sana
Huyu mwanamke mshamba tu. Anajisifia ujinga namna hiiHufai kuwa mke na wala yule sio kichaa kama alikutongoza na ukamuelewa maana yake anaakili timamu kuna sehem umezingua arafu unarahisisha RB haito kusaidia kitu at the end of the day atatoka tu